Zaburi 6
Sala Kwa Ajili Ya Msaada Wakati Wa Taabu
Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Mtindo wa sheminithi.6:0 Sheminithi ni mtajo mmojawapo katika lugha ya uimbaji. Zaburi ya Daudi.
16:1 Za 2:5Ee Bwana, usinikemee katika hasira yako,
wala usiniadhibu katika ghadhabu yako.
26:2 Za 4:1; 26:11; 61:2; 77:3; 142:3; Yer 3:12; 8:18; 12:15; 31:20; Hos 6:1; Isa 40:31; Za 32:3; 38:3; 42:10; 102:3Unirehemu Bwana,
kwa maana nimedhoofika;
Ee Bwana, uniponye,
kwa maana mifupa yangu
ina maumivu makali.
36:3 Ay 7:11; Za 4:2; 31:7; 38:8; 55:4; 89:46; Yn 12:27; Isa 6:11; Rum 9:2; 2Kor 2:4; Hab 1:12; 1Sam 1:14; 1Fal 18:21; Yer 4:14; Mt 26:38; Mit 18:14Nafsi yangu ina uchungu mwingi.
Mpaka lini, Ee Bwana, mpaka lini?
46:4 Za 25:16; 69:16; 71:2; 86:16; 88:2; 102:2; 119:132; 13:5; 31:2, 16; 77:8; 85:7; 119:41; Isa 54:8, 10Geuka Ee Bwana, unikomboe,
uniokoe kwa sababu ya fadhili zako.
56:5 Za 30:9; 88:10-12; 115:17; Isa 38:18; Mhu 9:10Hakuna mtu anayekukumbuka
akiwa amekufa.
Ni nani awezaye kukusifu
akiwa kuzimu?
66:6 Ay 3:24; 16:16; 7:3; Lk 7:38; Za 77:3; 102:5; 12:5; Mdo 20:19; Mao 1:8, 11, 21, 22; Amu 8:5Nimechakaa kwa kulia kwa huzuni;
usiku kucha nafurikisha
kitanda changu kwa machozi;
nimelowesha viti vyangu vya fahari
kwa machozi.
76:7 Ay 16:8; Za 31:9; 69:3; 119:82; Isa 38:14Macho yangu yamedhoofika kwa kuhuzunika,
yamedhoofika kwa sababu ya adui zangu wote.
86:8 Za 119:115; 5:5; 139:19; Mt 7:23Kaeni mbali nami, ninyi nyote mtendao mabaya,
kwa maana Bwana amesikia kulia kwangu.
96:9 Za 31:22; 116:1; 3:4; 40:1, 2; 28:6Bwana amesikia kilio changu kwa huruma,
Bwana amekubali sala yangu.
106:10 2Fal 19:26; Za 40:14Adui zangu wote wataaibika na kufadhaika,
watarudi nyuma kwa aibu ya ghafula.
Salmo 6
Al director musical. Acompáñese con instrumentos de cuerda. Sobre la octava.6:0 6 Tít. Sobre la octava. Lit. Sobre sheminit. Salmo de David.
1No me reprendas, Señor, en tu ira;
no me castigues en tu furor.
2Ten compasión de mí, Señor, porque desfallezco;
sáname, Señor, que un frío de muerte recorre mis huesos.
3Angustiada está mi alma;
¿hasta cuándo, Señor, hasta cuándo?
4Vuélvete, Señor, y sálvame la vida;
por tu gran amor, ¡ponme a salvo!
5En la muerte nadie te recuerda;
en el sepulcro, ¿quién te alabará?
6Cansado estoy de sollozar;
toda la noche inundo de lágrimas mi cama,
¡mi lecho empapo con mi llanto!
7Desfallecen mis ojos a causa del dolor;
desfallecen por culpa de mis enemigos.
8¡Apartaos de mí, todos los malhechores,
que el Señor ha escuchado mi llanto!
9El Señor ha escuchado mis ruegos;
el Señor ha tenido en cuenta mi oración.
10Todos mis enemigos quedarán avergonzados y confundidos;
¡su repentina vergüenza los hará retroceder!