Zaburi 135
Wimbo Wa Sifa Kwa Mungu
1135:1 Neh 7:73Msifuni Bwana.
Lisifuni jina la Bwana,
msifuni, enyi watumishi wa Bwana,
2135:2 1Nya 15:2; Lk 2:37; Za 116:19ninyi ambao mnatumika ndani ya nyumba ya Bwana,
katika nyua za nyumba ya Mungu wetu.
3135:3 1Nya 16:34; Za 119:68; 68:4; 92:1; 147:1Msifuni Bwana, kwa kuwa Bwana ni mwema,
liimbieni sifa jina lake, kwa maana hilo lapendeza.
4135:4 Kut 19:5; Kum 7:6, 7; 10:15; Mal 3:17; Tit 2:14Kwa maana Bwana amemchagua Yakobo kuwa wake mwenyewe,
Israeli kuwa mali yake ya thamani.
5135:5 Za 48:1; 145:3; Kut 12:12; 1Nya 16:25; Ay 21:22Ninajua ya kuwa Bwana ni mkuu,
kwamba Bwana wetu ni mkuu kuliko miungu yote.
6135:6 Za 115:3; Dan 4:35; Mt 6:10Bwana hufanya lolote apendalo,
mbinguni na duniani,
katika bahari na vilindi vyake vyote.
7135:7 Ay 5:10; Za 68:6; Isa 30:23; Amo 4:13; Yer 10:13; 51:16; Yoe 2:23; Zek 10:1; Kum 28:12; Mwa 2:6; Ay 28:25; 38:22Hufanya mawingu kupanda kutoka miisho ya dunia;
hupeleka umeme wa radi pamoja na mvua
na huleta upepo kutoka ghala zake.
8135:8 Kut 4:23; 12:12Alimuua mzaliwa wa kwanza wa Misri,
mzaliwa wa kwanza wa wanadamu na wanyama.
9135:9 Kut 7:9; Za 136:10-15Alipeleka ishara zake na maajabu katikati yako, ee Misri,
dhidi ya Farao na watumishi wake wote.
10135:10 Hes 21:21-25; Yos 24:8-11; Za 44:2; 78:55; 136:17-21Aliyapiga mataifa mengi,
na akaua wafalme wenye nguvu:
11135:11 Hes 21:21, 26, 33; Yos 12:7-24Mfalme Sihoni na Waamori,
Ogu mfalme wa Bashani
na wafalme wote wa Kanaani:
12135:12 Kum 29:8akatoa nchi yao kuwa urithi,
urithi kwa watu wake Israeli.
13135:13 Kut 3:15; Za 102:12Ee Bwana, jina lako ladumu milele,
kumbukumbu za fahari zako, Ee Bwana, kwa vizazi vyote.
14135:14 1Sam 24:15; Ebr 10:30; Kum 32:36Maana Bwana atawathibitisha watu wake,
na kuwahurumia watumishi wake.
15135:15 Ufu 9:20; Isa 2:8; 31:7; 37:19; 40:19; Yer 1:16; 10:5; Za 96:5Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu,
zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.
16135:16 1Fal 18:26Zina vinywa, lakini haziwezi kusema,
zina macho, lakini haziwezi kuona;
17135:17 Yer 10:14; Hab 2:19zina masikio, lakini haziwezi kusikia,
wala hakuna pumzi katika vinywa vyao.
18Wale wanaozitengeneza watafanana nazo,
vivyo hivyo wale wote wanaozitumainia.
19135:19 Za 22:23Ee nyumba ya Israeli, msifuni Bwana;
ee nyumba ya Aroni, msifuni Bwana;
20ee nyumba ya Lawi, msifuni Bwana;
ninyi mnaomcha, msifuni Bwana.
21135:21 Za 128:5; 134:3; 1Fal 8:13; 2Nya 6:2Msifuni Bwana kutoka Sayuni,
msifuni yeye aishiye Yerusalemu.
Msifuni Bwana.
Salmo 135
1Aleluia!
Louvem o nome do Senhor;
louvem-no, servos do Senhor,
2vocês, que servem na casa do Senhor,
nos pátios da casa de nosso Deus.
3Louvem o Senhor, pois o Senhor é bom;
cantem louvores ao seu nome, pois é nome amável.
4Porque o Senhor escolheu Jacó;
a Israel, como seu tesouro pessoal.
5Na verdade, sei que o Senhor é grande,
que o nosso Soberano é maior do que todos os deuses.
6O Senhor faz tudo o que lhe agrada,
nos céus e na terra,
nos mares e em todas as suas profundezas.
7Ele traz as nuvens desde os confins da terra;
envia os relâmpagos que acompanham a chuva
e faz que o vento saia dos seus depósitos.
8Foi ele que matou os primogênitos do Egito,
tanto dos homens como dos animais.
9Ele realizou em pleno Egito sinais e maravilhas,
contra o faraó e todos os seus conselheiros.
10Foi ele que feriu muitas nações
e matou reis poderosos:
11Seom, rei dos amorreus,
Ogue, rei de Basã,
e todos os reinos de Canaã;
12e deu a terra deles como herança,
como herança a Israel, o seu povo.
13O teu nome, Senhor, permanece para sempre,
a tua fama, Senhor, por todas as gerações!
14O Senhor defenderá o seu povo
e terá compaixão dos seus servos.
15Os ídolos das nações não passam de prata e ouro,
feitos por mãos humanas.
16Têm boca, mas não podem falar;
olhos, mas não podem ver;
17têm ouvidos, mas não podem escutar
nem há respiração em sua boca.
18Tornem-se135.18 Ou São como eles aqueles que os fazem
e todos os que neles confiam.
19Bendigam o Senhor, ó israelitas!
Bendigam o Senhor, ó sacerdotes!
20Bendigam o Senhor, ó levitas!
Bendigam o Senhor os que temem o Senhor!
21Bendito seja o Senhor desde Sião,
aquele que habita em Jerusalém.
Aleluia!