Zaburi 142
Maombi Ya Kuokolewa Dhidi Ya Watesi
Utenzi wa Daudi. Alipokuwa pangoni. Maombi.
1142:1 1Fal 8:52; Za 3:4; 30:8Namlilia Bwana kwa sauti,
nainua sauti yangu kwa Bwana anihurumie.
2142:2 Za 64:1; 50:15Namimina malalamiko yangu mbele zake,
mbele zake naeleza shida zangu.
3142:3 Za 6:2; 77:3; 84:2; 88:4; 143:4, 7; Yer 4:18; Mao 1:22Wakati roho yangu inapozimia ndani yangu,
wewe ndiwe unajua njia zangu.
Katika njia ninayopita
watu wameniwekea mtego.
4142:4 Yer 25:35; 30:17Tazama kuume kwangu na uone,
hakuna hata mmoja anayejihusisha nami.
Sina kimbilio,
hakuna anayejali maisha yangu.
5142:5 Za 16:5; 27:13; 46:1; Kum 32:9; Ay 28:13; Mao 3:24Ee Bwana, nakulilia wewe,
nasema, “Wewe ni kimbilio langu,
fungu langu katika nchi ya walio hai.”
6142:6 Za 17:1; 79:8; 25:20; Yer 31:11Sikiliza kilio changu,
kwa sababu mimi ni mhitaji sana;
niokoe na wale wanaonifuatilia,
kwa kuwa wamenizidi nguvu.
7142:7 Za 66:11; 7:17; 9:2; 2Nya 6:41Nifungue kutoka kifungo changu,
ili niweze kulisifu jina lako.
Ndipo wenye haki watanizunguka,
kwa sababu ya wema wako kwangu.
Dwom 142
Dawid deɛ. Ɛberɛ a na ɔwɔ ɔbodan mu no. Mpaeɛbɔ.
1Meteam mesu frɛ Awurade;
me ma me nne so su frɛ Awurade sɛ ɔnhunu me mmɔbɔ.
2Mehwie mʼahiasɛm megu nʼanim;
meka me haw kyerɛ no.
3Sɛ me ɔkra tɔ baha wɔ me mu a,
ɛyɛ wo na wonim mʼakwan.
Ɛkwan a menam so no
nnipa asum me afidie wɔ so.
4Hwɛ me nifa so na hunu sɛ;
mʼasɛm mfa obiara ho;
menni dwanekɔbea bi;
me nkwa mfa obiara ho.
5Ao Awurade, mesu mefrɛ wo;
mese, “Wone me dwanekɔbea,
me kyɛfa wɔ ateasefoɔ asase so.”
6Tie me sufrɛ,
na mewɔ ahohia kɛseɛ mu;
gye me firi mʼataafoɔ nsam,
ɛfiri sɛ wɔn ho yɛ den sene me.
7Yi me firi me nneduadan mu,
na makamfo wo din.
Afei teneneefoɔ bɛtwa me ho ahyia
ɛsiane wo papa a woayɛ me enti.