Zaburi 106 – NEN & CST

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 106:1-48

Zaburi 106

Wema Wa Bwana Kwa Watu Wake

1106:1 Ezr 3:11; Za 63:7; 22:23; 103:2; 119:68; 136:1-26; Yer 33:11; Mt 19:17Msifuni Bwana.

Mshukuruni Bwana, kwa kuwa ni mwema;

upendo wake wadumu milele.

2106:2 Za 40:5; 71:16Ni nani awezaye kusimulia matendo makuu ya Bwana

au kutangaza kikamilifu sifa zake?

3106:3 Yer 22:15, 16; Mt 22:37; Za 15:2; 112:5; Hos 12:6Heri wale wanaodumisha haki,

ambao daima wanafanya yaliyo mema.

4106:4 Za 25:6-7; 77:7; Mwa 50:24Ee Bwana, unikumbuke unapowatendea mema watu wako,

uwe msaada wangu unapowaokoa,

5106:5 Kum 30:15; Za 1:3; 105:6; 20:5; 27:5; 47:5; 118:15; Kut 34:9ili niweze kufurahia mafanikio ya wateule wako,

niweze kushiriki katika furaha ya taifa lako,

na kuungana na urithi wako katika kukusifu.

6106:6 1Fal 8:47; Neh 1:7; Dan 9:5; Rum 3:9; 2Nya 30:7; Law 26:40Tumetenda dhambi, kama vile baba zetu walivyotenda,

tumekosa na tumetenda uovu.

7106:7 Amu 3:7; Za 78:42; Kut 14:11, 12Wakati baba zetu walipokuwa Misri,

hawakuzingatia maajabu yako,

wala hawakukumbuka wingi wa fadhili zako,

bali waliasi kando ya bahari, Bahari ya Shamu.

8106:8 Kut 9:16; 14:30-31; Za 80:3; 107:13; 23:3; 143:11; Isa 25:9; Yoe 2:32; Yos 7:9; Yer 14:7, 21Hata hivyo aliwaokoa kwa ajili ya jina lake,

ili apate kudhihirisha uweza wake mkuu.

9106:9 Nah 1:4; Isa 50:3; 63:11-14; Kut 14:21; Za 18:15; 78:13Alikemea Bahari ya Shamu, nayo ikakauka,

akawaongoza katika vilindi vyake kama vile jangwani.

10106:10 Kut 14:30; Za 107:13; 78:42, 53; Isa 35:9; 62:12Aliwaokoa mikononi mwa adui;

kutoka mikononi mwa adui aliwakomboa.

11106:11 Kut 14:28Maji yaliwafunika adui zao,

hakunusurika hata mmoja.

12106:12 Kut 15:1-21; Za 105:43Ndipo walipoamini ahadi zake,

nao wakaimba sifa zake.

13106:13 Kut 15:24; 16:28; Hes 27:21Lakini mara walisahau aliyowatendea,

wala hawakungojea shauri lake.

14106:14 1Kor 10:9; Kut 17:2; Za 78:40; 68:7Jangwani walitawaliwa na tamaa zao,

walimjaribu Mungu nyikani.

15106:15 Isa 10:16; Hes 11:33; Kut 16:13; Za 78:29Kwa hiyo aliwapa kile walichoomba,

lakini akatuma juu yao ugonjwa wa kudhoofisha.

16106:16 Hes 16:1-3Kambini walimwonea wivu Mose,

na pia Aroni aliyekuwa amewekwa wakfu kwa Bwana.

17106:17 Kum 11:6; 15:12; Hes 16:1Ardhi ilifunguka ikawameza Dathani,

ikawazika Abiramu na kundi lake.

18106:18 Law 10:2Moto uliwaka katikati ya wafuasi wao,

mwali wa moto uliwateketeza waovu.

19106:19 Kut 32:4; Mdo 7:41Huko Horebu walitengeneza ndama,

na kuabudu sanamu ya kusubu kwa chuma.

20106:20 Yer 2:11; Rum 1:23Waliubadilisha Utukufu wao

kwa sanamu ya fahali, ambaye hula majani.

21106:21 Za 78:11; 75:1; Kum 10:21Walimsahau Mungu aliyewaokoa,

aliyekuwa ametenda mambo makuu huko Misri,

22106:22 Za 78:51; Kut 3:20; Kum 4:34miujiza katika nchi ya Hamu

na mambo ya kutisha huko Bahari ya Shamu.

23106:23 Kut 32:10-14; Hes 11:2; Eze 13:5; 20:13; Kum 9:19Kwa hiyo alisema kwamba angewaangamiza:

kama Mose mteule wake,

asingesimama kati yao na Mungu

kuizuia ghadhabu yake kuwaangamiza.

24106:24 Ebr 3:18; Yer 3:19; Hes 14:11, 30, 31; Kum 8:7Kisha waliidharau ile nchi nzuri,

hawakuiamini ahadi yake.

25106:25 Kut 15:24; Kum 1:27; 1Kor 10:10Walinungʼunika ndani ya mahema yao,

wala hawakumtii Bwana.

26106:26 Hes 14:23; Ebr 4:3; 3:17; Kum 2:14Kwa hiyo akaapa kwa mkono ulioinuliwa

kwamba atawafanya waanguke jangwani,

27106:27 Law 26:33kuwatawanya wazao wao waanguke miongoni mwa mataifa,

na kuwatawanya katika nchi zote.

28106:28 Hes 23:28; 25:2, 3; Kum 4:3; Hos 9:10; Ufu 2:14Walijifunga nira na Baali wa Peori,

wakala dhabihu zilizotolewa kwa miungu isiyo na uhai.

29106:29 Za 64:2; 141:4; Hes 16:46; 25:3, 8Waliichochea hasira ya Bwana,

wakamkasirisha kwa matendo yao maovu,

nayo tauni ikazuka katikati yao.

30106:30 Kut 6:25; Hes 25:8Lakini Finehasi alisimama na kuingilia kati,

nayo tauni ikazuiliwa.

31106:31 Mwa 15:6; Za 49:11; Hes 15:11-13Hili likahesabiwa kwake haki,

kwa vizazi visivyo na mwisho vijavyo.

32106:32 Kum 1:37; Kut 17:7; Hes 20:2-13Kwenye maji ya Meriba, walimkasirisha Bwana,

janga likampata Mose kwa sababu yao;

33106:33 Kut 17:4-7; 23:21; Yak 3:2; Isa 63:10; Za 107:11; 51:11; Hes 20:8-12kwa maana walimwasi Roho wa Mungu,

na maneno yasiyofaa yakatoka midomoni kwa Mose.

34106:34 Amu 1:21, 27-36; 2:2; Yos 9:15; Kum 2:34; 7:2, 16; 20:10; Kut 23:24Hawakuyaangamiza yale mataifa

kama Bwana alivyowaagiza,

35106:35 Amu 3:5, 6; Ezr 9:1, 2bali walijichanganya na mataifa

na wakazikubali desturi zao.

36106:36 Kut 10:7; 23:33; Amu 2:12; 2Fal 17:8-11; 2Nya 33:2-7; Kum 7:10, 16Waliabudu sanamu zao,

zikawa mtego kwao.

37106:37 Isa 57:5; Kut 10:7; 22:20; Law 18:21; Kum 32:17; 12:31; 7:16; 1Kor 10:20; Eze 16:20-21Wakawatoa wana wao

na binti zao dhabihu kwa mashetani.

38106:38 2Fal 3:27; Hes 35:33; Law 18:21; Kum 18:10Walimwaga damu isiyo na hatia,

damu za wana wao na binti zao,

ambao waliwatoa dhabihu kwa sanamu za Kanaani,

nayo nchi ikanajisika kwa damu zao.

39106:39 Mwa 3:17; Law 18:24; Eze 20:18; Hes 15:39Wakajinajisi wenyewe kwa yale waliyotenda;

kwa matendo yao wenyewe wakajifanyia ukahaba.

40106:40 Law 26:28; Kut 34:9; 9:29Kwa hiyo Bwana akawakasirikia watu wake

na akauchukia sana urithi wake.

41106:41 Amu 2:14; Neh 9:27Akawakabidhi kwa mataifa

na adui zao wakawatawala.

42106:42 Amu 4:3Adui zao wakawaonea

na kuwatia chini ya mamlaka yao.

43106:43 Amu 7:1-25; 2:16-19; 6:1-7; Yos 10:14; Neh 9:28Mara nyingi aliwaokoa

lakini walikuwa wamezama kwenye uasi,

nao wakajiharibu katika dhambi zao.

44106:44 Amu 3:9; 10:10Lakini akaangalia mateso yao

wakati aliposikia kilio chao;

45106:45 Mwa 9:15; Lk 1:72; Za 105:8; 103:11; 17:7; Law 26:41; Mao 3:32; Kut 32:14kwa ajili yao akakumbuka agano lake,

na kutokana na upendo wake mkuu akapooza hasira yake.

46106:46 1Nya 16:8; Mt 19:17; 2Nya 5:13; 7:3Akawafanya wahurumiwe

na wote waliowashikilia mateka.

47106:47 Za 147:2; 105:1; 30:4; 99:3; 28:9; 107:3; Isa 11:12; 27:13; 56:8; 66:20; Yer 31:8; Lk 1:74; Eze 20:34; Mik 4:6; 2Kor 5:15Ee Bwana Mungu wetu, tuokoe.

Tukusanye tena kutoka kwa mataifa,

ili tuweze kulishukuru jina lako takatifu,

na kushangilia katika sifa zako.

48106:48 Za 41:13; 72:19Atukuzwe Bwana, Mungu wa Israeli,

tangu milele na hata milele.

Watu wote na waseme, “Amen!”

Msifuni Bwana.

Nueva Versión Internacional (Castilian)

Salmo 106:1-48

Salmo 106

106:1,47-481Cr 16:34-36

1¡Aleluya! ¡Alabado sea el Señor!

Dad gracias al Señor, porque él es bueno;

su gran amor perdura para siempre.

2¿Quién puede proclamar las proezas del Señor,

o expresar toda su alabanza?

3Dichosos los que practican la justicia

y hacen siempre lo que es justo.

4Recuérdame, Señor, cuando te compadezcas de tu pueblo;

ven en mi ayuda el día de tu salvación.

5Hazme disfrutar del bienestar de tus escogidos,

participar de la alegría de tu pueblo

y expresar mis alabanzas con tu heredad.

6Hemos pecado, lo mismo que nuestros padres;

hemos hecho lo malo y actuado con iniquidad.

7Cuando nuestros padres estaban en Egipto,

no tomaron en cuenta tus maravillas;

no tuvieron presente tu bondad infinita

y se rebelaron junto al mar, el Mar Rojo.106:7 Mar Rojo. Lit. mar de las Cañas (heb. Yam Suf); también en vv. 9 y 22.

8Pero Dios los salvó, haciendo honor a su nombre,

para mostrar su gran poder.

9Reprendió al Mar Rojo, y este quedó seco;

los condujo por las profundidades del mar

como si cruzaran el desierto.

10Los salvó del poder de sus enemigos,

del poder de quienes los odiaban.

11Las aguas envolvieron a sus adversarios,

y ninguno de estos quedó con vida.

12Entonces ellos creyeron en sus promesas

y le entonaron alabanzas.

13Pero muy pronto olvidaron sus acciones

y no esperaron a conocer sus planes.

14En el desierto cedieron a sus propios deseos;

en los páramos pusieron a prueba a Dios.

15Y él les dio lo que pidieron,

pero les envió una enfermedad devastadora.

16En el campamento tuvieron envidia de Moisés

y de Aarón, el que estaba consagrado al Señor.

17Se abrió la tierra y se tragó a Datán;

sepultó a los seguidores de Abirán.

18Un fuego devoró a esa pandilla;

las llamas consumieron a los impíos.

19En Horeb hicieron un becerro;

se postraron ante un ídolo de fundición.

20Cambiaron al que era su motivo de orgullo106:20 Cambiaron … de orgullo. Lit. Cambiaron la gloria de ellos.

por la imagen de un toro que come hierba.

21Se olvidaron del Dios que los salvó

y que había hecho grandes cosas en Egipto:

22milagros en la tierra de Cam

y portentos junto al Mar Rojo.

23Dios amenazó con destruirlos,

pero no lo hizo por Moisés, su escogido,

que se puso ante él en la brecha

e impidió que su ira los destruyera.

24Menospreciaron esa bella tierra;

no creyeron en la promesa de Dios.

25Refunfuñaron en sus tiendas de campaña

y no obedecieron al Señor.

26Por tanto, él levantó su mano contra ellos

para hacerlos caer en el desierto,

27para hacer caer a sus descendientes entre las naciones

y dispersarlos por todos los países.

28Se sometieron al yugo de Baal Peor

y comieron de las ofrendas a ídolos sin vida.106:28 ofrendas a ídolos sin vida. Lit. ofrendas a los muertos.

29Provocaron al Señor con sus malvadas acciones,

y les sobrevino una plaga.

30Pero Finés se levantó e hizo justicia,

y la plaga se detuvo.

31Esto se le reconoció como un acto de justicia

para siempre, por todas las generaciones.

32Junto a las aguas de Meribá hicieron enojar al Señor,

y a Moisés le fue mal por culpa de ellos,

33pues lo sacaron de quicio

y él habló sin pensar lo que decía.

34No destruyeron a los pueblos

que el Señor les había señalado,

35sino que se mezclaron con los paganos

y adoptaron sus costumbres.

36Rindieron culto a sus ídolos,

y se les volvieron una trampa.

37Ofrecieron a sus hijos y a sus hijas

como sacrificio a esos demonios.

38Derramaron sangre inocente,

la sangre de sus hijos y sus hijas.

Al ofrecerlos en sacrificio a los ídolos de Canaán,

su sangre derramada profanó la tierra.

39Tales hechos los contaminaron;

tales acciones los corrompieron.

40La ira del Señor se encendió contra su pueblo;

su heredad le resultó aborrecible.

41Por eso los entregó a los paganos,

y fueron dominados por quienes los odiaban.

42Sus enemigos los oprimieron,

los sometieron a su poder.

43Muchas veces Dios los libró;

pero ellos, empeñados en su rebeldía,

se hundieron en la maldad.

44Al verlos Dios angustiados,

y al escuchar su clamor,

45se acordó del pacto que había hecho con ellos

y, por su gran amor, tuvo compasión de ellos.

46Hizo que todos sus opresores

también se apiadaran de ellos.

47Sálvanos, Señor, Dios nuestro;

vuelve a reunirnos de entre las naciones,

para que demos gracias a tu santo nombre

y orgullosos te alabemos.

48¡Bendito sea el Señor, el Dios de Israel,

eternamente y para siempre!

¡Que todo el pueblo diga: «Amén»!

¡Aleluya! ¡Alabado sea el Señor!