Zaburi 57 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 57:1-11

Zaburi 57

Kuomba Msaada

Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Utenzi wa Daudi. Baada ya kumponyoka Sauli pangoni.

157:1 Isa 26:20Unihurumie, Ee Mungu, unihurumie,

kwa maana nafsi yangu inakukimbilia.

Chini ya uvuli wa mbawa zako nitakimbilia

mpaka maafa yapite.

257:2 Za 138:8Namlilia Mungu Aliye Juu Sana,

Mungu atimizaye makusudi yake kwangu.

357:3 Za 18:9, 16; 69:14; 142:5, 7; 56:1; 25:10; 40:11; 115:1Hutumana kutoka mbinguni na kuniokoa,

akiwakemea wale wanaonifuatilia vikali;

Mungu huutuma upendo wake na uaminifu wake.

457:4 Za 35:17; 55:21; 64:3; Mit 30:14Niko katikati ya simba,

nimelala katikati ya wanyama wenye njaa kuu:

watu ambao meno yao ni mikuki na mishale,

ambao ndimi zao ni panga kali.

557:5 Za 108:5Ee Mungu, utukuzwe juu ya mbingu,

utukufu wako na uenee duniani kote.

657:6 Es 6:13; Za 31:4; 9:15; 140:5; 7:15; 38:6; 10:9; 145:14; Mit 28:10; Mhu 10:8Waliitegea miguu yangu nyavu,

nikainamishwa chini na dhiki.

Wamechimba shimo katika njia yangu,

lakini wametumbukia humo wao wenyewe.

757:7 Za 112:7; 108:1Ee Mungu, moyo wangu ni thabiti;

nitaimba na kusifu kwa moyo wangu wote.

857:8 Za 33:2; 149:3; 150:3; Amu 5:12Amka, nafsi yangu!

Amka, kinubi na zeze!

Nitayaamsha mapambazuko.

9Nitakusifu wewe, Ee Bwana, katikati ya mataifa;

nitaimba habari zako, katikati ya jamaa za watu.

1057:10 Za 36:5; 108:4Kwa maana upendo wako ni mkuu, waenea hadi mbinguni,

uaminifu wako unazifikia anga.

1157:11 Za 8:1; 149:3; 150:3; Amu 5:12Ee Mungu, utukuzwe juu mbinguni,

utukufu wako na uwe duniani pote.

Japanese Contemporary Bible

詩篇 57:1-11

57

1ああ神よ、あなただけを頼りにしているこの私を、

あわれんでください。

嵐が過ぎ去るまで、御翼の陰に潜ませてください。

2私は、天におられる神、

奇跡を行ってくださる神に叫びます。

3すると、愛と真実の神は、

天から手を差し伸べて救ってくださいます。

私を亡き者にしようと、必死になっている

うそつきどもから、救ってくださるでしょう。

4私は、獰猛なライオンに囲まれているかのようです。

彼らは、まるで槍や矢のように鋭い歯をして、

気炎を上げています。

その舌は、まさしく剣です。

5主が、天より高くあがめられますように。

ご栄光を地上高く現してください。

6敵が罠をしかけたので、

私は言いようのない恐怖にとらわれています。

彼らはまた、私の通る道に落とし穴を掘りました。

しかし、そこに落ちたのは彼らのほうだったのです。

7ああ神よ。私の心は平安で、確信に満ちています。

あなたをたたえる歌が、自然に口をついて出ます。

8私のたましいよ、目を覚ませ。

十弦の琴と竪琴よ、身を起こせ。

さあ、歌って夜明けを待とう。

9私は国中を巡り、

人々の前で神に感謝をささげます。

諸国を行き巡り、あなたをたたえる歌を歌います。

10あなたの恵みと愛は、天そのもののように広大無辺です。

あなたの真実は、空よりも高くそびえています。

11ああ神よ。

あなたの名が天よりも高くあがめられますように。

ご栄光が全世界を照らしますように。