Zaburi 149
Wimbo Wa Kumsifu Mungu Kwa Wema Wake
1149:1 Za 33:2; 103:1; 28:7; 1:5; 96:1; Ufu 5:9; Isa 42:10Msifuni Bwana.
Mwimbieni Bwana wimbo mpya,
sifa zake katika kusanyiko la watakatifu.
2149:2 Yer 51:48; Zek 9:9; Za 10:16; 47:6; 95:6; Ay 35:10; 10:3; Isa 13:3; 32:1; 44:2; 45:11; 54:5Israeli na washangilie katika Muumba wao,
watu wa Sayuni na wafurahi katika Mfalme wao.
3149:3 Kut 15:20; Za 57:8Na walisifu jina lake kwa kucheza
na wampigie muziki kwa matari na kinubi.
4149:4 Za 35:27; 147:11; 132:16; Mit 11:20Kwa maana Bwana anapendezwa na watu wake,
anawavika wanyenyekevu taji ya wokovu.
5149:5 Za 132:16; 42:8; Ay 35:10Watakatifu washangilie katika heshima hii,
na waimbe kwa shangwe vitandani mwao.
6149:6 Za 66:17; Ebr 4:12; Ufu 1:16; Neh 4:17; Kum 7:1, 2Sifa za Mungu na ziwe vinywani mwao
na upanga ukatao kuwili mikononi mwao,
7149:7 Hes 31:3; Kum 32:41; Za 81:15ili walipize mataifa kisasi
na adhabu juu ya mataifa,
8149:8 2Sam 3:34; Isa 14:1-2; 2Nya 33:11wawafunge wafalme wao kwa minyororo,
wakuu wao kwa pingu za chuma,
9149:9 Kum 7:1; 1Yn 5:4; Eze 28:26; Za 145:10; Rum 16:20ili kuwafanyia hukumu iliyoandikwa dhidi yao.
Huu ndio utukufu wa watakatifu wake wote.
Msifuni Bwana.
Salmo 149
1Aleluia!
Cantem ao Senhor uma nova canção,
louvem-no na assembleia dos fiéis.
2Alegre-se Israel no seu Criador,
exulte o povo de Sião no seu Rei!
3Louvem eles o seu nome com danças;
ofereçam-lhe música com tamborim e harpa.
4O Senhor agrada-se do seu povo;
ele coroa de vitória os oprimidos.
5Regozijem-se os seus fiéis nessa glória
e em seu leito cantem alegremente!
6Altos louvores estejam em seus lábios
e uma espada de dois gumes em suas mãos,
7para impor vingança às nações
e trazer castigo aos povos;
8para prender os seus reis com grilhões
e seus nobres com algemas de ferro;
9para executar a sentença escrita contra eles.
Esta é a glória de todos os seus fiéis.
Aleluia!