Zaburi 140 – NEN & NSP

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 140:1-13

Zaburi 140

Kuomba Ulinzi Wa Mungu

Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.

1140:1 Za 17:13; 25:20; 59:2; 71:4; 142:6; 143:9; 86:14Ee Bwana, niokoe, kutoka kwa watu waovu;

nilinde na watu wenye jeuri,

2140:2 Mit 6:14; 16:27; Isa 59:4; Hos 7:15; Za 36:4; 52:2; 68:30ambao hupanga mipango mibaya mioyoni mwao,

na kuchochea vita siku zote.

3140:3 Za 57:4; 58:4; Rum 3:13; Yak 3:8Wao hufanya ndimi zao kali kama za nyoka,

sumu ya nyoka iko midomoni mwao.

4140:4 Za 141:9; 36:11Ee Bwana, niepushe na mikono ya waovu;

nilinde na watu wenye jeuri

wanaopanga kunikwaza miguu yangu.

5140:5 Ay 34:30; Za 31:4; 38:12; 119:110; Ay 18:8; 18:9Wenye kiburi wameficha mtego wa kuninasa,

wametandaza kamba za wavu wao,

wametega mitego kwenye njia yangu.

6140:6 Za 16:2; 28:2, 6Ee Bwana, ninakuambia, “Wewe ni Mungu wangu.”

Ee Bwana, usikie kilio changu na kunihurumia.

7Ee Bwana Mwenyezi, Mwokozi wangu mwenye nguvu,

unikingaye kichwa changu siku ya vita:

8140:8 Za 10:2-3; 66:7; Ay 5:12-13Ee Bwana, usiwape waovu matakwa yao,

usiache mipango yao ikafanikiwa,

wasije wakajisifu.

9140:9 Mit 18:7Vichwa vya wanaonizunguka vifunikwe

na shida zinazosababishwa na midomo yao.

10140:10 Za 11:6; 21:9; Mt 3:10; Lk 12:40; Ufu 20:15Makaa ya mawe ya moto na yawaangukie!

Na watupwe motoni,

katika mashimo ya matope,

wasiinuke tena kamwe.

11140:11 Za 34:21Wasingiziaji wasifanikiwe katika nchi;

maafa na yawawinde watu wenye jeuri.

12140:12 1Fal 8:45; Za 35:10; 82:3; 109:31Najua kwamba Bwana huwapatia maskini haki,

na kuitegemeza njia ya mhitaji.

13140:13 Za 138:2; 11:7; 16:11Hakika wenye haki watalisifu jina lako,

na waadilifu wataishi mbele zako.

New Serbian Translation

Псалми 140:1-13

Псалам 140

Хоровођи. Давидов Псалам.

1О, Господе, избави ме од човека злобног,

од човека насилника ти мене заштити;

2оног што му срце злобу смишља,

оних што поваздан започињу свађе.

3Попут змије оштре језик,

отров им је змијски под уснама. Села

4Заштити ме, о, Господе,

од шака поквареног,

од човека насилника ти мене заштити

и од оних што би да ме са ногу помету.

5Охоли су ми замку и омче сакрили,

крај пута ми мрежу раширили

и клопке ставили. Села

6Господу говорим: „Бог мој ти си!“

О, Господе, пригни ухо гласу мојих преклињања!

7О, Господе Боже, сило мог спасења,

у дан ратни главу моју покриј.

8О, Господе, не дај злобном по жељама;

злу намеру му не оствари, да се не охоли. Села

9Ено глава оних што ме окружују!

Зло усана њихових нек се на њих сручи!

10Нека на њих падне жар угљени;

у ватру нека их гурне,

у раке, и нек се не дигну!

11Нека се клеветник не укорени на земљи;

насилника нека злоба лови,

нека га надвлада.

12А ја знам да ће Господ суд донети сиромаху

и правду за убогога!

13Нек праведни хвале твоје име!

Честити ће пред тобом живети!