Zaburi 3
Sala Ya Asubuhi Ya Kuomba Msaada
Zaburi ya Daudi. Alipomkimbia mwanawe Absalomu.
13:1 1Sam 15:12Ee Bwana, tazama adui zangu walivyo wengi!
Ni wengi kiasi gani wanaoinuka dhidi yangu!
23:2 Za 22:8; 22:7, 8; 71:11Wengi wanasema juu yangu,
“Mungu hatamwokoa.”
33:3 Mwa 15:1; Za 27:6; 2Fal 25:27Lakini wewe, Ee Bwana, ni ngao pande zote;
umeniwekea utukufu na kuinua kichwa changu.
43:4 Ay 30:20; Za 2:6; 27:6Ninamlilia Bwana kwa sauti kuu,
naye ananijibu kutoka mlima wake mtakatifu.
53:5 Law 26:6; Mdo 12:6; Za 4:8; 17:15; 139:18; Mit 3:24Ninajilaza na kupata usingizi;
naamka tena, kwa maana Bwana hunitegemeza.
63:6 Za 23:4; 27:3; 118:11; Ay 11:15Sitaogopa makumi elfu ya adui,
wanaojipanga dhidi yangu kila upande.
73:7 2Nya 6:41; Mt 6:13; Za 6:4; 7:1; 59:1; 57:4; 109:21; 119:153; Isa 25:9; 33:22; 35:4; 36:15; 37:20; Yer 42:11; Mao 3:16; Ay 16:10; 29:17; Mit 30:14Ee Bwana, amka!
Niokoe, Ee Mungu wangu!
Wapige adui zangu wote kwenye taya,
vunja meno ya waovu.
83:8 Za 27:1; 37:39; 62:1; Hes 6:23; Isa 43:3, 11; 44:6, 8; 45:21; Hos 13:4; Yon 2:9; Mit 21:31; Za 29:11; 129:8Kwa maana wokovu watoka kwa Bwana.
Baraka yako na iwe juu ya watu wako.
Le salut vient de l’Eternel
1Psaume de David, quand il fuyait devant son fils Absalom3.1 Voir 2 S 15.13-37..
2O Eternel, ╵mes ennemis sont si nombreux !
Oui, si nombreux mes adversaires ╵qui se sont dressés contre moi.
3Et si nombreux ceux qui prétendent
qu’il n’y a plus aucun secours ╵pour moi auprès de Dieu.
Pause3.3 Le sens de ce terme n’est pas assuré.
4Pourtant, ô Eternel, ╵tu es pour moi un bouclier ╵qui me protège.
O toi ma gloire, ╵tu me feras marcher encore ╵la tête haute.
5A haute voix, je crie vers l’Eternel ;
de sa montagne sainte, ╵mon Dieu m’exaucera.
Pause
6Quand je me couche, je m’endors ;
je me réveille ╵car l’Eternel est mon soutien.
7Je ne craindrai donc pas ╵ces multitudes
qui sont postées autour de moi.
8Eternel, lève-toi ! ╵Au secours, mon Dieu, sauve-moi !
Tu gifles tous mes ennemis :
tu casses les dents aux méchants.
9De l’Eternel vient le salut.
O Eternel, fais reposer ╵ta bénédiction sur les tiens.
Pause