Zaburi 16 – NEN & HTB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 16:1-11

Zaburi 16

Sala Ya Matumaini

Utenzi wa Daudi.

116:1 Za 25:20; 12:7; 2:12Ee Mungu, uniweke salama,

kwa maana kwako nimekimbilia.

216:2 Za 31:14; 73:25; 118:28; 140:6Nilimwambia Bwana, “Wewe ndiwe Bwana wangu;

pasipo wewe sina jambo jema.”

316:3 Kum 33:3; Rum 1:7; Dan 7:18; Mdo 9:13; Za 30:4; 85:8; 101:6Kwa habari ya watakatifu walioko duniani,

ndio walio wa fahari ambao ninapendezwa nao.

416:4 Za 32:10; Kut 13:13; 18:11; 20:3; Mit 23:29; Kum 18:19; 31:20Huzuni itaongezeka kwa wale

wanaokimbilia miungu mingine.

Sitazimimina sadaka zao za damu

au kutaja majina yao midomoni mwangu.

516:5 Law 2:2; Za 23:5; 75:8; 116:13; Isa 51:17; Hab 2:16; Ay 22:26; Mao 4:21Bwana umeniwekea fungu langu na kikombe changu;

umeyafanya mambo yangu yote yawe salama.

616:6 Kum 19:14; Za 104:9; Ay 22:26; Mit 8:29; Yer 5:22Alama za mipaka zimeniangukia mahali pazuri,

hakika nimepata urithi mzuri.

716:7 Za 73:24; 42:8; 77:6; Mit 15:22; Isa 11:2; Ay 35:10Nitamsifu Bwana ambaye hunishauri,

hata wakati wa usiku moyo wangu hunifundisha.

816:8 Isa 36:15; 37:2016:8 1Fal 2:19; 1Nya 6:39; Za 73:23; 15:5Nimemweka Bwana mbele yangu daima.

Kwa sababu yuko mkono wangu wa kuume,

sitatikisika.

916:9 Za 4:7; 13:5; 28:7; 30:11; Kum 33:26Kwa hiyo moyo wangu unafurahia, na ulimi wangu unashangilia;

mwili wangu nao utapumzika salama,

1016:10 Za 30:3; 31:17; 49:15; 86:13; Mdo 2:27, 31; 13:35; Hos 13:14; 2Fal 19:22; Lk 1:35; Ay 17:14; Dan 9:24; Hes 16:30kwa maana hutaniacha kaburini,

wala hutamwacha Mtakatifu Wako kuona uharibifu.

1116:11 Mdo 2:25-28; Mt 7:14; Isa 29:13; Za 139:24; 21:6; 80:1, 17; 30:10; 64:1; 140:6; 5:1, 2; 39:12; 142:6Umenijulisha njia ya uzima;

utanijaza na furaha mbele zako,

pamoja na furaha za milele

katika mkono wako wa kuume.

Het Boek

Psalmen 16:1-11

1Een speciaal lied van David.

Zorg voor mij, mijn God,

ik zoek mijn bescherming bij U.

2Ik zei tegen de Here:

‘U bent mijn God,

er is niets of niemand beter dan U.

3Als ik kijk naar de andere mensen die U volgen,

wordt mijn hart warm van blijdschap.

4Mensen die afgoden nalopen,

worden getroffen door veel ellende.

Ik zal nooit aan hun afgoden offeren,

zelfs hun namen zal ik niet noemen.

5Here, U bent alles wat ik bezit en ooit begeer

U leidt mijn hele leven.

6U geeft mij meer dan ik nodig heb

en alles wat ik van U ontvang,

geeft mij grote vreugde.’

7Ik loof de Here,

die mij steeds de weg wees.

Zelfs wanneer ik slaap, leidt Hij mij.

8Ik heb de Here altijd voor ogen,

Hij leidt mij en houdt mij overeind.

9Daarom is er vreugde in mijn hart

en ben ik gelukkig.

Zelfs mijn lichaam

is veilig bij Hem.

10U zult mij niet

in het dodenrijk laten liggen.

U zult het lichaam van uw beminde niet

laten vergaan.

11U leert mij hoe ik leven moet,

mijn grootste vreugde is dicht bij U te zijn.

Uw liefde is er tot in eeuwigheid.