Yoshua 24 – NEN & NUB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yoshua 24:1-33

Agano Lafanywa Upya Huko Shekemu

124:1 Mwa 49:2; 12:6; 1Sam 12:7; 1Fal 8:14; Yos 7:6; 23:2; Amu 9:1-3; Kut 18:25; 1Sam 10:10; Mdo 10:33Ndipo Yoshua akaita pamoja makabila yote ya Israeli huko Shekemu. Akawaita wazee, viongozi, waamuzi na maafisa wa Israeli, nao wakaja mbele za Mungu.

224:2 Mwa 23:2; 11:32; Kum 26:5; Isa 51:2Yoshua akawaambia watu wote, “Hili ndilo Bwana, Mungu wa Israeli, asemalo: ‘Hapo zamani baba zenu, pamoja na Tera baba yake Abrahamu na Nahori, waliishi ngʼambo ya Mto nao waliiabudu miungu mingine. 324:3 Mwa 12:1; 1:28; 12:2; 21:3; Mdo 7:2; Za 127:3Lakini nilimwondoa baba yenu Abrahamu kutoka nchi hiyo ngʼambo ya Mto, nami nikamwongoza katika nchi yote ya Kanaani, nikampa wazao wengi. Nikampa Isaki, 424:4 Mwa 25:26; 14:6; Hes 24:18; Mwa 46:5-6; Kum 2:5; Mdo 17:26naye Isaki nikampa Yakobo na Esau. Esau nikampa nchi ya vilima ya Seiri, lakini Yakobo pamoja na wanawe wakashuka Misri.

524:5 Kut 3:10; 12:51“ ‘Kisha nikawatuma Mose na Aroni, nami nikawapiga Wamisri kwa kile nilichokitenda huko, tena nikawatoa ninyi huko. 624:6 Kut 14:22; 14:9; 4:23; Mik 6:4; Neh 9:11; Za 78:13; Isa 63:12, 13Nilipowatoa baba zenu Misri, mlifika kwenye bahari, nao Wamisri wakawafuatia baba zenu kwa magari na wapanda farasi mpaka kwenye Bahari ya Shamu. 724:7 Kut 14:10, 20, 28; 19:4; Kum 1:46Lakini wakamlilia Bwana wakitaka msaada, naye akaweka giza kati yenu na Wamisri, akaileta bahari juu yao ikawafunika. Ninyi mliona kwa macho yenu wenyewe kile nilichowatendea Wamisri. Kisha mliishi jangwani kwa muda mrefu.

824:8 Kut 23:23; Hes 21:31“ ‘Nikawaleta katika nchi ya Waamori ambao waliishi mashariki mwa Yordani. Wakapigana nanyi, lakini nikawatia mikononi mwenu. Nikawaangamiza mbele yenu nanyi mkaimiliki nchi yao. 924:9 Hes 22:2, 6; 23:7Wakati Balaki mwana wa Sipori, mfalme wa Moabu, alipojiandaa kupigana dhidi ya Israeli, alimwita Balaamu mwana wa Beori apate kuwalaani. 1024:10 Hes 23:10; Kum 23:5Lakini sikumkubali Balaamu, kwa hiyo aliwabariki tena na tena, nami niliwaokoa toka mkononi mwake.

1124:11 Kut 14:29; Yos 6:1; 3:10; Mwa 15:18-21; Kut 23:23; Kum 7:1“ ‘Ndipo mlipovuka Yordani mkafika Yeriko. Raiya wa Yeriko wakapigana nanyi, kama walivyofanya Waamori, Waperizi, Wakanaani, Wahiti, Wagirgashi, Wahivi na Wayebusi, lakini niliwatia mikononi mwenu. 1224:12 Kut 23:28; Za 44:3-7; Kut 23:31; Za 135:11; Kum 7:20Nikatuma manyigu mbele yenu, ambao pia waliwafukuza mbele yenu, hao wafalme wawili wa Waamori. Siyo upanga au upinde wenu wenyewe vilivyowapatia ushindi. 1324:13 Kut 6:8; Kum 6:10-11; Yos 11:13; Mit 13:22Hivyo nikawapa ninyi nchi ambayo hamkuitaabikia na miji ambayo hamkuijenga na mnaishi ndani yake na kula toka kwa mashamba ya mizabibu na mizeituni msiyoipanda.’

1424:14 1Sam 12:14; Ay 23:15; Za 19:9; 119:120; Kum 10:12; 18:13; 1Sam 12:24; 2Kor 1:20; Mwa 31:19; Kut 12:12; 18:11; 20:3; Hes 25:2; Kum 11:28; Amu 10:16; 10:16; Rut 1:15; Isa 55; 7; Eze 23; 3“Sasa basi mcheni Bwana na kumtumikia kwa uaminifu wote. Itupeni mbali miungu ambayo baba zenu waliiabudu huko ngʼambo ya Mto Frati na huko Misri, nanyi mtumikieni Bwana. 1524:15 Amu 6:10; Rut 1:15-16; 2:12; Mwa 35:2; 1Fal 18:21; Dan 3:18Lakini msipoona vyema kumtumikia Bwana, chagueni hivi leo mtakayemtumikia, kama ni miungu ile ambayo baba zenu waliitumikia ngʼambo Frati, au miungu ya Waamori, ambao mnakaa katika nchi yao. Lakini mimi na nyumba yangu, tutamtumikia Bwana.”

1624:16 Yos 22:29Ndipo hao watu wakajibu, “Hili jambo liwe mbali nasi la kumsahau Bwana na kuitumikia miungu mingine! 1724:17 Amu 6:8; Kut 10:1Bwana Mungu wetu mwenyewe ndiye alitutoa sisi na baba zetu akatupandisha kutoka Misri, kutoka nchi ile ya utumwa, na kutenda zile ishara kubwa mbele ya macho yetu. Ndiye aliyetulinda katika safari yetu yote na kutokana na mataifa yote ambayo tulipita katikati yao. 1824:18 Kut 23:31; Kum 33:27; Mdo 7:45; Mwa 28:21Bwana akayafukuza mbele yetu mataifa yote pamoja na Waamori, walioishi katika nchi hii. Hivyo sisi nasi tutamtumikia Bwana kwa kuwa yeye ndiye Mungu wetu.”

1924:19 Law 11:44; 20:26; Kut 20:5; 34:7; 23:21; Rut 1:15; Mt 6:24; Lk 14:25-33; Law 19:2; 1Sam 6:20; Za 99:5, 9; Isa 5:16; Kut 23:21Yoshua akawaambia watu, “Hamwezi kumtumikia Bwana. Yeye ni Mungu Mtakatifu, ni Mungu mwenye wivu. Hatasamehe uasi wenu na dhambi zenu. 2024:20 1Nya 28:9, 20; 2Nya 24:18; Mdo 7:42; 1Sam 12:25; Hos 13:11; Yos 23:15; Ezr 8:22; Isa 1:28; 63:10; Yer 17:13; Ebr 10:26-28Ikiwa mkimwacha Bwana na kuitumikia miungu migeni, atageuka na kuwaleteeni maafa na kuwaangamiza, baada ya kuwa mwema kwenu.”

21Lakini watu wakamwambia Yoshua, “Sivyo! Sisi tutamtumikia Bwana.”

2224:22 Rut 2:10; Isa 8; 2; 43:10; 44:8; Yer 42:5; Mal 2:14; Za 119:30, 173; Kum 25:9Ndipo Yoshua akawaambia, “Ninyi mmekuwa mashahidi juu yenu wenyewe kuwa mmechagua kumtumikia Bwana.”

Nao wakajibu, “Ndiyo, tu mashahidi.”

2324:23 1Fal 8:58; Za 119:36; 141:4; Yer 31:33Yoshua akawaambia, “Sasa basi, itupeni mbali hiyo miungu migeni iliyo katikati yenu, nanyi mtoleeni Bwana, Mungu wa Israeli, mioyo yenu.”

2424:24 Kut 19:8; Yer 42:6Nao watu wakamwambia Yoshua, “Tutamtumikia Bwana Mungu wetu na kumtii yeye.”

2524:25 Kut 24:8; Yos 17:7; Kut 15:25Siku ile Yoshua akafanya agano kwa ajili ya watu na hapo Shekemu ndipo alipowaandikia amri na sheria. 2624:26 Kum 17:18; 28:61; 31:24; Mwa 28:18; Kum 27:2; Mwa 12:6; Amu 4:11Naye Yoshua akayaandika mambo haya katika Kitabu cha Sheria ya Mungu. Ndipo akalitwaa jiwe kubwa, akalisimamisha huko chini ya mwaloni, karibu na mahali patakatifu pa Bwana.

2724:27 Mwa 28:18; 21:30; Yos 22:27; 7:11; Hes 11:20; Mit 30:9Yoshua akawaambia watu wote, “Angalieni! Jiwe hili litakuwa shahidi juu yetu. Limesikia maneno yote Bwana aliyotuambia. Litakuwa shahidi juu yenu kama mtakuwa waongo kwa Mungu wenu.”

Kuzikwa Katika Nchi Ya Ahadi

2824:28 Amu 21:23-24Basi Yoshua akawatuma watu kila mmoja aende katika urithi wake mwenyewe.

2924:29 Amu 1:1; Mwa 50:22Baada ya mambo haya, Yoshua mwana wa Nuni, mtumishi wa Bwana akafa akiwa na umri wa miaka mia moja na kumi. 3024:30 Yos 19:50; 2Sam 23:30; Amu 2:7Nao wakamzika katika nchi ya urithi wake, huko Timnath-Sera24:30 Unajulikana pia kama Timnath-Heresi, ona Yos 19:50; Amu 2:9. katika nchi ya vilima ya Efraimu, kaskazini ya Mlima wa Gaashi.

3124:31 Yos 7:6Israeli wakamtumikia Bwana siku zote za maisha ya Yoshua, na za hao wazee walioishi baada ya Yoshua kufa, ambao waliona kila kitu Bwana alichowatendea Israeli.

3224:32 Ebr 11:22; Mwa 47:29-30; 33:19; Yn 4:6; Mdo 7:16; Mwa 50:25; Kut 13:19Nayo ile mifupa ya Yosefu, ambayo Waisraeli waliipandisha kutoka huko Misri, wakaizika huko Shekemu kwenye eneo, ambalo Yakobo alilinunua kwa wana wa Hamori baba yake Shekemu, kwa vipande mia vya fedha. Eneo hili likawa ni urithi wa uzao wa Yosefu.

3324:33 Yos 22:13; 15:57; Kut 6:25; 1Sam 9:4; 1Fal 8:4; Kut 6:25; Amu 20:28Naye Eleazari mwana wa Aroni akafariki akazikwa huko Gibea, mlima aliokuwa amepewa mtoto wake Finehasi, kwenye nchi ya vilima ya Efraimu.

Swedish Contemporary Bible

Josua 24:1-33

Förbundet mellan Herren och Israel förnyas

1Josua samlade alla Israels stammar i Shekem tillsammans med alla äldste, ledare, domare och förmän och de kom och ställde sig inför Gud. 2Där höll Josua följande tal till dem:

”Så säger Herren, Israels Gud: ’Era förfäder, Terach, Abrahams och Nachors far, bodde för länge sedan öster om floden Eufrat och tillbad andra gudar. 3Men jag kallade er far Abraham bort från landet på andra sidan floden och ledde honom in i Kanaans land där han sedan flyttade omkring. Jag gav honom många ättlingar. Jag gav honom Isak 4och till Isak gav jag Jakob och Esau. Jag lät Esau få bosätta sig i Seirs bergsbygd, medan Jakob och hans släkt begav sig till Egypten.

5Jag sände Mose och Aron och lät mina plågor drabba Egypten. Därefter ledde jag ut er därifrån. 6Men när jag förde era förfäder ut ur Egypten och ni kom till Sävhavet, kom egypterna efter dem med hästar och vagnar och vagnskämpar ut i Sävhavet. 7Då ropade de till Herren och han lät ett mörker komma mellan dem och egypterna och lät havet vända tillbaka över egypterna, så att de alla drunknade. Ni såg själva vad jag gjorde med egypterna. Sedan bodde ni i öknen under en lång tid.

8Därefter förde jag er in i amoréernas land på andra sidan Jordan. De stred mot er, men jag gav dem i ert våld så att ni intog deras land och jag förgjorde dem åt er. 9Sedan började kung Balak från Moab att kriga mot Israel.24:9 Se 4 Mos 22–24. Han skickade efter Bileam, Beors son, för att han skulle förbanna er, 10men jag lyssnade inte på honom. Istället fick jag honom att välsigna er och så räddades ni undan kung Balak.

11Ni gick därefter över floden Jordan och kom till Jeriko. Männen i staden stred mot er och det gjorde också amoréerna, perisséerna, kanaanéerna, hettiterna, girgashéerna, hivéerna och jevuséerna. Men jag gav dem alla i ert våld. 12Jag sände missmod24:12 Se not till 2 Mos 23:28. framför er för att fördriva amoréernas båda kungar och deras folk. Det var inte era svärd eller bågar som gav er segern. 13Jag gav er ett land som ni inte hade kämpat för och städer som ni inte hade byggt upp, de städer där ni nu bor. Jag gav er vingårdar och olivplanteringar som ni inte hade planterat och som ni nu fick äta av.’

14Ni ska därför frukta Herren och tjäna honom troget och uppriktigt! Gör er en gång för alla av med de avgudar som era förfäder tillbad när de bodde på andra sidan floden Eufrat och i Egypten. Tjäna Herren! 15Men om ni inte vill tjäna Herren, bestäm då idag vem ni vill tjäna. Vill ni välja de gudar som era förfäder tillbad på andra sidan Eufrat eller kanske de amoreiska gudarna här i landet? Jag och min släkt tänker i alla fall tjäna Herren.”

Hela folket lovar att följa Herren

16Folket svarade då: ”Vi skulle aldrig kunna överge Herren och tjäna andra gudar. 17Herren är vår Gud, han som förde ut våra förfäder från slaveriet i Egypten och som gjorde så många stora tecken inför våra ögon. Det var han som beskyddade oss under vandringen och som bevarade oss när vi vandrade genom andra folks länder. 18Det var Herren som drev ut amoréerna och de andra folken som bodde här i landet. Vi vill också tjäna Herren. Han är vår Gud.”

19Men Josua svarade folket: ”Ni klarar inte av att tjäna Herren, för han är en helig och svartsjuk Gud. Han kommer inte att förlåta er olydnad och era synder. 20Om ni överger honom och tillber andra gudar, kommer han att låta det gå illa för er och förgöra er, fastän han har varit god mot er under en så lång tid.”

21”Vi vill tjäna Herren!” svarade folket. 22”Ni är själva vittnen till att ni valt Herren och vill tjäna honom”, sa Josua. ”Ja”, svarade de.

23”Förstör då alla avgudar ni äger”, sa Josua till dem. ”Håll er till Herren, Israels Gud, av hela ert hjärta!” 24”Ja, vi ska tjäna och lyda Herren, vår Gud”, försäkrade folket.

25Den dagen upprättade Josua ett förbund för folket i Shekem och han läste upp alla lagar och föreskrifter för folket.

26Josua antecknade allt detta i Guds lagbok. Sedan tog han en stor sten och reste upp den under den stora terebinten vid Herrens helgedom. 27”Den här stenen är ett vittne mot oss, den har hört allt vad Herren har sagt. Den kommer att vittna mot er om ni tar tillbaka era ord”, sa Josua till hela folket.

28Sedan skickade han hem folket till deras olika områden i landet.

29En tid därefter dog Josua, 110 år gammal. 30Han begravdes på sitt eget område i Timnat-Serach i Efraims bergsbygd på norra sidan av berget Gaash.

31Israel tjänade Herren under hela Josuas livstid och så länge de äldste levde som själva kände till hur mycket Herren gjort för Israel.

32Josefs ben, som Israels folk hade tagit med sig vid uttåget ur Egypten, begravdes i Shekem på den mark som Jakob hade köpt för 100 kesitor24:32 Kesitor var en viktenhet. Det är inte känt hur mycket de vägde. silver av sönerna till Hamor, Shekems far. Marken tillhörde det område som tilldelats Josefs stam.

33Även Elasar, Arons son, dog. Han begravdes i Giva, den stad som hans son Pinechas hade fått i Efraims bergsbygd.