Zaburi 57
Kuomba Msaada
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Utenzi wa Daudi. Baada ya kumponyoka Sauli pangoni.
157:1 Isa 26:20Unihurumie, Ee Mungu, unihurumie,
kwa maana nafsi yangu inakukimbilia.
Chini ya uvuli wa mbawa zako nitakimbilia
mpaka maafa yapite.
257:2 Za 138:8Namlilia Mungu Aliye Juu Sana,
Mungu atimizaye makusudi yake kwangu.
357:3 Za 18:9, 16; 69:14; 142:5, 7; 56:1; 25:10; 40:11; 115:1Hutumana kutoka mbinguni na kuniokoa,
akiwakemea wale wanaonifuatilia vikali;
Mungu huutuma upendo wake na uaminifu wake.
457:4 Za 35:17; 55:21; 64:3; Mit 30:14Niko katikati ya simba,
nimelala katikati ya wanyama wenye njaa kuu:
watu ambao meno yao ni mikuki na mishale,
ambao ndimi zao ni panga kali.
557:5 Za 108:5Ee Mungu, utukuzwe juu ya mbingu,
utukufu wako na uenee duniani kote.
657:6 Es 6:13; Za 31:4; 9:15; 140:5; 7:15; 38:6; 10:9; 145:14; Mit 28:10; Mhu 10:8Waliitegea miguu yangu nyavu,
nikainamishwa chini na dhiki.
Wamechimba shimo katika njia yangu,
lakini wametumbukia humo wao wenyewe.
757:7 Za 112:7; 108:1Ee Mungu, moyo wangu ni thabiti;
nitaimba na kusifu kwa moyo wangu wote.
857:8 Za 33:2; 149:3; 150:3; Amu 5:12Amka, nafsi yangu!
Amka, kinubi na zeze!
Nitayaamsha mapambazuko.
9Nitakusifu wewe, Ee Bwana, katikati ya mataifa;
nitaimba habari zako, katikati ya jamaa za watu.
1057:10 Za 36:5; 108:4Kwa maana upendo wako ni mkuu, waenea hadi mbinguni,
uaminifu wako unazifikia anga.
1157:11 Za 8:1; 149:3; 150:3; Amu 5:12Ee Mungu, utukuzwe juu mbinguni,
utukufu wako na uwe duniani pote.
Calme au milieu des ennemis
1Au maître de chant. Cantique57.1 Sens incertain. de David sur la mélodie de « Ne détruis pas ! » lorsqu’il s’enfuit, poursuivi par Saül et se réfugia dans la caverne57.1 Voir 1 S 22.1-2 ; 24.1-9 ; Ps 142.1..
2Aie pitié de moi, ô Dieu ! ╵Aie pitié !
Car en toi je cherche ╵mon refuge ;
je me réfugie ╵sous tes ailes
jusqu’à ce que passe ╵le malheur.
3Oui, j’appelle Dieu, ╵le Très-Haut,
Dieu qui mènera ╵tout à bien pour moi.
4Qu’il m’envoie du ciel ╵son salut,
et qu’il réprimande ╵ceux qui me poursuivent !
Que Dieu manifeste ╵envers moi ╵sa fidélité, ╵son amour !
Pause
5Je suis entouré ╵de lions,
couché au milieu ╵de gens qui consument ╵des humains.
Leurs dents sont des lances ╵et des flèches,
et leur langue ╵est une épée acérée.
6O Dieu, manifeste ╵ta grandeur ╵au-dessus des cieux
et ta gloire ╵sur toute la terre !
7Ils ont tendu un filet ╵sur ma route.
Je suis humilié.
Devant moi, ╵ils avaient creusé ╵une fosse ;
ils y sont tombés en plein.
Pause
8Mon cœur est tranquille, ╵ô mon Dieu ! ╵Mon cœur est tranquille.
Oui, je chante ╵et je te célèbre ╵en musique57.8 Pour les v. 8-12, voir 108.2-6. !
9Vite, éveille-toi, ╵ô mon âme,
vite, éveillez-vous, ╵luth et lyre !
Je veux éveiller l’aurore,
10je veux te louer, ╵ô Seigneur, ╵au milieu des peuples,
et te célébrer ╵en musique ╵parmi les nations.
11Ton amour atteint ╵jusqu’aux cieux,
ta fidélité ╵jusqu’aux nues.
12O Dieu, manifeste ╵ta grandeur ╵au-dessus des cieux
et ta gloire ╵sur toute la terre !