Yoshua 16 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yoshua 16:1-10

Mgawo Kwa Efraimu Na Manase

116:1 Yos 8:15; 12:9; 18:12Mgawanyo wa Yosefu ulianzia Yordani ya Yeriko, mashariki mwa miji ya Yeriko na kutoka hapo ulipanda kupitia jangwani na kuingia katika nchi ya vilima ya Betheli. 216:2 Mwa 28:19; 2Sam 15:32; Hes 32:3Ukaendelea kutoka Betheli (ndiyo Luzu), ukavuka kuingia eneo la Waariki huko Atarothi, 316:3 Yos 10:10; 10:33; 1Fal 9:15ukateremkia kuelekea magharibi hadi eneo la Wayafleti ukienea hadi eneo la Beth-Horoni ya Chini hadi Gezeri, ukiishia baharini.

416:4 Yos 17:14; 18:5Kwa hiyo Manase na Efraimu, wazao wa Yosefu, walipokea urithi wao.

516:5 Yos 18:13; 10:10Hili ndilo lilikuwa eneo la Efraimu, ukoo kwa ukoo:

Mpaka wa urithi wao ulianzia Ataroth-Adari upande wa mashariki hadi Beth-Horoni ya Juu, 616:6 Yos 17:7; 2Fal 15:29na kuendelea mpaka baharini. Kutoka Mikmeta upande wa kaskazini ulipinda kuelekea mashariki hadi Taanath-Shilo, ukiupita hadi Yanoa upande wa mashariki. 716:7 Hes 32:3Kisha uliteremka kutoka Yanoa hadi Atarothi na Naara, ukagusa Yeriko na kutokea katika Mto Yordani. 816:8 Yos 12:17; 17:9; 19:28Kutoka Tapua mpaka ulikwenda magharibi hadi Bonde la Kana na kuishia baharini. Huu ulikuwa ndio urithi wa kabila la Waefraimu, ukoo kwa ukoo. 916:9 Eze 48:5Pia ulijumuisha miji yote na vijiji vyake ambavyo vilitengwa kwa ajili ya Waefraimu ndani ya urithi wa kabila la Manase.

1016:10 Yos 15:63; 17:12-13; Amu 1:28-29; 1Fal 9:16Hawakuwatoa Wakanaani waishio Gezeri; mpaka leo Wakanaani wanaishi miongoni mwa watu wa Efraimu lakini wanatakiwa kufanya kazi ngumu za kulazimishwa.

Japanese Contemporary Bible

ヨシュア記 16:1-10

16

ヨセフ族の割り当て

1-4ヨセフ族〔エフライムと、マナセの半部族〕がくじで割り当てられた地の境界線は、エリコ付近のヨルダン川から荒野を通り、ベテルの山地へと延び、ベテルからルズに、それからアルキ人の領地アタロテへと進みます。次に西に向かって、下ベテ・ホロンに近いヤフレテ人との境界に下り、さらにゲゼルに出て、地中海に行き着きます。

エフライム族の相続地

5-6エフライム族に割り当てられた相続地は次のとおり。その東の境界線は、アテロテ・アダルから始まり、上ベテ・ホロンを通って地中海に達します。北の境界線は、地中海から東方へとミクメタテを通り、さらに東進してタアナテ・シロとヤノアハを通ります。 7ヤノアハから南に回ってアタロテとナアラに下り、エリコを経てヨルダン川で終わるのです。 8北の境界線の西半分は、タプアハからカナ川に沿って進み、終わりは地中海に達します。 9なお、エフライム族には、マナセの半部族の領地内の町々も一部与えられました。 10ゲゼルに住むカナン人は追い払われなかったので、今も奴隷として、エフライムの人々の中で生活しています。