Zaburi 131
Kumtegemea Mungu Kwa Unyenyekevu
Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi.
1131:1 Isa 2:12; Yer 45:5; Rum 12:16; 2Sam 22:28; Ay 41:34; 5:9; Za 101:5; 139:6Moyo wangu hauna kiburi, Ee Bwana,
macho yangu hayajivuni;
sijishughulishi na mambo makuu kunizidi
wala mambo ya ajabu mno kwangu.
2131:2 Za 116:7; Mit 18:3; Mt 18:3; 1Kor 13:11; 14:20Lakini nimetuliza na kunyamazisha nafsi yangu;
kama mtoto aliyeachishwa kunyonya na mama yake,
kama mtoto aliyeachishwa kunyonya
ndivyo ilivyo nafsi iliyoko ndani yangu.
3131:3 Za 25:5; 130:7; 113:2; 119:43Ee Israeli, mtumaini Bwana
tangu sasa na hata milele.
Salmo 131
Pag-ampo nga may Pagsalig
1O Ginoo, dili ako garboso ug mapahitas-on.
Wala ako mangandoy sa dagko ug pinasahi nga mga butang nga dili ko masarangan.
2Sa pagkatinuod, kontento na ako ug malinawon,
sama kakontento ug kamalinawon sa usa ka bata kon kauban niya ang iyang inahan.
3Mga taga-Israel, salig kamo sa Ginoo karon ug hangtod sa kahangtoran.