Zaburi 60
Kuomba Kuokolewa
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Shushani Eduthi.” Utenzi wa Daudi wa kufundisha. Wakati alipopigana na Waaramu kutoka Aramu-Naharaimu na Aramu-Soba, naye Yoabu akarudi nyuma na kuwaua Waedomu 12,000 katika Bonde la Chumvi.
160:1 2Sam 5:20; Za 18:7; 44:9; 79:5; 80:3; 60:2; 2Nya 7:14Ee Mungu, umetukataa na kutokea ghafula juu yetu,
umekasirika: sasa turejeshe upya!
2Umetetemesha nchi na kuipasua;
uiponye mavunjiko yake, kwa maana inatetemeka.
360:3 Za 71:20; 75:8; Isa 29:9; 51:17; 63:6; Yer 25:16; Zek 12:2; Ufu 14:10Umewaonyesha watu wako nyakati za kukata tamaa;
umetunywesha mvinyo unaotuyumbisha.
460:4 Isa 5:26; 11:10, 12; 18:3Kwa wale wanaokucha wewe,
umewainulia bendera,
ili iweze kutwekwa dhidi ya upinde.
560:5 Ay 40:14; Kum 33:12; Za 108:6Tuokoe na utusaidie kwa mkono wako wa kuume,
ili wale uwapendao wapate kuokolewa.
660:6 Mwa 12:6; 33:17; Za 89:35; Yos 13:27Mungu amenena kutoka patakatifu pake:
“Nitaigawa Shekemu kwa ushindi
na kulipima Bonde la Sukothi.
760:7 Yos 13:31; Hes 34:19; Mwa 41:52; 49:10; Kum 33:17Gileadi ni yangu na Manase ni yangu;
Efraimu ni kofia yangu ya chuma,
nayo Yuda ni fimbo yangu ya utawala.
860:8 2Sam 8:1Moabu ni sinia langu la kunawia,
juu ya Edomu natupa kiatu changu;
nashangilia kwa kushindwa kwa Ufilisti.”
9Ni nani atakayenipeleka hadi mji wenye ngome?
Ni nani atakayeniongoza hadi nifike Edomu?
1060:10 Yos 7:12; Za 44:9Ee Mungu, si ni wewe uliyetukataa sisi,
na hutoki tena na majeshi yetu?
1160:11 Za 146:3; Mit 3:5Tuletee msaada dhidi ya adui,
kwa maana msaada wa mwanadamu haufai kitu.
1260:12 1Nya 19:13; Ay 40:12; Za 44:5Kwa msaada wa Mungu tutapata ushindi,
naye atawaponda adui zetu.
To the chief Musician upon Shushan-eduth, Michtam of David, to teach; when he strove with Aram-naharaim and with Aram-zobah, when Joab returned, and smote of Edom in the valley of salt twelve thousand.
1O God, thou hast cast us off, thou hast scattered us, thou hast been displeased; O turn thyself to us again.60.1 Michtam: or, A golden Psalm60.1 scattered: Heb. broken
2Thou hast made the earth to tremble; thou hast broken it: heal the breaches thereof; for it shaketh.
3Thou hast shewed thy people hard things: thou hast made us to drink the wine of astonishment.
4Thou hast given a banner to them that fear thee, that it may be displayed because of the truth. Selah.
5That thy beloved may be delivered; save with thy right hand, and hear me.
6God hath spoken in his holiness; I will rejoice, I will divide Shechem, and mete out the valley of Succoth.
7Gilead is mine, and Manasseh is mine; Ephraim also is the strength of mine head; Judah is my lawgiver;
8Moab is my washpot; over Edom will I cast out my shoe: Philistia, triumph thou because of me.60.8 triumph…: or, triumph thou over me: (by an irony)
9Who will bring me into the strong city? who will lead me into Edom?60.9 strong…: Heb. city of strength?
10Wilt not thou, O God, which hadst cast us off? and thou, O God, which didst not go out with our armies?
11Give us help from trouble: for vain is the help of man.60.11 help of man: Heb. salvation, etc
12Through God we shall do valiantly: for he it is that shall tread down our enemies.