Zaburi 17
Sala Ya Mtu Asiye Na Hatia
Sala ya Daudi.
117:1 Za 30:10; 64:1; 80:1; 140:6; 5:1, 2; 39:12; 142:6; 143:1; Isa 29:13Sikia, Ee Bwana, kusihi kwangu kwa haki,
sikiliza kilio changu.
Tega sikio kwa ombi langu,
halitoki kwenye midomo ya udanganyifu.
217:2 Za 24:5; 26:1; 99:4; Isa 46:13; 50:8-9; 54:17Hukumu yangu na itoke kwako,
macho yako na yaone yale yaliyo haki.
317:3 Za 139:1; Yak 3:2; Ay 7:18; 23:10; Yer 12:3; 50:20Ingawa unauchunguza moyo wangu na kunikagua usiku,
ingawa umenijaribu, hutaona chochote.
Nimeamua kwamba kinywa changu
hakitatenda dhambi.
417:4 Rum 12:2Kuhusu matendo ya wanadamu:
kwa neno la midomo yako,
nimejiepusha
na njia za wenye jeuri.
517:5 Ay 23:11; Za 44:18; 73:2; 121:3; Kum 32:35Hatua zangu zimeshikamana na njia zako;
nyayo zangu hazikuteleza.
617:6 Za 84:7; 116:2; 4:1Ee Mungu, ninakuita, kwa kuwa utanijibu,
nitegee sikio lako na usikie ombi langu.
717:7 Za 31:21; 69:13; 106:45; 107:43; 117:2; 10:12; 2:12Uonyeshe ajabu ya upendo wako mkuu,
wewe uokoaye kwa mkono wako wa kuume
wale wanaokukimbilia kutokana na adui zao.
817:8 Hes 6:24; Isa 34:15; Kum 32:10; Mit 7:2; Za 27:5; 31:20; 32:7; 36:7; 63:7; Rum 2:12Nilinde kama mboni ya jicho lako,
unifiche chini ya kivuli cha mbawa zako
917:9 Za 109:3kutokana na waovu wanaonishambulia,
kutokana na adui wauaji wanaonizunguka.
1017:10 Za 73:7; 119:70; Isa 6:10; 2:3Huifunga mioyo yao iliyo migumu,
vinywa vyao hunena kwa majivuno.
1117:11 Za 88:17; 1Sam 23:26Wamenifuatia nyayo zangu, sasa wamenizingira,
wakiwa macho, waniangushe chini.
1217:12 Za 7:2; Yer 5:6; 12:8; Mao 3:10; Mwa 49:9Wamefanana na simba mwenye njaa awindaye,
kama simba mkubwa anyemeleaye mafichoni.
1317:13 Za 35:8; 55:23; 73:18; Hes 10:3Inuka, Ee Bwana, pambana nao, uwaangushe,
niokoe kutokana na waovu kwa upanga wako.
1417:14 Za 49:17; Lk 16:8, 25; Isa 2:7; 57:17Ee Bwana, mkono wako uniokoe na watu wa jinsi hii,
kutokana na watu wa ulimwengu huu
ambao fungu lao liko katika maisha haya.
Na wapate adhabu ya kuwatosha.
Watoto wao na wapate zaidi ya hayo,
hukumu na iendelee kwa watoto wa watoto wao.
1517:15 Za 3:5; Hes 12:2; Mt 5:8; 1Yn 3:2Na mimi katika haki nitauona uso wako,
niamkapo, nitaridhika kwa kuona sura yako.
죄 없는 사람의 기도
(다윗의 기도)
1여호와여, 나의 정당한
간청을 들어주소서.
나의 부르짖는 소리에
귀를 기울이소서.
거짓되지 않은 입술에서 나오는
내 기도를 들어주소서.
2주는 언제나 공정하신 분이십니다. 나를 정당하게 판단하소서.
3주께서 내 마음을 시험하시고
밤에 나를 조사하여
철저히 살피셨으나
나에게서 아무런 흠도
찾지 못하셨으니
내가 입으로 범죄하지 않을 것을
결심하였습니다.
4나는 주의 말씀을 좇아
스스로 조심하고
잔인하고 악한 자들과
어울리지 않았습니다.
5나는 항상 주의 길을 따르고
그 길에서 벗어나지 않았습니다.
6하나님이시여,
주께서 응답하실 줄 알고
내가 주를 불렀습니다.
나에게 귀를 기울여
내 기도를 들으소서.
7주께 피하는 자를
그 대적의 손에서 구원하시는 주여, 나에게 주의 놀라운 사랑을
나타내소서.
8주의 눈동자처럼 나를 지키시고
주의 날개 그늘 아래 나를 숨기시며
9나를 괴롭히는 악인들과
나를 에워싼 원수들에게서
내가 벗어나게 하소서.
10그들은 17:10 또는 ‘자기 기름에 잠겼으며’무정하며
거만스럽게 말합니다.
11그들은 내 발길이 닿는 곳마다
나를 에워싸고 나를 넘어뜨릴
기회만 엿보고 있습니다.
12그들은 숨어서 먹이를 기다리는
굶주린 사자처럼 나를 기다리며
나를 갈기갈기 찢고자 합니다.
13여호와여, 일어나소서.
그들을 대항하여 물리치시고
주의 칼로 악인들에게서
나를 구하소서.
14여호와여,
자기들의 몫을 다 받은
이 세상 사람들에게서
나를 구하소서.
그들은 주의 것으로 배불리 먹고
그 자녀들도 풍족하게 먹이고
남은 재산을 그 후손에게까지
물려 주려고 합니다.
15그러나 나는 의로운 가운데
주를 볼 것이며
17:15 암시됨.천국에서 깰 때에는
주의 모습을 보고 만족할 것입니다.