Zaburi 135 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 135:1-21

Zaburi 135

Wimbo Wa Sifa Kwa Mungu

1135:1 Neh 7:73Msifuni Bwana.

Lisifuni jina la Bwana,

msifuni, enyi watumishi wa Bwana,

2135:2 1Nya 15:2; Lk 2:37; Za 116:19ninyi ambao mnatumika ndani ya nyumba ya Bwana,

katika nyua za nyumba ya Mungu wetu.

3135:3 1Nya 16:34; Za 119:68; 68:4; 92:1; 147:1Msifuni Bwana, kwa kuwa Bwana ni mwema,

liimbieni sifa jina lake, kwa maana hilo lapendeza.

4135:4 Kut 19:5; Kum 7:6, 7; 10:15; Mal 3:17; Tit 2:14Kwa maana Bwana amemchagua Yakobo kuwa wake mwenyewe,

Israeli kuwa mali yake ya thamani.

5135:5 Za 48:1; 145:3; Kut 12:12; 1Nya 16:25; Ay 21:22Ninajua ya kuwa Bwana ni mkuu,

kwamba Bwana wetu ni mkuu kuliko miungu yote.

6135:6 Za 115:3; Dan 4:35; Mt 6:10Bwana hufanya lolote apendalo,

mbinguni na duniani,

katika bahari na vilindi vyake vyote.

7135:7 Ay 5:10; Za 68:6; Isa 30:23; Amo 4:13; Yer 10:13; 51:16; Yoe 2:23; Zek 10:1; Kum 28:12; Mwa 2:6; Ay 28:25; 38:22Hufanya mawingu kupanda kutoka miisho ya dunia;

hupeleka umeme wa radi pamoja na mvua

na huleta upepo kutoka ghala zake.

8135:8 Kut 4:23; 12:12Alimuua mzaliwa wa kwanza wa Misri,

mzaliwa wa kwanza wa wanadamu na wanyama.

9135:9 Kut 7:9; Za 136:10-15Alipeleka ishara zake na maajabu katikati yako, ee Misri,

dhidi ya Farao na watumishi wake wote.

10135:10 Hes 21:21-25; Yos 24:8-11; Za 44:2; 78:55; 136:17-21Aliyapiga mataifa mengi,

na akaua wafalme wenye nguvu:

11135:11 Hes 21:21, 26, 33; Yos 12:7-24Mfalme Sihoni na Waamori,

Ogu mfalme wa Bashani

na wafalme wote wa Kanaani:

12135:12 Kum 29:8akatoa nchi yao kuwa urithi,

urithi kwa watu wake Israeli.

13135:13 Kut 3:15; Za 102:12Ee Bwana, jina lako ladumu milele,

kumbukumbu za fahari zako, Ee Bwana, kwa vizazi vyote.

14135:14 1Sam 24:15; Ebr 10:30; Kum 32:36Maana Bwana atawathibitisha watu wake,

na kuwahurumia watumishi wake.

15135:15 Ufu 9:20; Isa 2:8; 31:7; 37:19; 40:19; Yer 1:16; 10:5; Za 96:5Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu,

zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.

16135:16 1Fal 18:26Zina vinywa, lakini haziwezi kusema,

zina macho, lakini haziwezi kuona;

17135:17 Yer 10:14; Hab 2:19zina masikio, lakini haziwezi kusikia,

wala hakuna pumzi katika vinywa vyao.

18Wale wanaozitengeneza watafanana nazo,

vivyo hivyo wale wote wanaozitumainia.

19135:19 Za 22:23Ee nyumba ya Israeli, msifuni Bwana;

ee nyumba ya Aroni, msifuni Bwana;

20ee nyumba ya Lawi, msifuni Bwana;

ninyi mnaomcha, msifuni Bwana.

21135:21 Za 128:5; 134:3; 1Fal 8:13; 2Nya 6:2Msifuni Bwana kutoka Sayuni,

msifuni yeye aishiye Yerusalemu.

Msifuni Bwana.

La Bible du Semeur

Psaumes 135:1-21

Le Seigneur est bon

1Louez l’Eternel !

Oui, louez l’Eternel !

Louez-le, vous, ╵les serviteurs de l’Eternel,

2vous qui vous tenez dans le temple ╵de l’Eternel,

dans les parvis de la demeure ╵de notre Dieu !

3Oui, louez l’Eternel ╵car l’Eternel est bon !

Et célébrez-le en musique, ╵car il est digne d’être aimé135.3 Autre traduction : car cela est beau. !

4L’Eternel s’est choisi Jacob,

Israël comme son bien précieux135.4 Voir Ex 19.5..

5Je sais bien pour ma part ╵que l’Eternel est grand

et que notre Seigneur ╵surpasse tous les dieux.

6L’Eternel fait ╵tout ce qu’il veut

au ciel et sur la terre,

dans les mers et dans les abîmes.

7Des confins de la terre, ╵il fait monter les brumes.

Il produit les éclairs ╵au milieu de la pluie,

il fait lever le vent ╵qu’il tenait en réserve.

8C’est lui qui a frappé ╵les premiers-nés d’Egypte

depuis les hommes ╵jusqu’au bétail135.8 Voir Ex 12.12, 29. Les v. 8-11 sont un rappel sommaire des grands événements par lesquels Dieu a sauvé son peuple..

9Il a réalisé ╵des signes extraordinaires ╵et des prodiges

en plein cœur de l’Egypte

contre le pharaon ╵et tous ses serviteurs135.9 Voir Ex 7 à 14..

10C’est lui qui a frappé ╵des peuples en grand nombre

et qui a abattu ╵des souverains puissants :

11Sihôn, le roi des Amoréens

et Og, roi du Basan,

et tous les rois de Canaan135.11 Voir Nb 21.21-35..

12Puis il donna leurs territoires ╵en possession

à Israël son peuple.

13O Eternel, ╵ta renommée ╵demeure pour l’éternité,

et d’âge en âge l’on proclamera ╵ton nom, ô Eternel.

14Car l’Eternel ╵rend justice à son peuple,

et il nous témoigne sa compassion ╵à nous, ses serviteurs.

15Les idoles des autres peuples sont d’argent et d’or,

fabriquées par des hommes135.15 Pour les v. 15-18, voir 115.4-8. :

16elles ont une bouche, ╵mais ne peuvent parler,

elles ont bien des yeux, ╵mais elles ne voient pas.

17Elles ont des oreilles, ╵mais qui n’entendent rien.

Et pas le moindre souffle ╵ne se trouve en leur bouche.

18Ils leur ressemblent ╵tous ceux qui les fabriquent

et tous ceux qui mettent leur confiance en elles.

19O peuple d’Israël, ╵bénissez l’Eternel !

Descendants d’Aaron, ╵bénissez l’Eternel !

20Descendants de Lévi, ╵bénissez l’Eternel !

Vous tous qui craignez l’Eternel, ╵bénissez l’Eternel !

21Béni soit l’Eternel ╵depuis le mont Sion,

lui qui réside dans Jérusalem !

Louez l’Eternel !