Zaburi 124 – NEN & KLB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 124:1-8

Zaburi 124

Shukrani Kwa Ukombozi Wa Israeli

Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi.

1124:1 Za 129:1; Mwa 15:1; Hes 14:9; Yos 1:5Kama Bwana asingalikuwa upande wetu;

Israeli na aseme sasa:

2kama Bwana asingalikuwa upande wetu,

wakati watu walipotushambulia,

3124:3 Za 35:25; Mit 1:12; Yer 51:34wakati hasira yao ilipowaka dhidi yetu,

wangalitumeza tungali hai,

4124:4 Za 88:17; 18:4mafuriko yangalitugharikisha,

maji mengi yangalitufunika,

5maji yaendayo kasi

yangalituchukua.

6Bwana asifiwe,

yeye ambaye hakuruhusu turaruliwe kwa meno yao.

7124:7 Za 91:3; 25:15Tumeponyoka kama ndege

kutoka mtego wa mwindaji;

mtego umevunjika,

nasi tukaokoka.

8124:8 1Sam 17:45; Mwa 1:1; Za 115:15; 121:2; 134:3; Kut 18:4; Mit 18:10; Isa 50:10Msaada wetu ni katika jina la Bwana,

Muumba wa mbingu na dunia.

Korean Living Bible

시편 124:1-8

자기 백성을 지키시는 여호와

(다윗의 시. 성전에 올라가는 노래)

1만일 여호와께서

우리 편이 아니었다면

어떻게 되었겠느냐?

이스라엘아, 대답하라.

2원수들이 우리를 공격했을 때

만일 여호와께서

우리 편이 아니었다면

3그들의 무서운 분노가

우리를 산 채로 삼켰을 것이며

4홍수가 우리를 휩쓸어 가고

물이 우리를 뒤덮었을 것이니

5우리가 급류 속에

떠내려갔을 것이다.

6우리를 원수들의 이빨에

씹히지 않게 하신

여호와께 감사하자.

7우리 영혼이

새가 사냥꾼의 덫에서

벗어나는 것처럼 되었다.

덫이 끊어짐으로

우리가 벗어났으니

8우리의 도움이 천지를 만드신

여호와에게서 오는구나.