Zaburi 10 – NEN & CST

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 10:1-18

Zaburi 1010 Zaburi hii ikiunganishwa na ya 9 zimetungwa kila beti likianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.

Sala Kwa Ajili Ya Haki

110:1 Za 13:1; 22:1, 11; 35:22; 38:21; 71:12Kwa nini, Ee Bwana, unasimama mbali?

Kwa nini unajificha wakati wa shida?

210:2 Ay 20:19; Mit 5:22; 10:3; Za 49:6; 94:4; Yer 48:30; Ay 1:5Katika kiburi chake, mwovu humtesa maskini,

waovu na wanaswe katika hila wanazozitunga.

3Hujivunia tamaa za moyo wake;

humbariki mlafi na kumtukana Bwana.

410:4 Za 12:3-5; 36:1; 2Fal 18:35; Ay 21:15Katika kiburi chake, mwovu hamtafuti Mungu,

katika mawazo yake yote

hakuna nafasi ya Mungu.

510:5 Za 18:27; 105:5; Mit 6:17; Isa 13:11; Yer 48:29Njia zake daima hufanikiwa;

hujivuna na amri zako ziko mbali naye,

huwacheka kwa dharau adui zake wote.

610:6 Ufu 18:7Anajisemea mwenyewe, “Hakuna kitakachonitikisa,

daima nitakuwa na furaha,

kamwe sitakuwa na shida.”

710:7 Mhu 4:1; Rum 3:14; Isa 30:12; Ay 20:12; Za 73:8; 119:134Kinywa chake kimejaa laana, uongo na vitisho;

shida na ubaya viko chini ya ulimi wake.

810:8 Za 37:32; 59:3; 71:10; Mit 1:11; Yer 5:26; Mik 7:2; Hos 6:9Huvizia karibu na vijiji;

kutoka mafichoni huwanasa wasio na hatia,

akivizia wapitaji.

910:9 Ay 18:8Huvizia kama simba aliye mawindoni;

huvizia kumkamata mnyonge,

huwakamata wanyonge na kuwaburuza

katika wavu wake.

1010:10 Ay 9:17Mateka wake hupondwa, huzimia;

wanaanguka katika nguvu zake.

1110:11 Ay 22:13; 22:14; Za 42:9; 77:9Anajisemea mwenyewe, “Mungu amesahau,

huficha uso wake na haoni kabisa.”

1210:12 Za 3:7; 9:12, 13; 17:7; 20:6; 106:26; Isa 26:11; Mik 5:9Inuka Bwana! Inua mkono wako, Ee Mungu.

Usiwasahau wanyonge.

1310:13 Ay 31:14Kwa nini mtu mwovu anamtukana Mungu?

Kwa nini anajiambia mwenyewe,

“Hataniita nitoe hesabu?”

1410:14 Za 22:11; 37:5; Kum 33:29Lakini wewe, Ee Mungu, unaona shida na huzuni,

umekubali kuyapokea mkononi mwako.

Mhanga anajisalimisha kwako,

wewe ni msaada wa yatima.

1510:15 Ay 31:22Vunja mkono wa mtu mwovu na mbaya,

mwite atoe hesabu ya maovu yake

ambayo yasingejulikana.

1610:16 Kut 15:18; Kum 8:20Bwana ni Mfalme milele na milele,

mataifa wataangamia watoke nchini mwake.

1710:17 Za 9:12; Kut 22:23Unasikia, Ee Bwana, shauku ya wanaoonewa,

wewe huwatia moyo, na kusikiliza kilio chao,

1810:18 Kum 24:17; Za 146:9; 9:9ukiwatetea yatima na walioonewa,

ili mwanadamu, ambaye ni udongo, asiogopeshe tena.

Nueva Versión Internacional (Castilian)

Salmo 10:1-18

Salmo 10

Lámed

1¿Por qué, Señor, te mantienes distante?

¿Por qué te escondes en momentos de angustia?

2Con arrogancia persigue el malvado al indefenso,

pero se enredará en sus propias artimañas.

3El malvado hace alarde de su propia codicia;

alaba al ambicioso y menosprecia al Señor.

4El malvado va con la cabeza levantada,

y no da lugar a Dios en sus pensamientos.

5Todas sus empresas son siempre exitosas;

tan altos y alejados de él están tus juicios

que se burla de todos sus enemigos.

6Y se dice a sí mismo: «Nada me hará caer.

Siempre seré feliz. Nunca tendré problemas».

Pe

7Llena está su boca de maldiciones,

de mentiras y amenazas;

bajo su lengua esconde maldad y violencia.

8Se pone al acecho en las aldeas,

se esconde en espera de sus víctimas,

y asesina a mansalva al inocente.

Ayin

9Cual león en su guarida se agazapa,

listo para atrapar al indefenso;

le cae encima y lo arrastra en su red.

10Bajo el peso de su poder,

sus víctimas caen por tierra.

11Se dice a sí mismo: «Dios se ha olvidado.

Se cubre el rostro. Nunca ve nada».

Qof

12¡Levántate, Señor!

¡Levanta, oh Dios, tu brazo!

¡No te olvides de los indefensos!

13¿Por qué te ha de menospreciar el malvado?

¿Por qué ha de pensar que no le pedirás cuentas?

Resh

14Pero tú ves la opresión y la violencia,

las tomas en cuenta y te harás cargo de ellas.

Las víctimas confían en ti;

tú eres la ayuda de los huérfanos.

Shin

15¡Rómpeles el brazo al malvado y al impío!

¡Pídeles cuentas de su maldad,

y haz que desaparezcan por completo!

16El Señor es rey eterno;

los paganos serán borrados de su tierra.

Tav

17Tú, Señor, escuchas la petición de los indefensos,

les infundes aliento y atiendes su clamor.

18Tú defiendes al huérfano y al oprimido,

para que el hombre, hecho de tierra,

no siga ya sembrando el terror.