Zaburi 11 – NEN & KJV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 11:1-7

Zaburi 11

Kumtumaini Bwana

Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.

111:1 Za 7:1; 50:11; Mwa 14:10Kwa Bwana ninakimbilia,

unawezaje basi kuniambia:

“Ruka kama ndege kwenye mlima wako.

211:2 Za 7:10, 13; 10:8; 58:7; 2Sam 22:35; Ay 33:3Hebu tazama, waovu wanapinda pinde zao,

huweka mishale kwenye uzi wake,

wakiwa gizani ili kuwapiga

wale wanyofu wa moyo.

311:3 Za 18:15; 82:5; Isa 24:18Wakati misingi imeharibiwa,

mwenye haki anaweza kufanya nini?”

411:4 1Fal 8:48; Za 18:6; 27:4; 33:18; 66:7; Yon 2:7; Mik 1:2; Hab 2:20; Ufu 4:2; Mt 5:34; 23:22; Mit 15:3; Efe 5:13; Ebr 4:13Bwana yuko ndani ya Hekalu lake takatifu;

Bwana yuko kwenye kiti chake cha enzi mbinguni.

Huwaangalia wana wa watu,

macho yake yanawajaribu.

511:5 Ay 5:17; 23:10; 28:28; Za 94:12; 5:5; 45:7; Isa 1:14; Kum 7:13Bwana huwajaribu wenye haki,

lakini waovu na wanaopenda jeuri,

nafsi yake huwachukia.

611:6 Ufu 9:17; Ay 1:19; Mwa 9:24; 41:6Atawanyeshea waovu makaa ya moto mkali

na kiberiti kinachowaka,

upepo wenye joto kali ndio fungu lao.

711:7 2Nya 12:6; Ezr 9:15; Za 9:8; 33:5; 99:4; 17:15; 140:13; 2Tim 4:8; Yer 9:24; Isa 28:17; 30:18; 56:1; 61:8; Ay 1:1; Lk 23:50Kwa kuwa Bwana ni mwenye haki,

yeye hupenda haki.

Wanyofu watauona uso wake.

King James Version

Psalms 11:1-7

To the chief Musician, A Psalm of David.

1In the LORD put I my trust: how say ye to my soul, Flee as a bird to your mountain?

2For, lo, the wicked bend their bow, they make ready their arrow upon the string, that they may privily shoot at the upright in heart.11.2 privily: Heb. in darkness

3If the foundations be destroyed, what can the righteous do?

4The LORD is in his holy temple, the LORD’s throne is in heaven: his eyes behold, his eyelids try, the children of men.

5The LORD trieth the righteous: but the wicked and him that loveth violence his soul hateth.

6Upon the wicked he shall rain snares, fire and brimstone, and an horrible tempest: this shall be the portion of their cup.11.6 an horrible…: or, a burning tempest

7For the righteous LORD loveth righteousness; his countenance doth behold the upright.