Yoshua 2 – NEN & KLB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yoshua 2:1-24

Rahabu Na Wapelelezi

12:1 Mwa 42:9; Hes 25:1; Yos 3:1; Yoe 3:18; Hes 21:32; Amu 18:2; Hes 33:48; Yos 6:17, 25; Ebr 11:31Kisha Yoshua mwana wa Nuni kwa siri akawatuma wapelelezi wawili kutoka Shitimu, akawaambia, “Nendeni mkaikague hiyo nchi, hasa Yeriko.” Kwa hiyo wakaenda na kuingia kwenye nyumba ya kahaba mmoja jina lake Rahabu na kukaa humo.

22:2 Za 127:1; Mit 21:30Mfalme wa Yeriko akaambiwa, “Tazama! Baadhi ya Waisraeli wamekuja huku usiku huu kuipeleleza nchi.” 32:3 Yos 6:23Hivyo mfalme wa Yeriko akatuma huu ujumbe kwa Rahabu: “Watoe wale watu waliokujia na kuingia nyumbani mwako, kwa sababu wamekuja kuipeleleza nchi yote.”

42:4 Yos 6:22; 6:17; 2Sam 17:19-20; 2Fal 6:19Lakini huyo mwanamke alikuwa amewachukua hao watu wawili na kuwaficha. Akasema, “Naam, watu hao walikuja kwangu, lakini sikujua walikotoka. 52:5 Amu 5:8; 9:35; 16:2; Ebr 11:31Kulipoingia giza, wakati wa kufunga lango la mji, watu hao waliondoka. Sijui njia waliyoiendea. Wafuatilieni haraka. Huenda mkawapata.” 62:6 Amu 15:14; Mit 31:13; Isa 19:9; Kut 1:19; Yos 6:25; 2Sam 17:19; Yak 2:25; Kut 1:17(Lakini alikuwa amewapandisha darini akawafunika kwa mabua ya kitani aliyokuwa ameyatandika darini.) 72:7 Hes 22:1; Amu 3:28; 7:24; 12:5-6; Isa 16:2Basi hao watu wakaondoka kuwafuatilia hao wapelelezi katika njia ile inayoelekea vivuko vya Yordani, mara tu wafuatiliaji walipotoka nje, lango likafungwa.

82:8 Kum 22:8; Amu 16:27; 2Sam 16:22; Neh 8:16; Isa 15:3; 22:1; Yer 32:29Kabla wale wapelelezi hawajalala, Rahabu akawaendea huko juu darini, 92:9 Mwa 35:5; Kut 15:14-15; Mwa 35:5; Kum 2:25; 11:25akawaambia, “Ninajua kuwa Bwana amewapa nchi hii na hofu kuu imetuangukia kwa sababu yenu, kiasi kwamba wote waishio katika nchi hii wanayeyuka kwa hofu kwa sababu yenu. 102:10 Mwa 8:1; Kut 14:21; Yos 3:17; Za 74:15; Hes 23:22; 21:21; Mwa 10:16; 14:7; Yos 9:10Tumesikia jinsi Bwana alivyokausha maji ya Bahari ya Shamu kwa ajili yenu mlipotoka Misri, pia lile mlilowatendea Sihoni na Ogu, wafalme wawili wa Waamori mashariki mwa Yordani, ambao mliwaangamiza kabisa. 112:11 Mwa 42:28; Kum 2:25; Za 107:26; Yon 1:5; Kut 15:14; Yos 5:1; 7:5; 2Sam 4:1; Za 22; 14; Isa 13:7; 19:1; Yer 51:30; Nah 2:10; 2Fal 5:15; 19:15; Dan 6:26; Mwa 14:19; Hes 20:14; Kum 4:39Tuliposikia juu ya hili, mioyo yetu iliyeyuka na kila mmoja alikosa ujasiri kwa sababu yenu, kwa maana Bwana Mungu wenu ni Mungu juu mbinguni na duniani chini. 122:12 Mwa 24:8; 47:31; 24; 12; Rut 3:10; Mwa 24:14; Kut 3:12; Yos 4:6; 1Sam 2:34; 2Fal 19:29Sasa basi, tafadhali niapieni kwa Bwana, kwamba mtaitendea hisani jamaa ya baba yangu, kwa kuwa mimi nimewatendea hisani. Nipeni ishara ya uaminifu 132:13 Yos 6:23kwamba mtayahifadhi maisha ya baba yangu na mama yangu, ndugu zangu wa kiume na wa kike, pamoja na wale wote walio wa kwao na kwamba mtatuokoa na kifo.”

142:14 1Fal 20:39-42; 2Fal 10:24; Mwa 47:29; Mt 5:7; Amu 1:24; Mt 5:7Wale watu wakamhakikishia Rahabu, “Uhai wetu kwa uhai wenu! Ikiwa hutatoa habari ya nini tunachofanya, wakati Bwana atakapotupa nchi hii, tutawatendea kwa hisani na kwa uaminifu.”

152:15 Yer 38:6, 11; Mwa 26:8; Amu 5:28; 1Sam 19:12; Mdo 9:25; Ebr 11:31Kisha akawateremsha dirishani kwa kamba, kwa kuwa nyumba yake aliyokuwa anaishi ilikuwa sehemu ya ukuta wa mji. 162:16 Yak 2:25; Mwa 14:10; Ebr 11:31Alikuwa amewaambia, “Nendeni vilimani ili wale wafuatiliaji wasiwapate. Jificheni huko kwa siku tatu mpaka watakaporudi, hatimaye mwende zenu.”

172:17 Mwa 24:8; Kut 20:7Wale watu wakamwambia, “Hiki kiapo ulichotuapisha hakitatufunga, 182:18 Yos 6:23; Mwa 7:1; 19:12, 17; Es 8:6; Mdo 11:14; 2Tim 1:16isipokuwa, hapo tutakapoingia katika nchi hii, utakuwa umefunga hii kamba nyekundu dirishani pale ulipotuteremshia na kama utakuwa umewaleta baba yako na mama yako, ndugu zako na jamaa yako yote ndani ya nyumba yako. 192:19 Law 20:9; Eze 33:4; Hes 34:26, 27Ikiwa mtu yeyote atatoka nje ya nyumba yako akaenda mtaani, damu yake itakuwa juu ya kichwa chake mwenyewe, hatutawajibika. Lakini yule ambaye atakuwa ndani pamoja nawe, kama mkono wa mtu yeyote ukiwa juu yake damu yake itakuwa juu ya vichwa vyetu. 202:20 Mwa 24:8; 47:31Lakini ikiwa utatoa habari ya shughuli yetu tunayofanya, tutakuwa tumefunguliwa kutoka kwenye kiapo hiki ulichotufanya tuape.”

21Naye akajibu, “Nimekubali. Na iwe kama mnavyosema.” Kwa hiyo akaagana nao, nao wakaondoka. Yeye akaifunga ile kamba nyekundu dirishani.

22Walipoondoka, wakaelekea vilimani na kukaa huko siku tatu, hadi wale waliokuwa wakiwafuatilia wakawa wamewatafuta njia nzima na kurudi pasipo kuwapata. 23Ndipo wale watu wawili wakaanza kurudi. Wakashuka kutoka kule vilimani, wakavuka mto na kuja kwa Yoshua mwana wa Nuni, na kumweleza kila kitu kilichowapata. 242:24 Yos 10:8; 11:6; Amu 3:28; 7:9; 20:28; 1Sam 14:10; Kut 15:15Wakamwambia Yoshua, “Hakika Bwana ametupa nchi yote mikononi mwetu; watu wote wanayeyuka kwa hofu kwa sababu yetu.”

Korean Living Bible

여호수아 2:1-24

라합과 두 정찰병

1눈의 아들 여호수아는 싯딤에서 정찰병 두 명을 보내 요단강 저편의 땅, 특히 여 리고 일대의 상황을 몰래 조사해 오라고 지시하였다. 그래서 그 두 정찰병은 그 곳을 떠나 라합이라는 기생이 운영하는 어떤 여관에 도착하여 그 날 밤을 거기서 보내게 되었다.

2그 날 밤에 여리고 왕은 간첩으로 보이는 두 이스라엘 사람이 그 곳에 와 있다는 정보를 듣고

3사람을 보내 그 땅을 탐지하려고 라합의 집에 들어온 그들을 체포해 오라고 명령하였다.

4그러나 라합은 그 두 정찰병을 숨겨 두고 왕이 보낸 사람들에게 이렇게 말하였다. “그들이 내 집에 왔던 것은 사실이지만 어디서 왔는지 몰랐습니다.

5그들은 날이 어두워 성문을 닫을 때쯤 되어 나갔는데 어디로 갔는지 모르겠어요. 하지만 급히 추적하면 잡을 수 있을 거예요.”

6사실 라합은 그들을 데리고 옥상으로 올라가 말리려고 널어 놓은 삼대 속에 그들을 숨겨 두었던 것이다.

7왕이 보낸 사람들이 이스라엘 정찰병을 추적하여 요단으로 가는 길을 따라 나가자 성문은 닫혔다.

8그 정찰병들이 잠들기 전에 라합은 옥상으로 올라가 그들에게 말하였다.

9“나는 당신들의 하나님이 이 땅을 이미 당신들에게 주신 줄로 압니다. 우리는 당신들을 두려운 존재로 여기고 있습니다. 이 땅에 사는 모든 사람들이 ‘이스라엘’ 이란 말만 들어도 무서워 떨고 있답니다.

10우리는 당신들이 이집트를 탈출해 나오던 때에 여호와께서 당신들 앞에서 홍해 물을 말리셨다는 이야기를 들었어요. 어디 이뿐이겠습니까! 우리는 당신들이 요단 동쪽에 있는 두 아모리 왕, 시혼과 옥을 어떻게 처치했는지도 다 들었습니다.

11그런 말을 듣는 순간 우리는 당신들이 무서워 정신을 잃고 말았답니다. 정말 당신들의 하나님 여호와야말로 천하에서 제일 가는 신이십니다.

12-13그래서 내가 당신들에게 한 가지만 부탁하겠습니다. 내가 당신들을 도와 호의를 베풀었으니 당신들도 나에게 은혜를 베풀어 2:12-13 암시됨.여리고가 정복당할 때 나와 내 가족과 친척을 모두 살려 주겠다고 당신들의 하나님 여호와의 이름으로 맹세하고 믿을 만한 표를 주세요.”

14그때 두 정찰병은 그녀에게 이렇게 대답하였다. “만일 당신이 우리 일을 아무에게도 말하지 않으면 여호와께서 이 땅을 우리에게 주실 때 우리가 목숨을 걸고서라도 당신과 당신의 가족을 구하고 당신을 진심으로 우대할 것을 약속합니다.”

15그래서 라합은 창문을 통해 그들을 밧줄로 달아내렸는데 그것은 라합이 성벽 위에 지은 집에 살고 있었기 때문이었다.

16라합은 그들에게 “가다가 추적대를 만날지도 모르니 당신들은 산으로 도망가서 3일 동안 숨어 있다가 그들이 돌아간 다음에 갈 길을 가세요” 하고 말해 주었다.

17두 정찰병은 떠나기에 앞서 그녀에게 이렇게 말하였다. “우리가 당신에게 약속한 것은 반드시 지키겠습니다.

18그러나 당신도 꼭 지켜야 할 일이 있습니다. 우리가 이 땅을 치러 들어올 때 우리를 달아내린 이 창에 붉은 줄을 매달고 당신의 가족과 친척을 모두 이 집에 모아 놓는 일을 잊지 마십시오.

19누구든지 당신의 집 밖을 나가서는 안 됩니다. 만일 당신들이 집 밖에서 죽으면 우리가 책임을 지지 않습니다. 그러나 집 안에 있다가 부상을 당하거나 죽으면 그것은 우리 책임입니다.

20하지만 당신이 우리 일을 폭로하면 우리가 당신에게 한 약속이 우리와 아무 상관이 없게 될 것입니다.”

21라합은 “당신들의 말대로 하겠습니다” 하고 대답한 후에 그들을 돌려보내고 창가에 붉은 줄을 매달아 놓았다.

22그 정찰병들은 산으로 올라가 3일 동안 숨어 있었고 그들을 추적하던 사람들은 찾다가 그들을 발견하지 못하고 여리고로 되돌아갔다.

23-24그래서 그 두 정찰병은 산에서 내려와 강을 건너 여호수아에게 가서 그들이 겪은 모든 일을 보고하고 이렇게 말하였다. “우리는 여호와께서 그 땅을 우리에게 이미 주신 것을 확신합니다. 그들은 우리가 무서워서 벌벌 떨고 있었습니다.”