Zaburi 27 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 27:1-14

Zaburi 27

Sala Ya Kusifu

Zaburi ya Daudi.

127:1 2Sam 22:29; Ay 13:5; Za 3:8; 9:9; 56:4, 11; 118:6; Kut 15:2Bwana ni nuru yangu na wokovu wangu,

nimwogope nani?

Bwana ni ngome ya uzima wangu,

nimhofu nani?

227:2 Za 9:3; 20:8; 37:24; Dan 11:19; Rum 11:11Waovu watakaposogea dhidi yangu

ili wanile nyama yangu,

adui zangu na watesi wangu watakaponishambulia,

watajikwaa na kuanguka.

327:3 Mwa 4:7; Za 3:6; Ay 4:6Hata jeshi linizunguke pande zote,

moyo wangu hautaogopa;

hata vita vitokee dhidi yangu,

hata hapo nitakuwa na ujasiri.

427:4 Lk 10:42; Za 23:6; 61:4Jambo moja ninamwomba Bwana,

hili ndilo ninalolitafuta:

niweze kukaa nyumbani mwa Bwana

siku zote za maisha yangu,

niutazame uzuri wa Bwana

na kumtafuta hekaluni mwake.

527:5 Ay 38:23; Za 12:7, 8; 40:2Kwa kuwa siku ya shida,

atanihifadhi salama katika maskani yake,

atanificha uvulini mwa hema yake

na kuniweka juu kwenye mwamba.

627:6 2Sam 22:49; Za 3:3; 33:2; 54:6; 18:48; 22:12; 92:1; 50:14; 107:22; 116:17; 147:7; Ezr 3:13; Ay 22:26; Kut 15:1; Efe 5:19Kisha kichwa changu kitainuliwa

juu ya adui zangu wanaonizunguka.

Katika maskani yake nitatoa dhabihu kwa kelele za shangwe;

nitamwimbia Bwana na kumsifu.

727:7 Za 4:1; 5:3; 18:6; 55:17; 119:149; 130:2; Isa 28:23Isikie sauti yangu nikuitapo, Ee Bwana,

unihurumie na unijibu.

827:8 1Nya 16:11Moyo wangu unasema kuhusu wewe,

“Utafute uso wake!”

Uso wako, Bwana “Nitautafuta.”

927:9 Za 2:5; 119:8; 18:46; 22:24; 37:28; Mwa 49:25; Kum 31:17; 33:29; 4:31; Isa 41:17; 62:12; Yer 14:9Usinifiche uso wako,

usimkatae mtumishi wako kwa hasira;

wewe umekuwa msaada wangu.

Usinikatae wala usiniache,

Ee Mungu Mwokozi wangu.

10Hata kama baba yangu na mama wakiniacha,

Bwana atanipokea.

1127:11 Ezr 8:21; Za 5:8; 72:4; 78:42; 106:10; Yer 21:12; Kut 33:13Nifundishe njia yako, Ee Bwana,

niongoze katika njia iliyonyooka

kwa sababu ya watesi wangu.

1227:12 Kum 19:16; Mt 26:60; Mdo 6:13; 1Kor 15:15Usiniachilie kwa nia za adui zangu,

kwa maana mashahidi wa uongo

wameinuka dhidi yangu,

wakipumua ujeuri.

1327:13 Kut 33:19; 2Nya 6:41; Za 33:6; 31:19; 145:7; Ay 18:13Nami bado nina tumaini hili:

nitauona wema wa Bwana

katika nchi ya walio hai.

1427:14 Efe 6:10; Amu 5:21; Kum 1:21; Sef 3:8; Hab 2:3; Za 33:20; 130:5, 6; Mdo 1:4; Isa 8:17; 30:18Mngojee Bwana,

uwe hodari na mwenye moyo mkuu,

nawe, umngojee Bwana.

Japanese Contemporary Bible

詩篇 27:1-14

27

1主は私の光、また救いです。

だれを恐れる必要がありましょう。

2私を亡き者にしようと襲いかかる悪者は、

つまずき倒れます。

3たとえ大軍が押し寄せようとも、恐れません。

必ず神が救ってくださると信じているからです。

4私が神にお願いすることは、ただ一つです。

私の求めてやまないものとは、

主の宮で黙想にふけり、

いのちある限り主の前で暮らすこと、

比べようもない、主の麗しさと完全と栄光とを

喜ぶ特権です。

5悩みの日に、私は宮へ出かけます。

主は私をかくまってくださり、

高い岩の上に座らせて、

6敵が手出しできないようにしてくださいます。

そのとき、私は主に供え物をささげ、

大喜びで賛美の歌を歌います。

7私の訴えに耳を傾けてください。

主よ。あわれんで、お助けください。

8「ここに来なさい。話をしよう。」

この御声を、私の心は聞きました。

そして、こう答えます。

「主よ、参ります。」

9どうか、お隠れにならないでください。

私は、あなたを見つけ出そうとしているのです。

怒って、召使の私を退けないでください。

かつてあなたは、私が試練に会うたびに

助けてくださったではありませんか。

私を見放さないでください。

ああ救いの神よ、見捨てないでください。

10たとえ、父や母が私を勘当しても、

主は迎え入れて、慰めてくださるはずです。

11ああ主よ。どうすべきか、はっきりと教えてください。

敵が手ぐすねひいて待ちかまえているのです。

12どうか、敵に捕まったりしませんように。

私が彼らの手中に陥ることがありませんように。

身に覚えのないことを、彼らは告発するのです。

そして、いつも残忍な仕打ちを企んでいます。

13主は、今度もきっと救い出してくださいます。

人々が生きているこの地上で、

再び主のあわれみを見ることができますように。

14いらだってはいけません。主を待ち望みなさい。

主は必ず来てくださり、あなたを救ってくださいます。

勇気を出しなさい。主を待ち望みなさい。

主はきっとあなたを救ってくださいます。