Yoshua 14 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yoshua 14:1-15

Mgawanyo Wa Nchi Magharibi Mwa Yordani

114:1 Yos 11:23; Za 16:6; 136:21; Kut 6:23; Yos 21:1; Hes 26:53; 34:17-18; Yos 19:51Basi haya ndiyo maeneo Waisraeli waliyopokea kama urithi katika nchi ya Kanaani, ambayo kuhani Eleazari, Yoshua mwana wa Nuni na viongozi wa koo za kabila za Israeli waliwagawia. 214:2 Law 16:8; Hes 34:13; Za 16:5; Mit 16:33; 18:18Urithi wao uligawanywa kwa kura kwa yale makabila tisa na nusu, kama Bwana alivyoamuru Mose. 314:3 Hes 32:33; 34:14; 35:2; Yos 13:14Mose alikuwa amewapa yale makabila mawili na nusu urithi wao upande wa mashariki mwa Yordani, lakini Walawi hawakupewa urithi miongoni mwa hao wengine, 414:4 Mwa 41:54; Amu 1:29; Hes 35:2-3; Yos 21:2kwa kuwa wana wa Yosefu walikuwa makabila mawili; Manase na Efraimu. Walawi hawakupata mgawo wa ardhi, bali walipewa miji tu kwa ajili ya kuishi, pamoja na maeneo ya malisho kwa ajili ya makundi yao ya kondoo, mbuzi na ngʼombe wao. 514:5 Hes 34:13; 35:2; Yos 21:2; Eze 45:1-8; 48:8, 22Kwa hiyo Waisraeli wakagawana ile nchi, kama vile Bwana alivyomwagiza Mose.

Kalebu Anapewa Mji Wa Hebroni

614:6 Kum 11:30; Hes 13:6; 14:30; Kum 33:1; Hes 14:38; Yos 15:17; Kum 1:19Kisha watu wa Yuda wakamwendea Yoshua huko Gilgali, naye Kalebu mwana wa Yefune yule Mkenizi, akamwambia, “Unajua jambo ambalo Bwana alimwambia Mose mtu wa Mungu huko Kadesh-Barnea kukuhusu wewe na mimi. 714:7 Yos 15:6; Hes 13:17; 13:30; 14:6-9Nilikuwa na umri wa miaka arobaini, wakati Mose mtumishi wa Bwana, aliponituma kutoka Kadesh-Barnea kuipeleleza hiyo nchi. Nami nikamletea taarifa kama kulingana na nilivyosadiki moyoni. 814:8 Hes 13:31; 14:24; 32:12; Kum 1:36; Ufu 14:4Lakini ndugu zangu tuliopanda nao waliifanya mioyo ya watu iyeyuke kwa hofu. Bali mimi, nilimfuata Bwana Mungu wangu kwa moyo wote. 914:9 Kum 11:24; Hes 14:24; Yos 1:3; Hes 13:22Hivyo katika siku ile, Mose akaniapia, ‘Nchi ambayo umeikanyaga kwa miguu yako itakuwa urithi wako na wa watoto wako milele, kwa sababu umemfuata Bwana Mungu wangu kwa moyo wote.’

1014:10 Hes 11:28; 14:30; Yos 5:6; 13:1; Hes 14:30; Kum 31:2; Za 90:10“Sasa basi, kama vile Bwana alivyoahidi, ameniweka hai kwa miaka arobaini na mitano tangu wakati alipomwambia Mose jambo hili, wakati Waisraeli wakiwa wanazunguka jangwani. Hivyo mimi hapa leo, nina umri wa miaka themanini na mitano! 1114:11 Kum 34:7; Mwa 15:15Bado ninazo nguvu kama siku ile Mose aliponituma. Bado ninazo nguvu za kwenda vitani sasa kama vile nilivyokuwa wakati ule. 1214:12 Hes 14:24-28; 13:33; 1Sam 14:6; 2Nya 14:11, 12; Za 18:32; 44:3; Rum 8:31; Flp 4:13; Yos 15:14; Amu 1:10Basi nipe nchi hii ya vilima, ambayo Bwana aliniahidi siku ile. Wewe mwenyewe ulisikia wakati ule kwamba Waanaki walikuwako huko na miji yao ilikuwa mikubwa na yenye maboma, lakini, kwa msaada wa Bwana, nitawafukuza watoke huko kama vile alivyonena.”

1314:13 Yos 22:6-7; 1Sam 30:14; Mwa 23:19; Yos 10:36; Amu 1:26; 1Nya 6:56Ndipo Yoshua akambariki Kalebu mwana wa Yefune, na akampa Hebroni kama urithi wake. 1414:14 Hes 14:24Hivyo Hebroni imekuwa mali ya Kalebu mwana wa Yefune Mkenizi tangu wakati ule, kwa sababu alimwandama Bwana, Mungu wa Israeli, kwa moyo wote. 1514:15 Mwa 23:2; Yos 15:13; 11:23; Amu 3:11; 1Fal 4:24; 5:4; 1Nya 22:9(Hebroni uliitwa Kiriath-Arba hapo mwanzo, kutokana na huyo Arba ambaye alikuwa mtu mkuu kupita wote miongoni mwa Waanaki.)

Kisha nchi ikawa na amani bila vita.

Bibelen på hverdagsdansk

Josvabogen 14:1-15

Fordelingen af landet vest for Jordanfloden

1Det følgende er de landområder, israelitterne fik i Kana’an. Det var Josva og præsten Eleazar, der sammen med stammernes overhoveder fordelte dem 2ved lodtrækning imellem de resterende ni en halv stammer, sådan som Herren havde befalet Moses. 3-4Området øst for Jordanfloden havde Moses allerede fordelt imellem de to en halv stammer. Josefs efterkommere udgjorde på det tidspunkt to stammer, Manasses stamme og Efraims stamme. Levitterne fik ingen jord, kun nogle byer at bo i og de omliggende græsmarker til deres hornkvæg og småkvæg. 5Fordelingen af landet var således helt i overensstemmelse med de retningslinier, Herren havde givet Moses.

6En delegation fra Judas stamme kom under Kalebs ledelse til Josva i Gilgal.

„Husker du, hvad Herren sagde til Moses om os to, mens vi endnu var i Kadesh-Barnea?” spurgte Kaleb. 7„Jeg var 40 år gammel, dengang Moses sendte os fra Kadesh-Barnea ind i Kana’an for at udspionere landet. Da vi kom tilbage, aflagde jeg rapport til ham efter bedste overbevisning. 8Den rapport, som de andre spioner aflagde, gjorde imidlertid folket bange, så de ikke havde mod til at indtage landet. Men jeg stolede på Herren min Gud af hele mit hjerte. 9Den dag lovede Moses mig: ‚Den del af Kana’ans land, som du har været inde i, skal altid tilhøre dig og dine efterkommere, fordi du har vist Herren fuld lydighed.’ ”

10„Nu er jeg 85 år gammel,” fortsatte Kaleb, „og i de 45 år, der er gået, siden Herren talte til Moses om det her, har Herren bevaret mig gennem alt, inklusive den lange ørkenvandring. 11I dag er jeg lige så stærk som dengang, Moses sendte os ind i landet. Jeg har den samme livskraft og kan stadig håndtere mine våben. 12Derfor vil jeg anmode dig om at overdrage mig det højland, som Herren lovede mig. Du husker nok, at anakitterne bor der i store befæstede byer. Men ved Herrens hjælp skal jeg nok få jaget dem bort, som han lovede.”

13Så velsignede Josva ham, og han gav ham højsletten med Hebron som arvelod. 14Sådan kom Hebron til at tilhøre Kalebs slægt, og det gør den stadig, fordi han viste Herren fuld lydighed. 15Hebron blev tidligere kaldt Kirjat-Arba efter Arba, som var den største af de anakitiske kæmper. Josva førte nu ikke flere krige.