Zaburi 101 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 101:1-8

Zaburi 101

Ahadi Ya Kuishi Kwa Uadilifu Na Kwa Haki

Zaburi ya Daudi.

1101:1 Za 33:1; 51:14; 89:1; 145:7Nitaimba juu ya upendo wako na haki yako;

kwako wewe, Ee Bwana, nitaimba sifa.

2101:2 Mwa 17:1; 18:10; 1Sam 18:14; Kum 6:7; Flp 1:10; 1Fal 9:4; 3:14Nitazingatia kuishi maisha yasiyo na lawama:

utakuja kwangu lini?

Nitatembea nyumbani mwangu

kwa moyo usio na lawama.

3101:3 Yos 23:6; 1Sam 12:20; Yer 16:18; Eze 11:21; Hos 9:10; Za 5:5Sitaweka mbele ya macho yangu

kitu kiovu.

Ninayachukia matendo ya watu wasio na imani;

hawatashikamana nami.

4101:4 Mit 3:32; 6:16-19; 11:20; Mt 7:23; 1Kor 5:11; 2Tim 2:19Moyo wa ukaidi utakuwa mbali nami;

nitajitenga na kila ubaya.

5101:5 Kut 20:16; Law 19:16; Za 10:5; Mit 6:17; Lk 18:14Kila amsingiziaye jirani yake kwa siri,

huyo nitamnyamazisha;

mwenye macho ya dharau na moyo wa kiburi

huyo sitamvumilia.

6101:6 Za 101:2; 119:1Macho yangu yatawaelekea waaminifu katika nchi,

ili waweze kuishi pamoja nami;

yeye ambaye moyo wake hauna lawama

atanitumikia.

7Mdanganyifu hatakaa

nyumbani mwangu,

yeye asemaye kwa uongo

hatasimama mbele yangu.

8101:8 Za 5:3; 75:10; 118:10-12; 46:4; Yos 21:12; 2Sam 3:39; Hos 9:2Kila asubuhi nitawanyamazisha

waovu wote katika nchi;

nitamkatilia mbali kila mtenda mabaya

kutoka mji wa Bwana.

Bibelen på hverdagsdansk

Salmernes Bog 101:1-8

Et kongeligt løfte om retfærdighed

1En sang af David.

Jeg priser dig, Herre, for din trofasthed,

jeg vil synge om din godhed og retfærdighed.

2Jeg ønsker at leve et ulasteligt liv,

og derfor har jeg brug for din hjælp.

Alt, hvad jeg gør i mit kongelige palads,

vil jeg gøre af et oprigtigt hjerte.

3Jeg vil ikke tage del i ondskab,

jeg hader dem, der gør oprør imod dig.

4Jeg vil stræbe efter ubetinget ærlighed,

ikke tolerere falskhed og ondskab.

5De, der nedgør andre bag deres ryg,

vil jeg sørge for, bliver straffet.

Jeg tager afstand fra stolte mennesker,

hovmodige folk kan jeg ikke holde ud.

6Men de gudfrygtige, der lever i landet, er velkomne hos mig.

Jeg vil kun have ærlige folk i min tjeneste.

7Bedragere skal ikke få plads under mit tag,

løgnagtige folk bliver ikke lukket ind.

8Jeg vil gøre det af med de onde dag efter dag,

fjerne alle forbrydere fra Herrens by.