Zaburi 132 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 132:1-18

Zaburi 132

Maskani Ya Mungu Ya Milele Katika Sayuni

Wimbo wa kwenda juu.

1Ee Bwana, mkumbuke Daudi

na taabu zote alizozistahimili.

2132:2 Mwa 49:24; Isa 49:26; 60:16Aliapa kiapo kwa Bwana

na akaweka nadhiri kwa Yule Mwenye Nguvu wa Yakobo:

3132:3 2Sam 7:2, 27“Sitaingia nyumbani mwangu

au kwenda kitandani mwangu:

4132:4 Rut 3:18sitaruhusu usingizi katika macho yangu,

wala kope zangu kusinzia,

5132:5 1Fal 8:17; Mdo 7:46mpaka nitakapompatia Bwana mahali,

makao kwa ajili ya Yule Mwenye Nguvu wa Yakobo.”

6132:6 1Sam 7:2; 17:12; Yos 9:17; 18:1; 1Nya 13:5Tulisikia habari hii huko Efrathi,

tulikutana nayo katika mashamba ya Yaara:132:6 Yaani Kiriath-Yearimu.

7132:7 2Sam 15:25; Za 5:7; 122:1; 1Nya 28:2“Twendeni kwenye makao yake,

na tuabudu kwenye kiti cha kuwekea miguu yake;

8132:8 Hes 10:35inuka, Ee Bwana, uje mahali pako pa kupumzikia,

wewe na Sanduku la nguvu zako.

9132:9 Ay 27:6; Zek 3:4; Isa 61:3, 10; Mal 3:3; Ay 29:14Makuhani wako na wavikwe haki,

watakatifu wako na waimbe kwa furaha.”

10Kwa ajili ya Daudi mtumishi wako,

usimkatae mpakwa mafuta wako.

11132:11 Za 89:3-4, 35; 1Nya 17:11-14; Mt 1:1; Lk 3:31Bwana alimwapia Daudi kiapo,

kiapo cha uhakika ambacho hatakitangua:

“Nitamweka mmoja wa wazao wako mwenyewe

katika kiti chako cha enzi,

12132:12 2Nya 6:16; Za 25:10; Lk 1:32; Mdo 2:30kama wanao watashika Agano langu

na sheria ninazowafundisha,

ndipo wana wao watarithi

kiti chako cha enzi milele na milele.”

13132:13 Kut 15:17; Za 48:1, 2; 68:16; 1Fal 18:13Kwa maana Bwana ameichagua Sayuni,

amepaonea shauku pawe maskani yake:

14132:14 Za 80:1; 68:16; 2Sam 6:2“Hapa ni mahali pangu pa kupumzika milele na milele;

hapa ndipo nitakapoketi nikitawala, kwa sababu nimepaonea shauku:

15132:15 Za 107:9; 147:14Nitambariki kwa kumpa mahitaji tele:

nitashibisha maskini wake kwa chakula.

16132:16 2Nya 6:41; Ay 8:21; Za 149:5Nitawavika makuhani wake wokovu,

nao watakatifu wake watadumu wakiimba kwa furaha.

17132:17 1Sam 2:10; Za 18:28; 84:9; 92:10; Eze 29:21; Lk 1:69; 1Fal 11:36; 2Fal 8:19; 2Nya 21:7“Hapa nitamchipushia Daudi pembe,132:17 Pembe inawakilisha nguvu.

na kuweka taa kwa ajili ya masiya132:17 Masiya yaani mpakwa mafuta. wangu.

18132:18 Ay 8:22; 2Sam 12:30Adui zake nitawavika aibu,

bali taji kichwani pake itangʼaa sana.”

Bibelen på hverdagsdansk

Salmernes Bog 132:1-18

Herrens bolig

1En valfartssang.

Herre, du husker Davids hengivenhed.

2Han gav et højtideligt løfte,

han sagde til Israels mægtige Gud:

3„Jeg under mig ikke ro,

jeg vil ikke lægge mig til hvile,

4jeg vil ikke sove,

jeg vil ikke lukke et øje,

5før jeg har bygget Herren et hus,

en værdig bolig for Israels vældige Gud!”

6Vi hørte i Betlehem,132,6 På hebraisk: Efrata, et andet navn for Betlehem, Davids hjemby. Ja’ar er et andet navn for Jearim, jf. 1.Sam. 7,1 og 2.Sam. 6,2. at pagtens ark var blevet set,

vi tog til Ja’ars marker og fandt den.

7Lad os nu bringe den til helligdommen,

så vi kan tilbede Gud ved hans fodskammel.

8Kom, Herre, indtag din bolig,

på den Ark, der viser din magt.

9Må præsterne altid gøre det rette,

og dit trofaste folk juble af glæde.

10Du gav et løfte til David og hans slægt.

Forkast derfor ikke din udvalgte konge.

11Du lovede David med en ed,

et løfte, som ikke kan brydes:

„Jeg vil gøre din søn til konge,

han skal regere efter dig.

12Og hvis dine efterkommere vil holde min pagt

og adlyde mine befalinger,

skal din slægt blive ved at regere,

sidde på tronen til evig tid.”

13Herren har udvalgt Zion,

dér ønsker han at bo.

14„Dette er mit blivende hjem,

det er her, jeg har valgt at bo.

15Jeg velsigner byen med overflod,

jeg giver de fattige mad at spise.

16Jeg udruster præsterne til deres gerning,

mine trofaste tjenere skal råbe af glæde.

17Derfra skal en mægtig konge spire frem,

fra Davids slægt, som jeg har udvalgt.

18Hans fjender vil blive til skamme,

men han selv skal regere i herlighed.”