Zaburi 143 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 143:1-12

Zaburi 143

Maombi Ya Kuokolewa Dhidi Ya Adui

Zaburi ya Daudi.

1143:1 Za 141:1; 28:2; 130:2; 89:1-2Ee Bwana, sikia sala yangu,

sikiliza kilio changu unihurumie;

katika uaminifu na haki yako

njoo unisaidie.

2143:2 Za 14:3; Rum 3:10; Ay 14:3; 4:17; Mhu 7:20; Gal 2:16Usimhukumu mtumishi wako,

kwa kuwa hakuna mtu anayeishi aliye mwenye haki mbele zako.

3143:3 Za 107:10; 7:1, 2; Law 3:6Adui hunifuatilia,

hunipondaponda chini;

hunifanya niishi gizani

kama wale waliokufa zamani.

4143:4 Za 30:7Kwa hiyo roho yangu inazimia ndani yangu,

moyo wangu ndani yangu unakata tamaa.

5143:5 Za 77:6; 77:5, 11; Mwa 24:63Nakumbuka siku za zamani;

natafakari juu ya kazi zako zote,

naangalia juu ya kazi

ambazo mikono yako imezifanya.

6143:6 Kut 9:29; Ay 11:13; Za 28:2Nanyoosha mikono yangu kwako,

nafsi yangu inakuonea kiu kama ardhi kame.

7143:7 Za 69:17; 142:3; 22:24; 27:9; 30:7Ee Bwana, unijibu haraka,

roho yangu inazimia.

Usinifiche uso wako,

ama sivyo nitafanana na wale washukao shimoni.

8143:8 Kut 33:13; Ay 34:32; Za 6:4; 90:14; 27:11; 32:8; 25:1-2; 86:4Asubuhi uniletee neno la upendo wako usiokoma,

kwa kuwa nimeweka tumaini langu kwako.

Nionyeshe njia nitakayoiendea,

kwa kuwa kwako nainua nafsi yangu.

9143:9 Za 140:1; 18:17; 31:15Ee Bwana, uniokoe na adui zangu,

kwa kuwa nimejificha kwako.

10143:10 Za 119:12; 31:14; 25:4-5; 26:11; Neh 9:20; Yn 14:26; Rum 5:5; Efe 4:30; Gal 5:22, 23Nifundishe kufanya mapenzi yako,

kwa maana wewe ndiwe Mungu wangu,

Roho wako mwema na aniongoze

katika nchi tambarare.

11143:11 Za 25:11; 41:2; 31:1; 71:2Ee Bwana, kwa ajili ya jina lako, hifadhi maisha yangu,

kwa haki yako nitoe katika taabu.

12143:12 Za 8:2; 54:5; 116:16Kwa upendo wako usiokoma,

nyamazisha adui zangu;

waangamize watesi wangu wote,

kwa kuwa mimi ni mtumishi wako.

Bibelen på hverdagsdansk

Salmernes Bog 143:1-12

Bøn om befrielse

1En sang af David.

Herre, hør min bøn!

Lyt til mit indtrængende råb!

Svar mig, for du er trofast og god.

2Fordøm mig ikke, Herre,

for ingen er fejlfri i dine øjne.

3Mine fjender forfølger mig,

de har spoleret mit liv.

De tvinger mig til at leve i mørket,

som om jeg allerede var død.

4Modet svigter mig,

jeg er lammet af frygt.

5Jeg tænker på gamle dage,

jeg mindes dine mægtige undere,

jeg husker det, du gjorde engang.

6Jeg rækker ud efter dig med længsel,

min sjæl tørster som den tørre jord.

7Skynd dig at hjælpe mig, Herre,

for jeg kan snart ikke mere.

Vend mig ikke ryggen,

for så er det ude med mig.

8Lad mig smage din godhed hver morgen,

for det er dig, jeg sætter min lid til.

Vis mig din vilje med mit liv,

for det er dig, jeg ønsker at følge.

9Frels mig fra mine fjender, Herre,

for det er hos dig, jeg har søgt tilflugt.

10Lær mig at gøre din vilje,

for det er dig, der er min Gud.

Led mig ved din gode Ånd

til et sted, hvor jeg kan leve i fred.

11Frels mig, Herre, for din æres skyld,

hjælp mig for din godheds skyld.

12Uskadeliggør alle mine fjender,

for jeg er din tjener.