Zaburi 64
Kuomba Ulinzi Dhidi Ya Maadui
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
164:1 Za 142:2; 140:1Ee Mungu, unisikie ninapoeleza lalamiko langu,
uyahifadhi maisha yangu kutokana na vitisho vya adui.
264:2 Za 56:6; 59:2; 143:9; Kut 1:10Unifiche kutokana na shauri la siri la waovu,
kutokana na zile kelele za kundi la watenda mabaya.
364:3 Za 7:13; 58:7; 57:4; 55:21; Isa 49:2Wananoa ndimi zao kama panga
na kuelekeza maneno yao kama mishale ya kufisha.
464:4 Za 10:8; 11:2; 55:19; Ay 9:23Hurusha mishale kutoka kwenye mavizio kwa mtu asiye na hatia,
humrushia ghafula bila woga.
564:5 Za 91:3; 140:5; 119:110; 141:9; Ay 22:13Kila mmoja humtia moyo mwenzake
katika mipango mibaya;
huzungumza juu ya kuficha mitego yao,
nao husema, “Ni nani ataiona?”
6Hufanya shauri baya la dhuluma na kusema,
“Tumebuni mpango mkamilifu!”
Hakika nia na moyo wa mwanadamu vina hila.
7Bali Mungu atawapiga kwa mishale,
nao ghafula wataangushwa.
864:8 Mit 12:13; 18:7; 2Fal 10:21; Za 109:25; 59:12; Kum 28:37Atageuza ndimi zao wenyewe dhidi yao
na kuwaleta kwenye maangamizi;
wote wawaonao watatikisa vichwa vyao
kwa dharau.
964:9 Za 40:3; Yer 51:10Wanadamu wote wataogopa,
watatangaza kazi za Mungu
na kutafakari yale aliyoyatenda.
1064:10 Ay 22:19Wenye haki na wafurahi katika Bwana,
na wakimbilie kwake;
wanyofu wote wa moyo na wamsifu yeye!
Psalm 64
Bön om beskydd när det onda hotar
1För körledaren. En psalm av David.
2Hör mig, Gud, när jag klagar!
Bevara mitt liv när fienden hotar.
3Göm mig för de ondas hop,
för skocken av dem som gör orätt.
4De vässar sina tungor som svärd.
De avlossar sina grymma ord som pilar,
5för att från sina bakhåll skjuta på den oskyldige.
Plötsligt och utan fruktan skjuter de.
6De eggar varandra i sin onda plan.
De talar om att i hemlighet sätta ut fällor.
”Ingen kommer att se dem,” säger de.
7De tänker ut onda planer
och säger: ”Vi har planerat det perfekt!”
Outgrundligt är människans innersta.
8Men Gud själv skjuter dem med pil,
plötsligt slås de ner.
9Deras egen tunga bringar dem på fall,
och alla som ser dem skakar på huvudet.
10Alla människor blir rädda,
de förkunnar Guds verk
och inser vad han har gjort.
11Den rättfärdige gläder sig i Herren
och tar sin tillflykt till honom.
Alla rättsinniga prisar honom.