Zaburi 6 – NEN & NSP

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 6:1-10

Zaburi 6

Sala Kwa Ajili Ya Msaada Wakati Wa Taabu

Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Mtindo wa sheminithi.6:0 Sheminithi ni mtajo mmojawapo katika lugha ya uimbaji. Zaburi ya Daudi.

16:1 Za 2:5Ee Bwana, usinikemee katika hasira yako,

wala usiniadhibu katika ghadhabu yako.

26:2 Za 4:1; 26:11; 61:2; 77:3; 142:3; Yer 3:12; 8:18; 12:15; 31:20; Hos 6:1; Isa 40:31; Za 32:3; 38:3; 42:10; 102:3Unirehemu Bwana,

kwa maana nimedhoofika;

Ee Bwana, uniponye,

kwa maana mifupa yangu

ina maumivu makali.

36:3 Ay 7:11; Za 4:2; 31:7; 38:8; 55:4; 89:46; Yn 12:27; Isa 6:11; Rum 9:2; 2Kor 2:4; Hab 1:12; 1Sam 1:14; 1Fal 18:21; Yer 4:14; Mt 26:38; Mit 18:14Nafsi yangu ina uchungu mwingi.

Mpaka lini, Ee Bwana, mpaka lini?

46:4 Za 25:16; 69:16; 71:2; 86:16; 88:2; 102:2; 119:132; 13:5; 31:2, 16; 77:8; 85:7; 119:41; Isa 54:8, 10Geuka Ee Bwana, unikomboe,

uniokoe kwa sababu ya fadhili zako.

56:5 Za 30:9; 88:10-12; 115:17; Isa 38:18; Mhu 9:10Hakuna mtu anayekukumbuka

akiwa amekufa.

Ni nani awezaye kukusifu

akiwa kuzimu?

66:6 Ay 3:24; 16:16; 7:3; Lk 7:38; Za 77:3; 102:5; 12:5; Mdo 20:19; Mao 1:8, 11, 21, 22; Amu 8:5Nimechakaa kwa kulia kwa huzuni;

usiku kucha nafurikisha

kitanda changu kwa machozi;

nimelowesha viti vyangu vya fahari

kwa machozi.

76:7 Ay 16:8; Za 31:9; 69:3; 119:82; Isa 38:14Macho yangu yamedhoofika kwa kuhuzunika,

yamedhoofika kwa sababu ya adui zangu wote.

86:8 Za 119:115; 5:5; 139:19; Mt 7:23Kaeni mbali nami, ninyi nyote mtendao mabaya,

kwa maana Bwana amesikia kulia kwangu.

96:9 Za 31:22; 116:1; 3:4; 40:1, 2; 28:6Bwana amesikia kilio changu kwa huruma,

Bwana amekubali sala yangu.

106:10 2Fal 19:26; Za 40:14Adui zangu wote wataaibika na kufadhaika,

watarudi nyuma kwa aibu ya ghafula.

New Serbian Translation

Псалми 6:1-10

Псалам 6

Хоровођи, уз жичане инструменте. За дубоке гласове. Псалам Давидов.

1Не карај ме, Господе, у своме гневу,

у срџби ме својој не кажњавај.

2Смилуј ми се, Господе, јер сам клонуо,

исцели ме, Господе, кости ми се тресу.

3Душа ми је врло устрептала,

докле, Господе, докле ћеш чекати?

4Окрени се, Господе, избави ми душу,

спаси мене због милости своје.

5Јер, мртав човек тебе не спомиње,

ко ће те из Света мртвих6,5 У изворном тексту Шеол, или подземље, где пребивају душе умрлих. прослављати?

6Од јецања сасвим сам клонуо;

сву ноћ лежај ја плачем натапам,

и свој кревет сузама обливам.

7Око моје од муке се гаси,

ишчезава због свих мојих душмана.

8Одбијте од мене, сви преступници,

јер чуо је Господ глас мог вапаја.

9Чуо је Господ моју молбу,

Господ прима моју молитву.

10Нек се осрамоте сви моји душмани,

нек великој смутњи подлегну,

нек се одмах повуку у сраму.