Zaburi 18 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 18:1-50

Zaburi 18

Wimbo Wa Daudi Wa Ushindi

(2 Samweli 22:1-51)

Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi mtumishi wa Bwana aliyomwimbia Bwana wakati Bwana alipomwokoa mikononi mwa adui zake wote, na pia mkononi mwa Sauli. Alisema hivi:

118:1 Kut 15:2; Yer 16:19; Kum 32:4; 33:29; Za 91:2; 22:19; 59:9; 81:1; 1Sam 2:2; Isa 2:10; 12:2; 49:5Nakupenda wewe, Ee Bwana,

nguvu yangu.

218:2 Kut 33:22; Isa 2:1; 17:10; Yer 16:19; Za 40:17; 114:2; 2:12; 9:9; 94:20; 28:7, 8; 31:2, 3; 84:9; 119:114; Ebr 2:13; Mwa 15:1; Lk 1:69Bwana ni mwamba wangu,

ngome yangu na mwokozi wangu,

Mungu wangu ni mwamba,

ambaye kwake ninakimbilia.

Yeye ni ngao yangu na pembe ya wokovu wangu,

ngome yangu.

318:3 1Nya 16:25; Za 9:13; 76:4Ninamwita Bwana anayestahili kusifiwa,

nami ninaokolewa kutoka kwa adui zangu.

418:4 Za 116:4; 93:4; 124:6; Eze 43:2; Isa 5:30; 17:12; Yer 6:23; 51:42, 55Kamba za mauti zilinizunguka,

mafuriko ya maangamizi yalinilemea.

518:5 Mit 14:13Kamba za kuzimu zilinizunguka,

mitego ya mauti ilinikabili.

618:6 Kum 4:30; Za 30:2; 99:6; 102; 120:1; 66:19; 116:1; Ay 16:18Katika shida yangu nalimwita Bwana,

nilimlilia Mungu wangu anisaidie.

Kutoka hekaluni mwake alisikia sauti yangu,

kilio changu kikafika mbele zake,

masikioni mwake.

718:7 Za 97:4; Isa 5:25; 64:3; Amu 5:4, 5; Ay 9:5; Yer 10:10; Mdo 4:31Dunia ilitetemeka na kutikisika,

misingi ya milima ikatikisika,

vilitetemeka kwa sababu alikuwa amekasirika.

818:8 Ay 41:20, 21; Kut 15:17; 19:18; Mit 25:22; Za 50:3; 97:3; Dan 7:10; Rum 12:20Moshi ukapanda kutoka puani mwake,

moto uteketezao ukatoka kinywani mwake,

makaa ya moto yawakayo

yakatoka ndani mwake.

918:9 Mwa 11:5; Isa 64:1; Za 57:3; 104:3; Kut 20:21; Kum 33:26Akazipasua mbingu akashuka chini,

mawingu meusi yalikuwa chini ya miguu yake.

1018:10 Mwa 3:24; Eze 10:18; Kum 33:26; Za 104:3; 99:1Alipanda juu ya kerubi akaruka,

akapaa juu kwa mbawa za upepo.

1118:11 Za 97:2; Kut 19:9; Ay 22:14; Isa 4:5; Kum 4:11; Yer 43:10Alifanya giza kuwa kitu chake cha kujifunika,

hema lake kumzunguka,

mawingu meusi ya mvua ya angani.

1218:12 Za 104:2; Yos 10:10; Ay 36:30Kutokana na mwanga wa uwepo wake

mawingu yalisogea,

ikanyesha mvua ya mawe

na umeme wa radi.

1318:13 Kut 9:23; Za 29:3; 2Sam 2:10Bwana alinguruma kutoka mbinguni,

sauti ya Aliye Juu Sana ilisikika.

1418:14 Kum 32:23; Ay 6:4; 36:30; Ufu 4:5; Za 21:12; Amu 4:15; Hes 24:8Aliipiga mishale yake na kutawanya adui,

naam, umeme mwingi wa radi na kuwafukuza.

1518:15 Za 11:3; 76:6; 104:7; 106:9; Isa 50:2; Kut 15:8Mabonde ya bahari yalifunuliwa,

na misingi ya dunia ikawa wazi

kwa kukaripia kwako, Ee Bwana,

kwa uvumi wa pumzi kutoka puani mwako.

1618:16 Kut 15:5; Mit 18:4; 20:5; Za 69:2; 144:7Alinyoosha mkono kutoka juu na kunishika;

alinitoa kutoka kilindi cha maji makuu.

1718:17 Za 38:19; 59:1; 143:9; Amu 18:26Aliniokoa kutoka adui wangu mwenye nguvu nyingi,

kutoka adui zangu waliokuwa na nguvu nyingi kuliko mimi.

1818:18 Mit 1:27; 16:4; Yer 17:17; 40:2; Oba 1:13; Za 20:2; Isa 3:1Walinikabili siku ya msiba wangu,

lakini Bwana alikuwa msaada wangu.

1918:19 Za 31:8; 118:5; Hes 14:8Alinileta nje mahali penye nafasi tele,

akaniokoa kwa kuwa alipendezwa nami.

2018:20 1Sam 22:21; 26:23; Ay 22:30; Za 24:4; Rum 2:12; 2Nya 15:7; 1Kor 3:8; Mit 6:4Bwana alinitendea sawasawa na uadilifu wangu;

sawasawa na usafi wa mikono yangu amenilipa.

2118:21 2Nya 34:33; Za 37:34; 119:2; 102; Mit 8:32; 23:26Kwa maana nimezishika njia za Bwana;

sijatenda ubaya nikamwacha Mungu wangu.

2218:22 Za 119:30Sheria zake zote zi mbele yangu,

wala sijayaacha maagizo yake.

2318:23 Mwa 6:9Nimekuwa sina hatia mbele zake,

nami nimejilinda nisitende dhambi.

2418:24 1Sam 26:23; Rut 2:12; Mt 10:41-42Bwana amenilipa sawasawa na uadilifu wangu;

sawasawa na usafi wa mikono yangu machoni pake.

2518:25 Za 31:23; 37:23; 50:5; 25:10; 40:11; 89:24; 146:6; Mit 2:8; Mt 18:32-35Kwa yeye aliye mwaminifu, unajionyesha kuwa mwaminifu,

kwa asiye na hatia, unajionyesha kutokuwa na hatia.

2618:26 Mit 15:26; Mt 5:8; Flp 1:10; 1Tim 5:22; Tit 1:15; 1Yn 3:3; Mit 3:34; Mt 10:16; Lk 16:8; Law 26:23Kwa aliye mtakatifu, unajionyesha kuwa mtakatifu,

lakini kwa aliyepotoka, unajionyesha kuwa mkaidi.

2718:27 2Nya 33:23; Mt 23:12; Ay 41:34; Za 10:5; Mit 3:33-35; 6:17Wewe huwaokoa wanyenyekevu,

lakini huwashusha wenye kiburi.

2818:28 1Fal 11:36; Za 132:17; Ay 29:3; Za 97:11; 112:4; Yn 1:5; Mdo 26:18; 2Kor 4:6; 2Pet 1:19; Ay 18:6Wewe, Ee Bwana, unaifanya taa yangu iendelee kuwaka;

Mungu wangu hulifanya giza langu kuwa mwanga.

2918:29 Isa 45:5; Ebr 11:34Kwa msaada wako naweza kushinda jeshi,

nikiwa pamoja na Mungu wangu

nitaweza kuruka ukuta.

3018:30 Kum 32:4; Za 12:6; 3:3; 2:12; Mit 30:5; Ufu 15:3; Rum 12:3Kuhusu Mungu, njia yake ni kamilifu,

neno la Bwana halina dosari.

Yeye ni ngao kwa wote

wanaokimbilia kwake.

3118:31 Kum 4:5; 32:39; Za 35:10; 86:8; 89:6; Isa 46:9; 44:6, 8; 45:5, 6, 14, 18, 21; Mwa 49:24Kwa maana ni nani aliye Mungu

zaidi ya Bwana?

Ni nani aliye Mwamba

isipokuwa Mungu wetu?

3218:32 1Pet 5:10; Yak 3:2; Za 15:2; 19:13; Ebr 10:14Mungu ndiye anivikaye nguvu

na kufanya njia yangu kuwa kamilifu.

3318:33 Za 42:1; Mit 5:19; Isa 35:6; Hab 3:19; Kum 32:13Huifanya miguu yangu kama miguu ya kulungu,

huniwezesha kusimama mahali palipo juu.

3418:34 Za 144:1Huifundisha mikono yangu kupigana vita;

mikono yangu inaweza kupinda upinde wa shaba.

3518:35 Za 3:5; 37:5, 17; 41:3; 51:2; 54:4; 55:22; 119:116; Isa 41:4, 10, 13; 43:2; 46:4Hunipa ngao yako ya ushindi,

nao mkono wako wa kuume hunitegemeza,

unajishusha chini ili kuniinua.

3618:36 Ay 18:7; Za 31:8; 66:9Huyapanua mapito yangu,

ili miguu yangu isiteleze.

3718:37 Law 26:7Niliwafuatia adui zangu na nikawapata,

sikurudi nyuma mpaka walipoangamizwa.

3818:38 Za 68:21; 110:6; 36:12; 47:3; 140:10; Isa 26:14Niliwaseta hata hawakuweza kuinuka tena;

walianguka chini ya miguu yangu.

3918:39 Za 18:32, 47; Isa 45:5, 24; Za 47:3; 144:2Ulinivika nguvu kwa ajili ya kupigana vita;

uliwafanya adui zangu wasujudu miguuni pangu.

4018:40 Yos 7:12; Za 18:37Uliwafanya adui zangu wageuke na kukimbia,

nami nikawaangamiza adui zangu.

4118:41 2Fal 14:26; Za 50:22; 1Sam 8:18; 14:37; Yer 11:11; Mit 1:28Walipiga yowe, lakini hapakuwepo na yeyote wa kuwaokoa;

walimlilia Bwana, lakini hakuwajibu.

4218:42 Kum 9:21; Isa 2:22Niliwaponda kama mavumbi yanayopeperushwa na upepo;

niliwamwaga nje kama tope barabarani.

4318:43 2Sam 8:1-14; Isa 55:5Umeniokoa kutokana na mashambulizi ya watu;

umenifanya kuwa kiongozi wa mataifa,

watu ambao sikuwajua wananitumikia.

4418:44 Za 144:7, 11; 54:3; Isa 25:5Mara wanisikiapo hunitii,

wageni hunyenyekea mbele yangu.

4518:45 2Kor 4:1; Ebr 12:3; 1Sam 17:32; Isa 66:2; Hos 3:5; 11:10; Za 9:9; Mik 7:17Wote wanalegea,

wanatoka katika ngome zao wakitetemeka.

4618:46 Yos 3:10; 2Kor 13:4; 1Sam 14:39; Kut 33:22; Za 21:13; 35:27; 40:16; 108:5; 1Nya 16:35; Lk 1:47; Yer 10:10Bwana yu hai! Sifa ni kwa Mwamba wangu!

Atukuzwe Mungu Mwokozi wangu!

4718:47 Mwa 4:24; Za 18:29; Amu 4:23Yeye ndiye Mungu anilipiziaye kisasi,

awatiishaye mataifa chini yangu,

4818:48 Dan 3:17; Za 7:10; 37:40; 140:2; 18:49aniokoaye na adui zangu.

Uliniinua juu ya adui zangu;

uliniokoa toka kwa watu wajeuri.

4918:49 Za 101:1; 7:17; 9:2; 108:1; 146:2; Rum 15:9Kwa hiyo nitakusifu katikati ya mataifa, Ee Bwana;

nitaliimbia sifa jina lako.

5018:50 2Sam 23:1; Za 144:10; 89:4Humpa mfalme wake ushindi mkuu,

huonyesha fadhili zake kwa mpakwa mafuta wake,

kwa Daudi na wazao wake milele.

Japanese Contemporary Bible

詩篇 18:1-50

18

ダビデは、主がサウルをはじめ多くの敵から彼を救い出した時、この歌を歌いました。

1主よ。私はどれほど主をお慕いしていることでしょう。

こんなにもすばらしいことをしてくださった主を。

2主は、安心して身を寄せることのできるとりでです。

誰ひとり、このとりでに入って来て、

私を殺すことはできません。

主は、身を隠すことができる険しい山であり、

私の救い主です。

だれも近づくことのできない岩、安全を守る塔、

また私の盾です。

3私はただ、主に叫び求めさえすればよいのです。

そうすれば主は、あらゆる敵から助けてくださいます。

ああ、主をほめたたえます。

4死の鎖が私に巻きつき、

洪水のように滅びが押し寄せてきました。

5私は罠に落ち、助けてくれる人もなく、

死へと引きずり込む綱の力に抵抗してもがきました。

6苦しみの中で、私は主の助けを叫び求めました。

その声を、主は天から聞いてくださいました。

叫びは届いたのです。

7その時、大地は揺れ動き、

山々は震えわななきました。

主の御怒りのためです。

8主の御口からすさまじい炎が吹き出して

地を焼き尽くし、鼻からは煙が立ち上りました。

9主は天を切り裂いて降りて来て、

私を救ってくださいました。

御足の下には暗闇がありました。

10主は力ある天使にまたがり、風を翼とし、

矢のように速く、助けに来てくださいました。

11暗闇を身にまとい、

一寸先もわからない濃い黒雲に覆われて、

近づいてくださいました。

12突然、いなずまと雹の嵐を伴った御姿が、

雲間から輝きました。

13雷のような声が天空にとどろき、

神々の上に君臨する神がお語りになったのです。

なんという雹、なんという火でしょう。

14主はいなずまを恐怖の矢として放ち、

私の敵をかき乱しました。

あの逃げ惑うさまを見てください。

15主よ、ご命令のままに海の水は引き、

あなたのすさまじい鼻息で、

海の底はむき出しになりました。

16主は天から下って来て、

大きな試練から私を助け出してくださいました。

深い海の底から引き上げてくださったのです。

17敵の手にかかって、手も足も出なかった私。

その私を頑強な敵、私を憎む者から

救い出してくださいました。

18彼らは、弱りきっている私に襲いかかりました。

しかし、主は私をしっかりと支え、

19安全な場所へと連れ出してくださいました。

私を喜びとされたからです。

20正しいことを行い、潔白であったことに

報いてくださったのです。

21私はご命令に従い、主に背を向けて

罪を犯すようなことはしませんでした。

22いつも主のおきてを目の前に掲げ、

一つたりとも捨てたりしなかったのです。

23おきてを守ることに全力を尽くし、

悪行への誘惑を振り払い続けました。

24それに答えて、主は祝福を下さったのです。

私が正しいことを行い、

純粋な思いを抱いていたことをご存じなのです。

主は私のすべての歩みに

目を留めておられるのですから。

25主よ。あなたは、恵み深い者に対しては、

なんと恵み深くあられることでしょう。

また、悪の道から引き返す者には、

罰をお加えになりません。

26心のきよい者には祝福を、

主の道からそれる者には苦痛をお与えになります。

27謙遜な者をお救いになりますが、

高慢で横柄な者は有罪に定められます。

28主は、私に明かりをともしてくださいました。

私の神、主は、私を包む闇を

光に変えてくださいました。

29今や私には、どんなに高い城壁でもよじ登り、

どんなに強力な軍隊に対しても

攻撃する力が与えられています。

30なんとすばらしい神でしょう。

神はあらゆる点で全く完全です。

そのお約束がすべて真実であることは明らかです。

その背後に隠れる者には盾となってくださいます。

31私たちの主のほかに、だれが神でありえましょう。

だれが不動の岩でありえましょう。

32神は私に力をみなぎらせ、

行く先々でお守りくださいます。

33私の足を、岩山ででもしっかり立つ

野やぎのようにし、

絶壁の上をも安全に導いてくださいます。

34戦いに備えて私を鍛え、

鉄の弓さえ引く力を与えてくださいます。

35主の救いは私の盾です。

ああ主よ。右の御手が私を支えています。

主のご温情のおかげで、

私は名の知れた者となりました。

36主は、私を大またで歩かせ、

しかも足がすべらないようにしてくださいました。

37私は敵を追撃し、

一人残らず倒すまでは引き返しませんでした。

38そして、彼らを地面に突き刺しました。

敵は力を失い、私はその首を踏みつけたのです。

39戦いに臨んで、

頑丈なよろいを着せていただいたおかげです。

敵は私を見ておじけづき、足もとに倒れ伏します。

40彼らが背を向けて逃げるように仕向けたので、

私は私を憎む者を滅ぼすことができました。

41大声で助けを求めても、

誰ひとり彼らを助ける者はいませんでした。

そこで、彼らは主に向かって叫びましたが、

返事がありません。

42私は、ここぞとばかり彼らをちりのように粉々に砕き、

空中高くまき散らしました。

彼らを、床を掃くように掃き捨てました。

43-45神は、次々と

戦いに勝利をもたらしてくださいました。

諸国の民は私のもとに来て、仕えるようになりました。

私がそれまで知らなかった国民までが、

やって来てひれ伏すのです。

私に会ったこともない外国人が、

いとも簡単に服従します。

彼らは震えながら、とりでから出て来るのです。

46主は生きておられます。

大いなる救いの岩である神をほめたたえよ。

47神は私に害を加える者に報復し、

目の前の国々を制圧してくださいます。

48敵に囲まれた私を助け出して、

手の届かない安全な場所に移し、

猛威をふるう相手から救ってくださいます。

49ですから、私は主を国々の間でほめたたえます。

50主から王に定められた私は、

幾度となく、奇跡的に救い出されました。

いつも愛と恵みを注いでいただきました。

主は、私の子孫をも同様に、

お恵みくださることでしょう。