Zaburi 36 – NEN & HTB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 36:1-12

Zaburi 36

Uovu Wa Mwanadamu

Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi mtumishi wa Bwana.

136:1 Ay 21:16; 23:15; Yer 2:19; 36:16, 24; Rum 3:18; Mit 8:13; Mwa 20:11; Mhu 12:3Kuna neno moyoni mwangu

kuhusu hali ya dhambi ya mwovu.

Hakuna hofu ya Mungu

mbele ya macho yake.

236:2 Kum 29:19Kwa kuwa machoni pake mwenyewe hujisifu mno

hata hawezi kugundua au kuichukia dhambi yake.

336:3 Yer 4:22; 13:23; Za 10:7; 5:6, 9; 43:1; 144:8, 11; 94:8; Ay 5:13; Isa 44:20; Amo 3:10Maneno ya kinywa chake ni maovu na ya udanganyifu,

ameacha kuwa mwenye hekima na kutenda mema.

436:4 Mik 2:1; Rum 12:9; Isa 65:2; Za 52:3Hata kitandani mwake hupanga hila mbaya,

hujitia katika njia ya dhambi

na hakatai lililo baya.

536:5 Za 89:1; 119:90; 108:4; 57:10; 89:2; 71:19; 103:11Upendo wako, Ee Bwana, unafika hadi mbinguni,

uaminifu wako hadi kwenye anga.

636:6 Za 5:8; 68:15; Mwa 1:2; Za 104:14; 7:11; 145:9; Neh 9:6; Rum 11:33; Ay 7:20; 11:8Haki yako ni kama milima mikubwa,

hukumu zako ni kama kilindi kikuu.

Ee Bwana, wewe huwahifadhi

mwanadamu na mnyama.

736:7 Za 6:4; 17:8; 57:1; 91:4; Rut 2:12Upendo wako usiokoma

ni wa thamani mno!

Watu wakuu na wadogo

hujificha uvulini wa mbawa zako.

836:8 Za 65:4; 23:2; 63:5; Yer 31:12, 14; Ufu 22:1; Isa 25:6; Ay 20:17Wanajifurahisha katika wingi nyumbani mwako,

nawe utawanywesha katika mto wa furaha zako.

936:9 Isa 12:3; 2:5; 9:2; 60:1, 19; Yer 2:13; Zek 13:1; Yn 1:4; 4:10, 14; Ufu 21:6; Mdo 26:18; Efe 5:8; Kol 1:13; 1Pet 2:9; Mit 10:11; 16:22; Za 87:7; 4:6; 27:1; 76:4; 104:2Kuwa pamoja nawe ni kijito cha uzima,

katika nuru yako twaona nuru.

1036:10 Yer 31:3; 9:24; 22:16; Za 7:10; 11:2; 94:15; 125:4Dumisha upendo wako kwa wale wanaokujua wewe,

haki yako kwa wale walio wanyofu wa moyo.

1136:11 Za 71:4; 140:4Mguu wa mwenye kiburi usije dhidi yangu,

wala mkono wa mwovu usinifukuze.

1236:12 Za 18:38Angalia jinsi watenda mabaya walivyoanguka:

wametupwa chini, hawawezi kuinuka!

Het Boek

Psalmen 36:1-13

1Van David, de dienaar van de Here, voor de koordirigent.

2De zonde beïnvloedt de goddelozen,

ze hebben geen enkel ontzag voor God.

3De goddeloze denkt heel wat van zichzelf,

totdat het zover is dat zijn zonden aan het licht komen.

Dan wordt hij een gehaat man.

4Alles wat hij zegt, is slecht en bedrieglijk.

Verstandig en goed handelen is er niet bij.

5Zelfs in bed bedenkt hij nog allerlei kwaad,

hij bevindt zich op de verkeerde weg

en stelt zich open voor alles wat slecht is.

6Here, uw goedheid en liefde zijn zo groot,

uw trouw is oneindig, niet te meten.

7Uw rechtsgevoel is als de bergen

die U Zelf hebt gemaakt.

Uw oordeel is als een grote overstroming.

U bevrijdt mensen zowel als dieren, Here.

8Wat is het geweldig

om uw goedheid en liefde te mogen ervaren, Here!

Daarom komen talloze mensen bij U schuilen.

9Zij genieten van al het goede dat U hun biedt

en U overspoelt hen met uw zegeningen.

10Want U bent de bron van al het leven:

als wij in uw licht staan, zien wij de dingen duidelijk.

11Laten uw volgelingen

voortdurend uw goedheid en liefde mogen ervaren

en laten de eerlijke mensen

mogen delen in uw rechtsgevoel.

12Zorg toch dat

de hoogmoedige geen vat op mij krijgt

en de goddeloze mij niet opjaagt.

13De mensen die slechte dingen doen, zijn gevallen,

zij zijn neergeslagen en kunnen nooit meer opstaan!