Zaburi 135
Wimbo Wa Sifa Kwa Mungu
1135:1 Neh 7:73Msifuni Bwana.
Lisifuni jina la Bwana,
msifuni, enyi watumishi wa Bwana,
2135:2 1Nya 15:2; Lk 2:37; Za 116:19ninyi ambao mnatumika ndani ya nyumba ya Bwana,
katika nyua za nyumba ya Mungu wetu.
3135:3 1Nya 16:34; Za 119:68; 68:4; 92:1; 147:1Msifuni Bwana, kwa kuwa Bwana ni mwema,
liimbieni sifa jina lake, kwa maana hilo lapendeza.
4135:4 Kut 19:5; Kum 7:6, 7; 10:15; Mal 3:17; Tit 2:14Kwa maana Bwana amemchagua Yakobo kuwa wake mwenyewe,
Israeli kuwa mali yake ya thamani.
5135:5 Za 48:1; 145:3; Kut 12:12; 1Nya 16:25; Ay 21:22Ninajua ya kuwa Bwana ni mkuu,
kwamba Bwana wetu ni mkuu kuliko miungu yote.
6135:6 Za 115:3; Dan 4:35; Mt 6:10Bwana hufanya lolote apendalo,
mbinguni na duniani,
katika bahari na vilindi vyake vyote.
7135:7 Ay 5:10; Za 68:6; Isa 30:23; Amo 4:13; Yer 10:13; 51:16; Yoe 2:23; Zek 10:1; Kum 28:12; Mwa 2:6; Ay 28:25; 38:22Hufanya mawingu kupanda kutoka miisho ya dunia;
hupeleka umeme wa radi pamoja na mvua
na huleta upepo kutoka ghala zake.
8135:8 Kut 4:23; 12:12Alimuua mzaliwa wa kwanza wa Misri,
mzaliwa wa kwanza wa wanadamu na wanyama.
9135:9 Kut 7:9; Za 136:10-15Alipeleka ishara zake na maajabu katikati yako, ee Misri,
dhidi ya Farao na watumishi wake wote.
10135:10 Hes 21:21-25; Yos 24:8-11; Za 44:2; 78:55; 136:17-21Aliyapiga mataifa mengi,
na akaua wafalme wenye nguvu:
11135:11 Hes 21:21, 26, 33; Yos 12:7-24Mfalme Sihoni na Waamori,
Ogu mfalme wa Bashani
na wafalme wote wa Kanaani:
12135:12 Kum 29:8akatoa nchi yao kuwa urithi,
urithi kwa watu wake Israeli.
13135:13 Kut 3:15; Za 102:12Ee Bwana, jina lako ladumu milele,
kumbukumbu za fahari zako, Ee Bwana, kwa vizazi vyote.
14135:14 1Sam 24:15; Ebr 10:30; Kum 32:36Maana Bwana atawathibitisha watu wake,
na kuwahurumia watumishi wake.
15135:15 Ufu 9:20; Isa 2:8; 31:7; 37:19; 40:19; Yer 1:16; 10:5; Za 96:5Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu,
zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.
16135:16 1Fal 18:26Zina vinywa, lakini haziwezi kusema,
zina macho, lakini haziwezi kuona;
17135:17 Yer 10:14; Hab 2:19zina masikio, lakini haziwezi kusikia,
wala hakuna pumzi katika vinywa vyao.
18Wale wanaozitengeneza watafanana nazo,
vivyo hivyo wale wote wanaozitumainia.
19135:19 Za 22:23Ee nyumba ya Israeli, msifuni Bwana;
ee nyumba ya Aroni, msifuni Bwana;
20ee nyumba ya Lawi, msifuni Bwana;
ninyi mnaomcha, msifuni Bwana.
21135:21 Za 128:5; 134:3; 1Fal 8:13; 2Nya 6:2Msifuni Bwana kutoka Sayuni,
msifuni yeye aishiye Yerusalemu.
Msifuni Bwana.
Le Seigneur est bon
1Louez l’Eternel !
Oui, louez l’Eternel !
Louez-le, vous, ╵les serviteurs de l’Eternel,
2vous qui vous tenez dans le temple ╵de l’Eternel,
dans les parvis de la demeure ╵de notre Dieu !
3Oui, louez l’Eternel ╵car l’Eternel est bon !
Et célébrez-le en musique, ╵car il est digne d’être aimé135.3 Autre traduction : car cela est beau. !
4L’Eternel s’est choisi Jacob,
Israël comme son bien précieux135.4 Voir Ex 19.5..
5Je sais bien pour ma part ╵que l’Eternel est grand
et que notre Seigneur ╵surpasse tous les dieux.
6L’Eternel fait ╵tout ce qu’il veut
au ciel et sur la terre,
dans les mers et dans les abîmes.
7Des confins de la terre, ╵il fait monter les brumes.
Il produit les éclairs ╵au milieu de la pluie,
il fait lever le vent ╵qu’il tenait en réserve.
8C’est lui qui a frappé ╵les premiers-nés d’Egypte
depuis les hommes ╵jusqu’au bétail135.8 Voir Ex 12.12, 29. Les v. 8-11 sont un rappel sommaire des grands événements par lesquels Dieu a sauvé son peuple..
9Il a réalisé ╵des signes extraordinaires ╵et des prodiges
en plein cœur de l’Egypte
contre le pharaon ╵et tous ses serviteurs135.9 Voir Ex 7 à 14..
10C’est lui qui a frappé ╵des peuples en grand nombre
et qui a abattu ╵des souverains puissants :
11Sihôn, le roi des Amoréens
et Og, roi du Basan,
et tous les rois de Canaan135.11 Voir Nb 21.21-35..
12Puis il donna leurs territoires ╵en possession
à Israël son peuple.
13O Eternel, ╵ta renommée ╵demeure pour l’éternité,
et d’âge en âge l’on proclamera ╵ton nom, ô Eternel.
14Car l’Eternel ╵rend justice à son peuple,
et il nous témoigne sa compassion ╵à nous, ses serviteurs.
15Les idoles des autres peuples sont d’argent et d’or,
fabriquées par des hommes135.15 Pour les v. 15-18, voir 115.4-8. :
16elles ont une bouche, ╵mais ne peuvent parler,
elles ont bien des yeux, ╵mais elles ne voient pas.
17Elles ont des oreilles, ╵mais qui n’entendent rien.
Et pas le moindre souffle ╵ne se trouve en leur bouche.
18Ils leur ressemblent ╵tous ceux qui les fabriquent
et tous ceux qui mettent leur confiance en elles.
19O peuple d’Israël, ╵bénissez l’Eternel !
Descendants d’Aaron, ╵bénissez l’Eternel !
20Descendants de Lévi, ╵bénissez l’Eternel !
Vous tous qui craignez l’Eternel, ╵bénissez l’Eternel !
21Béni soit l’Eternel ╵depuis le mont Sion,
lui qui réside dans Jérusalem !
Louez l’Eternel !