Yoshua 12 – NEN & KLB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yoshua 12:1-24

Orodha Ya Wafalme Walioshindwa

112:1 Za 136:21; Hes 32:19; 21:13; Kum 3:8; Yos 11:2Hawa ndio wafalme wa nchi ambao Waisraeli waliwashinda na kuitwaa nchi yao upande wa mashariki mwa Yordani, kuanzia Bonde la Arnoni mpaka Mlima Hermoni, pamoja na eneo lote la upande wa mashariki ya Araba:

212:2 Yos 12:5; Hes 21:21-25; Yos 13:10; Amu 11:19; Hes 32:34; Yos 13:16; Mwa 19:38; 31:21; 32:22; Hes 32:26; Kum 2:36; 3:15; Yos 13:11, 25; 17:1; 20:8; 21:38; Amu 5:17; 7:3; 10:8Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye alitawala huko Heshboni.

Alitawala kuanzia Aroeri kwenye ukingo wa Bonde la Arnoni, kuanzia katikati ya bonde, hadi kwenye Mto Yaboki, ambao ni mpaka wa Waamoni. Hii ilijumlisha nusu ya Gileadi. 312:3 Yos 11:2; Mwa 14:3; Hes 33:49; Yos 13:20; Hes 21:20Pia alitawala Araba ya mashariki kuanzia Bahari ya Kinerethi12:3 Yaani Bahari ya Galilaya. hadi Bahari ya Araba (yaani Bahari ya Chumvi12:3 Yaani Bahari Mfu.), hadi Beth-Yeshimothi, kisha kuelekea kusini chini ya materemko ya Pisga.

412:4 Hes 21:21; 33; Yos 13:30; Mwa 14:5; Kum 1:4Nayo nchi ya Ogu mfalme wa Bashani, aliyekuwa mmoja wa mabaki ya Warefai, aliyetawala Ashtarothi na Edrei.

512:5 Kum 3:10; Hes 32:33; Yos 17:1; 20:8; 21:27; 22:7; 13:2, 13; 1Sam 27:8; Kum 3:14Naye alitawala katika Mlima Hermoni, Saleka, Bashani yote hadi mpaka wa watu wa Geshuri, na watu wa Maaka na nusu ya Gileadi, hadi kwenye mpaka wa Sihoni mfalme wa Heshboni.

612:6 Kum 3:8; Hes 32:29-33; Yos 13:8Mose, mtumishi wa Bwana, na Waisraeli wakawashinda. Naye Mose mtumishi wa Bwana akawapa Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase nchi ya hao wafalme ili iwe milki yao.

712:7 Yos 11:17Hawa ndio wafalme wa nchi ambao Yoshua na Waisraeli waliwashinda upande wa magharibi mwa Yordani, kuanzia Baal-Gadi katika Bonde la Lebanoni hadi kufikia Mlima Halaki, unaoinuka ukielekea Seiri. (Yoshua alitoa nchi zao kwa makabila ya Israeli iwe urithi wao sawasawa na mgawanyiko wa makabila yao: 812:8 Ezr 9:1; Kum 1:7; Yos 3:10; 11:17nchi ya vilima, shefela, upande wa magharibi, Araba, materemko ya milima, jangwa, na Negebu; nchi za Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi):

912:9 Hes 33:48; Mwa 12:8; Yos 8:1; 7:2; 8:9; 18:13; Amu 1:23; 4:4; 20:18; 21:2; Neh 11:31mfalme wa Yeriko mmojamfalme wa Ai (karibu na Betheli) mmoja1012:10 Yos 10:1mfalme wa Yerusalemu mmojamfalme wa Hebroni mmoja1112:11 Yos 10:3mfalme wa Yarmuthi mmojamfalme wa Lakishi mmoja1212:12 Yos 10:3, 33mfalme wa Egloni mmojamfalme wa Gezeri mmoja13mfalme wa Debiri mmojamfalme wa Gederi mmoja1412:14 Hes 14:45; 21:1mfalme wa Horma mmojamfalme wa Aradi mmoja1512:15 Hes 33:20; Mwa 38:1; Yos 15:35; Mik 1:15mfalme wa Libna mmojamfalme wa Adulamu mmoja1612:16 Yos 10:10; 7:2mfalme wa Makeda mmojamfalme wa Betheli mmoja1712:17 Yos 15:34; 16:8; 17:8; 11:22; 1Fal 4:10mfalme wa Tapua mmojamfalme wa Heferi mmoja1812:18 Yos 13:4; 19:30; Amu 1:31; 1Sam 4:1; 29:1mfalme wa Afeki mmojamfalme wa Lasharoni mmoja1912:19 Yos 11:1mfalme wa Madoni mmojamfalme wa Hazori mmoja2012:20 Yos 11:1mfalme wa Shimron-Meroni mmojamfalme wa Akishafu mmoja2112:21 Yos 17:11; 21:25; Amu 1:27; 5:19; 1Fal 4:12mfalme wa Taanaki mmojamfalme wa Megido mmoja2212:22 Yos 15:23; 19:37; 20:7; 21:32; Amu 4:6-9; Yos 19:11; 21:34; 15:55; 19:26; 1Sam 15:12; 2Sam 23:35mfalme wa Kedeshi mmojamfalme wa Yokneamu katika Karmeli mmoja2312:23 Yos 11:2mfalme wa Dori (katika Nafoth-Dori) 12:23 Au: katika miinuko ya Nafoth-Dori.mmojamfalme wa Goimu katika Gilgali mmoja2412:24 1Fal 14:17; 15:33; 16:8, 23; Wim 6:4; Za 135:11; 136:18mfalme wa Tirsa mmoja

wafalme jumla yao ilikuwa thelathini na mmoja.

Korean Living Bible

여호수아 12:1-24

모세에게 정복당한 왕들

1아르논 계곡에서부터 헤르몬산에 이르는 요단 동쪽의 땅은 이스라엘 백 성이 요단강을 건너기 전에 이미 점령하였고 또 그들은 거기서 두 왕을 죽였으며

2그 중 하나가 헤스본에서 통치하던 아모리 왕 시혼이었다. 그의 영토는 아르논 계곡 변두리의 아로엘과 그 계곡 중앙에 있는 성에서부터 암몬의 경계선인 얍복강까지의 지역, 곧 길르앗 땅 절반과

3그리고 동쪽으로 아라바, 갈릴리 바다, 염해, 벧 – 여시못 일대와 남쪽으로 비스가산 기슭 일대의 땅이었다.

4그리고 다른 한 왕은 바산 왕 옥이었다. 그는 르바족 최후의 생존자로 아스다롯과 에드레이에서 통치하였다.

5그가 다스리던 영토는 헤르몬산에서부터 살르가와 바산의 전 지역과 그술과 마아가 사람의 경계선까지, 그리고 헤스본 왕 시혼의 영토와 접해 있는 길르앗 절반의 땅이었다.

6이스라엘군이 이들 두 왕과 그 백성을 죽이고 그 지역 일대를 점령하였을 때 여호와의 종 모세는 그 땅을 르우벤 지파와 갓 지파와 므낫세 지파 절반에게 주었다.

여호수아에게 정복당한 왕들

7여호수아와 이스라엘 백성이 레바논 계곡의 바알 – 갓에서부터 세일로 올라가는 할락산까지 요단 서쪽의 모든 왕들을 쳐죽인 다음에 여호수아는 이 땅을 이스라엘 각 지파에게 나누어 주었다.

8그들이 분배받은 땅은 산간 지대와 저지대와 아라바와 경사지와 광야와 남쪽 네겝 지방이었다. 그리고 이 지역 일대에 살던 부족들은 헷족, 아모리족, 가나안족, 브리스족, 히위족, 여부스족이었다.

9또 이 지역에서 이스라엘 백성에게 죽음을 당한 왕들은 여리고 왕, 벧엘 근처의 아이 왕,

10예루살렘 왕, 헤브론 왕, 야르뭇 왕,

11라기스 왕,

12에글론 왕, 게셀 왕,

13드빌 왕, 게델 왕,

14호르마 왕, 아랏 왕,

15립나 왕, 아둘람 왕,

16막게다 왕, 벧엘 왕,

17답부아 왕, 헤벨 왕,

18아벡 왕, 랏사론 왕,

19마돈 왕, 하솔 왕,

20시므론 – 므론 왕, 악삽 왕,

21다아낙 왕, 므깃도 왕,

22게데스 왕, 갈멜의 욕느암 왕,

23나봇 – 돌의 돌 왕, 길갈의 고임 왕,

24그리고 디르사 왕인데 이들은 모두 31명이었다.