Zaburi 100 – NEN & NAV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 100:1-5

Zaburi 100

Dunia Yote Yaitwa Kumsifu Mungu

Zaburi ya shukrani.

1100:1 Za 98:6Mpigieni Bwana kelele za shangwe, dunia yote.

2100:2 Kum 10:12; Za 95:2Mwabuduni Bwana kwa furaha;

njooni mbele zake kwa nyimbo za shangwe.

3100:3 1Fal 18:21; Za 74:1; 46:10; 79:13; Isa 19:25; 63:8, 17-19; 64:9; Ay 10:3, 8, 9; Mhu 12:1; Efe 2:10; Eze 34:30Jueni kwamba Bwana ndiye Mungu.

Yeye ndiye alituumba, sisi tu mali yake;

sisi tu watu wake,

kondoo wa malisho yake.

4100:4 Za 42:4; 96:8; 116:17Ingieni malangoni mwake kwa shukrani

na katika nyua zake kwa kusifu,

mshukuruni yeye na kulisifu jina lake.

5100:5 1Nya 16:34; Ezr 3:11; Za 106:1; 108:4; 119:90Kwa maana Bwana ni mwema

na upendo wake wadumu milele;

uaminifu wake unadumu kwa vizazi vyote.

Ketab El Hayat

مزمور 100:1-5

الْمَزْمُورُ الْمِئَةُ

مَزْمُورُ اعْتِرَافٍ بِحَمْدِ الرَّبِّ

1اهْتِفُوا لِلرَّبِّ يَا سُكَّانَ الأَرْضِ جَمِيعاً. 2اعْبُدُوا الرَّبَّ بِبَهْجَةٍ، وَامْثُلُوا أَمَامَهُ مُتَرَنِّمِينَ. 3اعْلَمُوا أَنَّ الرَّبَّ هُوَ اللهُ. هُوَ صَنَعَنَا وَنَحْنُ لَهُ، نَحْنُ شَعْبُهُ وَقَطِيعُ مَرْعَاهُ. 4ادْخُلُوا أَبْوَابَهُ حَامِدِينَ، دِيَارَهُ مُسَبِّحِينَ. اشْكُرُوهُ وَبَارِكُوا اسْمَهُ. 5فَإِنَّ الرَّبَّ صَالِحٌ، إِلَى الأَبَدِ رَحْمَتُهُ وَأَمَانَتُهُ دَائِمَةٌ مِنْ جِيلٍ إِلَى جِيلٍ.