Yohana 17 – NEN & CRO

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yohana 17:1-26

Yesu Ajiombea Mwenyewe

117:1 Yn 11:41; 12:23; 13:31, 32Baada ya Yesu kusema haya, alitazama kuelekea mbinguni akawaombea na kusema:

“Baba, saa imewadia. Umtukuze Mwanao, ili Mwanao apate kukutukuza wewe. 217:2 Dan 7:14; Yn 6:37, 39Kwa kuwa umempa mamlaka juu ya wote wenye mwili ili awape uzima wa milele wale uliompa. 317:3 Flp 3:8; Yn 17:8, 18, 21, 23, 25; 3:17Nao uzima wa milele ndio huu, wakujue wewe uliye Mungu wa pekee, wa kweli na Yesu Kristo uliyemtuma. 417:4 Yn 13:31; 19:30Nimekutukuza wewe duniani kwa kuitimiza ile kazi uliyonipa niifanye. 517:5 Flp 2:6; Yn 1:2Hivyo sasa, Baba, unitukuze mbele zako kwa ule utukufu niliokuwa nao pamoja na wewe kabla ulimwengu haujakuwepo.

Yesu Awaombea Wanafunzi Wake

617:6 Yn 17:26; 1:18“Nimelidhihirisha jina lako kwa wale ulionipa kutoka ulimwengu. Walikuwa wako, nawe ukanipa mimi, nao wamelitii neno lako. 7Sasa wamejua ya kuwa vyote ulivyonipa vimetoka kwako, 817:8 Yn 8:26; 1:18kwa kuwa maneno yale ulionipa nimewapa wao, nao wameyapokea na kujua kwamba kweli nimetoka kwako, nao wameamini kuwa wewe ulinituma. 917:9 Lk 22:32Ninawaombea wao. Mimi siuombei ulimwengu, bali nawaombea wale ulionipa kwa sababu wao ni wako. 1017:10 Yn 16:15Wote walio wangu ni wako na walio wako ni wangu, nami nimetukuzwa ndani yao. 1117:11 Yn 13:1; 17:13; 7:33; 17:21-23; Za 133:1; Yn 10:30Mimi sasa simo tena ulimwenguni, lakini wao bado wamo ulimwenguni, nami naja kwako. Baba Mtakatifu, uwalinde kwa uweza wa jina lako ulilonipa, ili wawe na umoja kama sisi tulivyo wamoja. 1217:12 Yn 6:39; 6:70Nilipokuwa pamoja nao, niliwalinda, wakawa salama kwa lile jina ulilonipa. Hakuna hata mmoja aliyepotea, isipokuwa yule aliyekusudiwa upotevu, ili Maandiko yapate kutimia.

1317:13 Yn 3:29“Lakini sasa naja kwako, nami ninasema mambo haya wakati bado nikiwa ulimwenguni, ili wawe na furaha yangu kamili ndani yao. 1417:14 Yn 15:19; 8:23; 1Yn 3:13; Yn 17:16Nimewapa neno lako, nao ulimwengu umewachukia kwa kuwa wao si wa ulimwengu kama mimi nisivyo wa ulimwengu huu. 1517:15 Mt 5:37Siombi kwamba uwaondoe ulimwenguni, bali uwalinde dhidi ya yule mwovu. 1617:16 Yn 17:14Wao si wa ulimwengu huu, kama vile mimi nisivyo wa ulimwengu. 1717:17 2Sam 7:28; Yn 15:3; 1Fal 17:24Uwatakase kwa ile kweli, neno lako ndilo kweli. 1817:18 Yn 17:3, 8, 21, 23, 25; 20:21Kama vile ulivyonituma mimi ulimwenguni, nami nawatuma vivyo hivyo. 1917:19 Yn 17:17; 1Kor 1:2, 30; 1The 4:7; Ebr 10:10Kwa ajili yao najiweka wakfu ili wao nao wapate kutakaswa katika ile kweli.

Yesu Awaombea Wote Wamwaminio

2017:20 Yn 17:9“Siwaombei hawa peke yao, bali nawaombea na wale wote watakaoniamini kupitia neno lao 2117:21 Gal 3:28; Rum 12:5; Yn 10:38; 14:11ili wawe na umoja kama vile wewe Baba ulivyo ndani yangu na mimi nilivyo ndani yako, wao nao wawe ndani yetu, ili ulimwengu upate kuamini ya kuwa wewe ndiye uliyenituma mimi. 2217:22 Yn 14:20; 1Yn 1:2; 3:24Utukufu ule ulionipa nimewapa wao, ili wawe na umoja kama sisi tulivyo wamoja. 2317:23 Yn 3:17; 16:27; Kol 3:14Mimi ndani yako na wewe ndani yangu, ili wawe wamekamilika katika umoja na ulimwengu upate kujua ya kuwa umenituma, nami nimewapenda wao kama unavyonipenda mimi.

2417:24 Yn 12:26; 1:14; Mt 25:34; Yn 1:2“Baba, shauku yangu ni kwamba, wale ulionipa wawe pamoja nami pale nilipo, ili waweze kuuona utukufu wangu, yaani, utukufu ule ulionipa kwa kuwa ulinipenda hata kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu.

2517:25 Yn 15:21; 16:3; 3:17; 7:29“Baba Mwenye Haki, ingawa ulimwengu haukujui, mimi ninakujua, nao wanajua ya kuwa umenituma. 26Nimefanya jina lako lijulikane kwao nami nitaendelea kufanya lijulikane, ili kwamba upendo ule unaonipenda mimi uwe ndani yao na mimi mwenyewe nipate kuwa ndani yao.”

Knijga O Kristu

Ivan 17:1-26

Isusova molitva

1Pošto je Isus sve to rekao, pogleda prema nebu i nastavi:

“Oče, došao je čas! Proslavi svojeg Sina da on može proslaviti tebe. 2Jer ti si mu dao vlast nad svim ljudima na zemlji. On daje vječni život svakomu koga si mu ti dao. 3A vječni život jest spoznati tebe, jedinoga, istinitoga Boga, i Isusa Krista, koga si ti poslao. 4Pronio sam tvoju slavu ovdje na zemlji čineći sve što si mi rekao da učinim. 5A sada ti mene, Oče, proslavi slavom koju sam dijelio s tobom prije postanka svijeta.

Molitva za učenice

6Ovim sam ljudima rekao sve o tebi. Bili su u svijetu, ali ti si mi ih dao. Zapravo su oduvijek i bili tvoji, ali dao si ih meni i poslušali su tvoje riječi. 7Sad su spoznali da je sve što imam od tebe 8jer sam im prenio riječi koje si mi dao. Prihvatili su ih, pa tako sigurno znaju da sam izišao od tebe i vjeruju da si me ti poslao.

9Moja molitva nije za svijet, već za one koje si mi dao jer tebi pripadaju. 10Svi oni koji su moji pripadaju tebi, i svi koji su tvoji pripadaju meni. U njima sam se proslavio. 11Sad odlazim s ovog svijeta, ostavljam ih i idem tebi. Sveti Oče, brini se za njih i dalje, očuvaj sve one koje si mi dao u svojem imenu da budu sjedinjeni baš kao i mi. 12Dok sam bio s njima, očuvao sam u tvojem imenu sve one koje si mi dao. Čuvao sam ih da nijedan osim sina pogibli ne propadne da se obistini proročanstvo iz Svetoga pisma.

13A sada idem tebi. Ovo govorim dok sam u svijetu kako bi oni u sebi imali moju radost u svoj punini. 14Dao sam im tvoju riječ, a svijet ih je zamrzio jer ne pripadaju svijetu, baš kao ni ja. 15Ne molim te da ih uzmeš sa svijeta, već da ih očuvaš od zla. 16Nisu više od ovoga svijeta, kao što ni ja nisam od svijeta. 17Posveti ih istinom; tvoje su riječi istina. 18Kao što si mene poslao u svijet, tako i ja njih šaljem. 19I ja se posvećujem za njih da i oni budu posvećeni istinom.

Molitva za sve vjernice

20Ne molim te samo za ove nego i za sve koji će povjerovati u mene zbog njihova svjedočanstva. 21Moja je molitva za sve njih da budu jedno, baš kao što smo ti i ja, Oče, ti u meni i ja u tebi, neka tako i oni budu jedno u nama da svijet povjeruje da si me ti poslao. 22Ja sam im dao slavu koju si mi ti dao; da budu jedno kao što smo i mi— 23ja u njima, a ti u meni, da budu savršeno jedno. Tako će svijet spoznati da si me ti poslao i shvatiti da ih voliš kao što voliš mene.

24Oče, želim da budu sa mnom—svi koje si mi dao—neka gledaju moju slavu koju si mi dao jer si me volio još prije postanka svijeta!

25Pravedni Oče, svijet te ne poznaje, ali ja te poznajem. I ovi su učenici spoznali da si me ti poslao. 26Njima sam otkrio tebe i dalje ću te objavljivati da žarka ljubav kojom mene voliš bude u njima i da ja budem u njima!”