Zaburi 100 – NEN & HTB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 100:1-5

Zaburi 100

Dunia Yote Yaitwa Kumsifu Mungu

Zaburi ya shukrani.

1100:1 Za 98:6Mpigieni Bwana kelele za shangwe, dunia yote.

2100:2 Kum 10:12; Za 95:2Mwabuduni Bwana kwa furaha;

njooni mbele zake kwa nyimbo za shangwe.

3100:3 1Fal 18:21; Za 74:1; 46:10; 79:13; Isa 19:25; 63:8, 17-19; 64:9; Ay 10:3, 8, 9; Mhu 12:1; Efe 2:10; Eze 34:30Jueni kwamba Bwana ndiye Mungu.

Yeye ndiye alituumba, sisi tu mali yake;

sisi tu watu wake,

kondoo wa malisho yake.

4100:4 Za 42:4; 96:8; 116:17Ingieni malangoni mwake kwa shukrani

na katika nyua zake kwa kusifu,

mshukuruni yeye na kulisifu jina lake.

5100:5 1Nya 16:34; Ezr 3:11; Za 106:1; 108:4; 119:90Kwa maana Bwana ni mwema

na upendo wake wadumu milele;

uaminifu wake unadumu kwa vizazi vyote.

Het Boek

Psalmen 100:1-5

1Een psalm bij het lofoffer.

Laat de hele aarde voor de Here jubelen.

2Laat de hele aarde de Here met blijdschap dienen.

Kom bij Hem en zing een loflied.

3Bevestig dat u weet dat de Here de enige God is.

Hij heeft alles gemaakt, ook ons en wij zijn van Hem.

Wij zijn zijn volk en Hij zorgt voor ons.

4Zing een loflied wanneer u de tempelpoort ingaat.

Laat het in zijn voorhof klinken en prijs zijn naam.

5De Here is goed voor ons.

Zijn goedheid reikt tot in de eeuwigheid.

Hij blijft trouw van generatie op generatie.