Zaburi 26
Maombi Ya Mtu Mwema
Zaburi ya Daudi.
126:1 1Sam 24:15; Isa 12:2; 25:9; Mit 20:7; Yer 17:7; Za 15:2; 22:4; 40:4; 2Fal 20:3; Dan 3:28; Ebr 10:23Ee Bwana, nithibitishe katika haki,
maana nimeishi maisha yasiyo na lawama;
nimemtumainia Bwana
bila kusitasita.
226:2 Za 7:9; 66:10; Kum 6:6; Eze 11:5; Yer 22:20; 20:12Ee Bwana, unijaribu, unipime,
uuchunguze moyo wangu
na mawazo yangu;
326:3 1Fal 2:4; Za 6:4; 40:11; 43:3; 86:11; 119:30kwa maana upendo wako
uko mbele yangu daima,
nami natembea siku zote
katika kweli yako.
426:4 Za 1:1; 28:3; Mt 6:226:4 Amo 9:6; Zek 10:1Siketi pamoja na watu wadanganyifu,
wala siandamani na wanafiki,
526:5 Za 139:21ninachukia kusanyiko la watenda mabaya
na ninakataa kuketi pamoja na waovu.
626:6 Za 73:13; Mt 27:24Ninanawa mikono yangu kwa kuwa sina hatia,
naikaribia madhabahu yako, Ee Bwana,
726:7 Isa 42:12; 60:6; Yos 3:5; Za 9:1nikitangaza sifa yako kwa sauti kubwa,
huku nikisimulia matendo yako ya ajabu.
826:8 Za 96:6; 122:6; Isa 66:10; 2Nya 7:1; Kut 29:43Ee Bwana, naipenda nyumba yako mahali unakoishi,
mahali ambapo utukufu wako hukaa.
926:9 Za 5:6; 28:3; 55:23; 139:19; Mit 29:10Usiiondoe nafsi yangu pamoja na watenda dhambi,
wala uhai wangu pamoja na wamwagao damu,
1026:10 Za 21:11; Isa 1:23; Ay 36:18; Eze 22:12ambao mikononi mwao kuna mipango miovu,
ambao mikono yao ya kuume imejaa rushwa.
1126:11 Za 31:5; 69:18; 119:134; Tit 2:14Bali mimi ninaishi maisha yasiyo na lawama;
nikomboe na unihurumie.
1226:12 Za 22:25; 27:11; Ay 36:18; Lk 6:17; Isa 26:7; 40:3-4; 45:13; Zek 4:7Miguu yangu imesimama katika uwanja tambarare;
katika kusanyiko kuu nitamsifu Bwana.
Psalm 26
En oskyldig mans bön
1Av David.
Skaffa mig rätt, Herre,
för jag har levt ett klanderfritt liv.
Jag har förtröstat på Herren
utan att vackla.
2Sätt mig på prov, Herre,
utforska mig, granska hela mitt innersta!
3För jag har din nåd inför mina ögon
och din sanning som förebild.
4Jag sitter inte tillsammans med lögnare
och håller inte ihop med hycklare.
5Jag hatar de ondas samlingar
och vägrar att sitta hos de gudlösa.
6Jag tvättar mina händer i oskuld
och går runt ditt altare, Herre.
7Jag höjer min röst till tacksägelse
och förkunnar alla dina under.
8Herre, jag älskar din boning, ditt hus,
platsen där din härlighet bor.
9Ryck inte bort mitt liv med syndarnas,
låt mig inte dö som de blodtörstiga,
10som har båda händerna fulla med onda planer
och högra handen med mutor.
11Men jag lever ett klanderfritt liv.
Befria mig och visa nåd!
12Jag står på fast grund,
och i församlingarna vill jag prisa Herren.