Zaburi 131 – NEN & APSD-CEB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 131:1-3

Zaburi 131

Kumtegemea Mungu Kwa Unyenyekevu

Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi.

1131:1 Isa 2:12; Yer 45:5; Rum 12:16; 2Sam 22:28; Ay 41:34; 5:9; Za 101:5; 139:6Moyo wangu hauna kiburi, Ee Bwana,

macho yangu hayajivuni;

sijishughulishi na mambo makuu kunizidi

wala mambo ya ajabu mno kwangu.

2131:2 Za 116:7; Mit 18:3; Mt 18:3; 1Kor 13:11; 14:20Lakini nimetuliza na kunyamazisha nafsi yangu;

kama mtoto aliyeachishwa kunyonya na mama yake,

kama mtoto aliyeachishwa kunyonya

ndivyo ilivyo nafsi iliyoko ndani yangu.

3131:3 Za 25:5; 130:7; 113:2; 119:43Ee Israeli, mtumaini Bwana

tangu sasa na hata milele.

Ang Pulong Sa Dios

Salmo 131:1-3

Salmo 131

Pag-ampo nga may Pagsalig

1O Ginoo, dili ako garboso ug mapahitas-on.

Wala ako mangandoy sa dagko ug pinasahi nga mga butang nga dili ko masarangan.

2Sa pagkatinuod, kontento na ako ug malinawon,

sama kakontento ug kamalinawon sa usa ka bata kon kauban niya ang iyang inahan.

3Mga taga-Israel, salig kamo sa Ginoo karon ug hangtod sa kahangtoran.