Zaburi 12
Kuomba Msaada
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa sheminithi. Zaburi ya Daudi.
112:1 Isa 57:1; Mik 7:12Bwana tusaidie, kwa kuwa wacha Mungu wametoweka;
waaminifu wametoweka miongoni mwa wanadamu.
212:2 Za 5:6; 34:13; 141:3; 5:9; Mt 6:19; 12:17; 13:3; Isa 32:7; Rum 16:18Kila mmoja humwambia jirani yake uongo;
midomo yao ya hila huzungumza kwa udanganyifu.
312:3 Mit 26:28; 28:23; Za 73:9; Ufu 13:5; Dan 7:8; Yak 3:5Bwana na akatilie mbali midomo yote ya hila
na kila ulimi uliojaa majivuno,
412:4 Mt 18:21; Yak 3:6ule unaosema, “Kwa ndimi zetu tutashinda;
midomo ni mali yetu, bwana wetu ni nani?”
512:5 Kut 3:7, 8; Mhu 4:1, 5, 8; Isa 3:15; 5:7; 30:12; 59:13; Mdo 7:34; Za 44:24; 62:10; 72:14; 73:8; 6:6; 3:7; 34:6; 35:10“Kwa sababu ya uonevu wa wanyonge
na kulia kwa uchungu kwa wahitaji,
nitainuka sasa,” asema Bwana.
“Nitawalinda kutokana na wale
wenye nia mbaya juu yao.”
612:6 2Sam 22:31; Isa 48:10; Za 18:30; 119:140; Ay 23:10; 28:1; Zek 13:9Maneno ya Bwana ni safi,
kama fedha iliyosafishwa katika tanuru,
iliyosafishwa mara saba.
712:7 Za 16:1; 27:5; 37:28; Yn 17:12Ee Bwana, utatuweka salama
na kutulinda na kizazi hiki milele.
812:8 Za 55:10-11Watu waovu huenda wakiringa kila mahali
wakati ambapo yule aliye mbaya sana
ndiye anayeheshimiwa miongoni mwa watu.
Песнь 12
1Дирижёру хора. Песнь Давуда.
2Как долго, Вечный? Неужели забыл Ты меня навеки?
Как долго Ты будешь скрывать от меня Своё лицо?
3Как долго будет переживание терзать мою душу
и боль – ежедневно сокрушать моё сердце?
Как долго врагу моему надо мной кичиться?
4Посмотри на меня и ответь, Вечный, мой Бог.
Глаза мои просветли,
чтобы мне не уснуть смертным сном,
5чтобы враг не сказал: «Я его превозмог»,
и когда я паду, не радовались бы недруги мои.
6Я уповаю на Твою милость,
моё сердце возрадуется спасению Твоему.
Вечному буду петь,
потому что Он благ ко мне.