Yoshua 21 – NEN & CARSA

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yoshua 21:1-45

Miji Kwa Walawi

121:1 Yos 14:1; Hes 34:17; Yos 17:4; 24:33Basi viongozi wa jamaa ya Walawi, wakamwendea kuhani Eleazari, Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wa jamaa nyingine za makabila ya Israeli 221:2 Yos 18:1; Hes 35:2-3; Law 25:2; Yos 14:4huko Shilo katika Kanaani na kuwaambia, “Bwana aliamuru kupitia Mose kuwa mtupe miji ya kuishi yenye sehemu za malisho kwa mifugo yetu.” 3Hivyo kama vile Bwana alivyoamuru, Waisraeli wakawapa Walawi miji ifuatayo pamoja na sehemu zake za malisho kutoka urithi wao wenyewe.

4Kura ya kwanza ikaangukia Wakohathi, ukoo kwa ukoo. Walawi waliokuwa wazao wa kuhani Aroni walipewa miji kumi na mitatu kutoka makabila ya Yuda, Simeoni na Benyamini. 5Wazao wengine waliobaki wa Wakohathi walipewa miji kumi kutoka koo za makabila ya Efraimu, Dani na nusu ya Manase.

621:6 Hes 3:17; Mwa 30:18; Yos 17:7Wazao wa Gershoni walipewa miji kumi na mitatu kutoka koo za makabila ya Isakari, Asheri, Naftali na nusu ya Manase huko Bashani.

721:7 Kut 6:16; Yos 19:10Wazao wa Merari, ukoo kwa ukoo, walipewa miji kumi na miwili kutoka makabila ya Reubeni, Gadi na Zabuloni.

821:8 Mwa 49:7; Hes 35:2-3; Yos 18:6; Mit 16:33Kwa hiyo Waisraeli wakawapa Walawi miji hii pamoja na sehemu zake za malisho, kama vile Bwana alivyokuwa ameamuru kupitia kwa Mose.

9Kutoka makabila ya Yuda na Simeoni waligawa miji ifuatayo kwa majina 10(miji hii walipewa wazao wa Aroni ambao walitokana na koo za Wakohathi wa Walawi, kwa sababu kura ya kwanza iliwaangukia):

1121:11 Yos 15:48-50Waliwapa Kiriath-Arba (yaani Hebroni), pamoja na sehemu zake za malisho zilizoizunguka, katika nchi ya vilima ya Yuda. (Arba alikuwa baba wa Anaki.) 1221:12 Yos 15:13Lakini mashamba na vijiji vilivyozunguka mji mkubwa walikuwa wamempa Kalebu mwana wa Yefune kuwa milki yake.

1321:13 Hes 35:6; 33:20; 1Nya 6:57Kwa hiyo wazao wa kuhani Aroni wakapewa Hebroni (mji mkuu wa makimbilio kwa ajili ya yeyote aliyeshtakiwa kwa mauaji), Libna, 1421:14 Yos 15:48-50; Kum 4:43; 1Fal 22:3Yatiri, Eshtemoa, 15Holoni, Debiri, 1621:16 Hes 34:11; Yos 15:55; 15:10Aini, Yuta na Beth-Shemeshi, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji tisa kutoka kwa makabila haya mawili.

1721:17 Yos 9:3; Neh 11:31; 1Nya 6:55; Mwa 23:2; Yos 14:15; 2Sam 2:1-3; Lk 1:39Kutoka kabila la Benyamini wakawapa Gibeoni, Geba, 1821:18 2Sam 23:27; 1Fal 2:26; Ezr 2:23; Neh 7:27; 11:32; Isa 10:30; Yer 1:1; 11:21; 32:7; Yos 14:14Anathothi na Almoni, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.

1921:19 2Nya 31:15; Yos 20:7-9; 15:54; Isa 37:8Miji yote waliyopewa makuhani, wazao wa Aroni, ilikuwa kumi na mitatu, pamoja na sehemu zake za malisho.

20Koo nyingine za Wakohathi, ambao pia ni Walawi, walipewa miji kutoka kabila la Efraimu:

2121:21 Yos 17:7; 10:33; 20:7; Mwa 33:19; Amu 9:1; 1Fal 12:1Katika nchi ya vilima ya Efraimu walipewa Shekemu (mji mkubwa wa makimbilio kwa yeyote anayeshtakiwa kwa mauaji) na Gezeri, 2221:22 Yos 10:10; 1Sam 1:1Kibsaimu na Beth-Horoni, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.

2321:23 Yos 19:44Pia kutoka kabila la Dani wakapokea Elteke, Gibethoni, 2421:24 Yos 10:12; 19:45Aiyaloni na Gath-Rimoni pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne

2521:25 Yos 12:21Kutoka nusu ya kabila la Manase, wakapokea Taanaki na Gath-Rimoni pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji miwili.

26Miji yote hii kumi pamoja na sehemu zake za malisho ilipewa koo za Wakohathi zilizobaki.

2721:27 Yos 12:5; Hes 35:6; Kum 4:43; 1Nya 6:71-76Koo za Walawi za Wagershoni walipewa:

kutoka nusu ya kabila la Manase,

Golani katika Bashani (mji mkuu wa makimbilio kwa yeyote aliyeshtakiwa kwa mauaji) na Beeshtera, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji miwili;

2821:28 Mwa 30:18; Yos 19:20; 19:12kutoka kabila la Isakari walipewa,

Kishioni, Daberathi, 2921:29 Yos 10:3; 15:34Yarmuthi na En-Ganimu, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne

3021:30 Yos 17:7; 19:26-28kutoka kabila la Asheri walipewa,

Mishali, Abdoni, 3121:31 Yos 19:28Helkathi na Rehobu, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.

3221:32 Yos 12:22; Hes 35:6; Yos 12:22Kutoka kabila la Naftali walipewa,

Kedeshi katika Galilaya (mji wa makimbilio kwa ajili ya yeyote anayeshtakiwa kwa mauaji), Hamoth-Dori na Kartani, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji mitano.

33Miji yote ya koo za Wagershoni ilikuwa kumi na mitatu, pamoja na sehemu zake za malisho.

3421:34 Yos 19:10; 12:22Koo za Wamerari (Walawi waliobaki) walipewa:

kutoka kabila la Zabuloni,

Yokneamu, Karta, 3521:35 Yos 19:15Dimna na Nahalali, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne;

3621:36 Yos 20:8; Hes 21:23; Kum 2:32; Amu 11:20kutoka kabila la Reubeni walipewa

Bezeri, Yahasa, 3721:37 Yos 13:18Kedemothi na Mefaathi, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne;

3821:38 Kum 4:43; Yos 12:2; Mwa 32:2kutoka kabila la Gadi walipewa,

Ramothi katika Gileadi (mji wa makimbilio kwa ajili ya yeyote anayeshtakiwa kwa ajili ya mauaji), Mahanaimu, 3921:39 Yos 13:25Heshboni na Yazeri, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.

40Miji yote waliyopewa koo za Wamerari, waliokuwa mabaki ya Walawi, ilikuwa ni kumi na miwili.

4121:41 Hes 35:7; Mwa 49:7; Kum 33:10Miji yote ya Walawi katika eneo lililoshikwa na Waisraeli lilikuwa arobaini na minane, pamoja na sehemu zake za malisho. 42Kila mmoja wa miji hii ulikuwa na sehemu ya malisho kuuzunguka; ndivyo ilivyokuwa kwa miji hii yote.

4321:43 Kum 34:4; 11:31; 17:14Kwa hiyo Bwana akawapa Israeli nchi yote aliyokuwa ameapa kuwapa baba zao, nao wakaimiliki na kukaa humo. 4421:44 Kut 33:14; Kum 6:19; Kut 23:31; Kum 21:10; 7:24Bwana akawapa pumziko kila upande, kama vile alivyokuwa amewaapia baba zao, hakuna hata mmoja wa adui zao aliyeweza kusimama mbele yao, Bwana akawatia adui zao wote mikononi mwao. 4521:45 Yos 23:14; Neh 9:8; Isa 49:7-8; Mt 24:35; Lk 21:33Hakuna hata mojawapo ya ahadi nzuri ya Bwana kwa nyumba ya Israeli ambayo haikutimia; kila moja ilitimia.

Священное Писание (Восточный перевод), версия с «Аллахом»

Иешуа 21:1-45

Города для левитов

(1 Лет. 6:54-80)

1Главы левитских семейств пришли к священнослужителю Элеазару, к Иешуа, сыну Нуна, и к главам остальных семейств в родах Исраила 2в Шило в Ханаане и сказали им:

– Вечный повелел через Мусу, чтобы нам дали города для жительства с пастбищами для нашего скота.

3И по повелению Вечного исраильтяне дали левитам следующие города и пастбища из своих наделов:

4Первый жребий выпал каафитам, по их кланам. Левитам, которые были потомками священнослужителя Харуна, досталось тринадцать городов от родов Иуды, Шимона и Вениамина. 5Остальные потомки Каафы получили по жребию десять городов от кланов, принадлежащих родам Ефраима, Дана и половине рода Манассы.

6Потомкам Гершона досталось тринадцать городов от кланов, принадлежащих родам Иссахара, Ашира и Неффалима и половине рода Манассы в Башане.

7Потомки Мерари, по их кланам, получили двенадцать городов от родов Рувима, Гада и Завулона.

8Так исраильтяне выделили левитам эти города и пастбища, как повелел через Мусу Вечный.

9От родов Иуды и Шимона дали следующие города, упоминаемые по названию 10(эти города были предназначены потомкам священнослужителя Харуна из каафитских кланов левитов, потому что им выпал первый жребий):

11Они дали им город Кириат-Арбу (то есть Хеврон) с его окрестными пастбищами в нагорьях Иуды. (Арба был отцом Анака.) 12Но поля и поселения вокруг города были отданы во владение Халеву, сыну Иефоннии.

13Итак, потомкам священнослужителя Харуна они дали Хеврон (город-убежище для обвиняемого в убийстве), Ливну, 14Иаттир, Эштемоа, 15Холон, Девир, 16Аин, Ютту и Бет-Шемеш с их пастбищами – девять городов от двух этих родов.

17А от рода Вениамина дали им Гаваон, Геву, 18Анатот и Алмон с их пастбищами – четыре города.

19Всего для священнослужителей, потомков Харуна, было отдано тринадцать городов с их пастбищами.

20Остальным каафитским кланам левитов достались следующие города от рода Ефраима:

21Им дали Шехем (город-убежище для обвиняемого в убийстве) в нагорьях Ефраима, Гезер, 22Кивцаим и Бет-Хорон с их пастбищами – четыре города.

23А от рода Дана они получили Элтеке, Гиббетон, 24Аялон и Гат-Риммон с их пастбищами – четыре города.

25От половины рода Манассы они получили Таанах и Гат-Риммон с их пастбищами – два города.

26Все эти города с их пастбищами были даны остальным каафитским кланам.

27Гершонитским кланам левитов дали

от половины рода Манассы: Голан, что в Башане (город-убежище для обвиняемого в убийстве), и Беэштера с их пастбищами – два города;

28от рода Иссахара: Кишион, Даверат, 29Иармут и Ен-Ганним с их пастбищами – четыре города;

30от рода Ашира: Мишал, Авдон, 31Хелкат и Рехов с их пастбищами – четыре города;

32от рода Неффалима: Кедеш, что в Галилее (город-убежище для обвиняемого в убийстве), Хаммот-Дор и Картан с их пастбищами – три города.

33Всего у гершонитских кланов было тринадцать городов с пастбищами.

34Мераритским кланам (остальным левитам) дали

от рода Завулона: Иокнеам, Карту, 35Димну и Нахалал с их пастбищами – четыре города;

36от рода Рувима: Бецер, Иахац, 37Кедемот и Мефаат с их пастбищами – четыре города;

38от рода Гада: Рамот, что в Галааде (город-убежище для обвиняемого в убийстве), Маханаим, 39Хешбон и Иазер с их пастбищами – всего четыре города.

40Всего городов, доставшихся мераритским кланам, остальным левитам, было двенадцать.

41Всего в земельных владениях исраильтян было сорок восемь левитских городов с их пастбищами. 42Вокруг каждого из этих городов были пастбища. Так было вокруг всех этих городов.

43Так Вечный отдал исраильтянам всю землю, которую Он клялся дать их предкам, и они завладели ею и поселились там. 44Вечный дал им покой со всех сторон, как Он и клялся их предкам. Никто из их врагов не устоял перед ними, Вечный отдал их врагов им в руки. 45Ни одно из тех добрых обещаний, которые Вечный дал народу Исраила, не осталось неисполненным, исполнилось каждое.