Zaburi 49 – NEN & CST

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 49:1-20

Zaburi 49

Upumbavu Wa Kutegemea Mali

Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora.

149:1 Isa 1:2; Za 33:8; 78:1Sikieni haya, enyi mataifa yote,

sikilizeni, ninyi wote mkaao dunia hii.

249:2 Za 62:9Wakubwa kwa wadogo,

matajiri na maskini pamoja:

349:3 Za 37:30; 119:130Kinywa changu kitasema maneno ya hekima,

usemi wa moyo wangu utatoa ufahamu.

449:4 Za 33:2; 78:2; 1Sam 16:16; Mit 1:6; Eze 12:22; 16:44; 18:2, 3; Hes 12:8; Lk 4:23Nitatega sikio langu nisikilize mithali,

nitafafanua kitendawili kwa zeze:

549:5 Za 23:4; 27:1Kwa nini niogope siku mbaya zinapokuja,

wakati wadanganyifu waovu wanaponizunguka,

649:6 Yer 48:7; Za 10:3; 73:12; Ay 22:25; 36:19wale wanaotegemea mali zao

na kujivunia utajiri wao mwingi?

749:7 Mt 16:26Hakuna mwanadamu awaye yote

awezaye kuukomboa uhai wa mwingine,

au kumpa Mungu fidia kwa ajili yake.

849:8 Hes 35:31; Mt 16:26; Ay 36:18Fidia ya uhai ni gharama kubwa,

hakuna malipo yoyote yanayotosha,

949:9 Za 22:29; 89:48; 16:10; Ebr 9:27ili kwamba aishi milele

na asione uharibifu.

1049:10 Mhu 2:16, 18, 21; Za 92:6; 94:8; Ay 27:17; Lk 12:20Wote wanaona kwamba watu wenye hekima hufa;

wajinga na wapumbavu vivyo hivyo huangamia

na kuwaachia wengine mali zao.

1149:11 Mk 5:3; Lk 8:27; Za 106:31; Kum 3:14Makaburi yao yatabaki kuwa nyumba zao za milele,

makao yao vizazi vyote;

ingawa walikuwa na mashamba

na kuyaita kwa majina yao.

1249:12 Ay 14:2Lakini mwanadamu, licha ya utajiri wake, hadumu;

anafanana na mnyama aangamiaye.

1349:13 Lk 12:20Hii ndiyo hatima ya wale wanaojitumainia wenyewe,

pia ya wafuasi wao, waliothibitisha misemo yao.

1449:14 Yer 43:11; Isa 14:2; Hes 16:30; Eze 31:14; Mal 4:3; Ay 21:13; Ufu 2:26; 1Kor 6:2; Za 9:17; 55:15; Dan 7:18, 22; Lk 22:30; 2Tim 2:12Kama kondoo, wamewekewa kwenda kaburini,49:14 Kaburini hapa ina maana ya Sheol kwa Kiebrania, yaani Kuzimu.

nacho kifo kitawala.

Wanyofu watawatawala asubuhi,

maumbile yao yataozea kaburini,

mbali na majumba yao makubwa ya fahari.

1549:15 Za 56:13; Hos 13:14; Mwa 5:24Lakini Mungu atakomboa uhai49:15 Au: nafsi. wangu na kaburi,

hakika atanichukua kwake.

16Usitishwe mtu anapotajirika,

fahari ya nyumba yake inapoongezeka,

1749:17 1Tim 6:7; Za 17:14kwa maana hatachukua chochote atakapokufa,

fahari yake haitashuka pamoja naye.

1849:18 Za 10:6; Lk 12:19Ingawa alipokuwa akiishi alijihesabu kuwa heri,

na wanadamu wanakusifu unapofanikiwa,

1949:19 Mwa 15:15; Ay 33:30atajiunga na kizazi cha baba zake,

ambao hawataona kamwe nuru ya uzima.

2049:20 Mit 16:16; Mhu 3:19-21Mwanadamu mwenye utajiri bila ufahamu

ni kama wanyama waangamiao.

Nueva Versión Internacional (Castilian)

Salmo 49:1-20

Salmo 49

Al director musical. Salmo de los hijos de Coré.

1Oíd esto, pueblos todos;

escuchad, habitantes todos del mundo,

2tanto débiles como poderosos,

lo mismo los ricos que los pobres.

3Mi boca hablará con sabiduría;

mi corazón se expresará con inteligencia.

4Inclinaré mi oído a los proverbios;

propondré mi enigma al son del arpa.

5¿Por qué he de temer en tiempos de desgracia,

cuando me rodeen inicuos detractores?

6¿Temeré a los que confían en sus riquezas

y se jactan de sus muchas posesiones?

7Nadie puede salvar a nadie,

ni pagarle a Dios rescate por la vida.

8Tal rescate es muy costoso;

ningún pago es suficiente.

9Nadie vive para siempre

sin llegar a ver la fosa.

10Nadie puede negar que todos mueren,

que sabios e insensatos perecen por igual,

y que sus riquezas se quedan para otros.

11Aunque tuvieron tierras a su nombre,

sus tumbas serán49:11 sus tumbas serán (LXX y Siríaca); su interior será (TM). su hogar eterno,

su morada por todas las generaciones.

12A pesar de sus riquezas, no perduran los mortales;

al igual que las bestias, perecen.

13Tal es el destino de los que confían en sí mismos;

el final de49:13 el final de (Targum); tras ellos (TM). los que se envanecen. Selah

14Como ovejas, están destinados al sepulcro;

hacia allá los conduce la muerte.

Sus cuerpos se pudrirán en el sepulcro,

lejos de sus mansiones suntuosas.

Por la mañana los justos prevalecerán sobre ellos.

15Pero Dios me rescatará de las garras del sepulcro

y con él me llevará. Selah

16No te asombre ver que alguien se enriquezca

y aumente el esplendor de su casa,

17porque al morir no se llevará nada,

ni con él descenderá su esplendor.

18Aunque en vida se considere dichoso,

y la gente lo elogie por sus logros,

19irá a reunirse con sus ancestros,

sin que vuelva jamás a ver la luz.

20A pesar de sus riquezas, no perduran49:20 no perduran (algunos mss.; véase v. 12); no entienden (TM). los mortales;

al igual que las bestias, perecen.