Mataifa Yahukumiwa
13:1 Kum 30:3; Yer 16:15; 40:5; Eze 3:20; 38:8“Katika siku hizo na wakati huo,
nitakaporejesha neema ya Yuda na Yerusalemu,
23:2 Zek 14:2; Isa 13:9; 2Nya 20:26; Isa 66:16; Yer 2:35; Sef 3:8; Mwa 11:4; Law 26:33nitayakusanya mataifa yote na kuyaleta
katika Bonde la Yehoshafati3:2 Yehoshafati maana yake Bwana huhukumu.
Hapo nitaingia kwenye hukumu dhidi yao
kuhusu urithi wangu, watu wangu Israeli,
kwa kuwa waliwatawanya watu wangu
miongoni mwa mataifa
na kuigawa nchi yangu.
33:3 Oba 1:11; Amo 2:6; Ay 6:27; Eze 24:6Wanawapigia kura watu wangu
na kuwauza wavulana ili kupata makahaba;
waliwauza wasichana
ili wapate kunywa mvinyo.
43:4 Mwa 10:15; Mt 11:21; Yak 2:13; Lk 18:7; Amo 1:6-9; Isa 14:29-31; 34:8; Za 87:4; Eze 25:15-17“Sasa una nini dhidi yangu, ee Tiro na Sidoni, nanyi nchi zote za Ufilisti? Je, mnanilipiza kwa yale niliyoyafanya? Kama mnalipa, mimi nitalipiza juu ya vichwa vyenu kwa kasi na kwa haraka yale mliyoyatenda. 53:5 1Fal 15:18; 2Nya 21:16-17Kwa kuwa mlichukua fedha na dhahabu yangu pia mkabeba hazina zangu nzuri sana mkapeleka kwenye mahekalu yenu. 63:6 Eze 27:13; Zek 9:13Mliwauza watu wa Yuda na Yerusalemu kwa Wayunani, ili kwamba mpate kuwapeleka mbali na nchi yao.
73:7 Isa 43:5-6; 66:6; Yer 23:8“Tazama nitawaamsha kutoka zile sehemu mlizowauza, nami nitawalipiza juu ya vichwa vyenu kile mlichofanya. 83:8 Eze 23:42; Isa 14:2; 60:14; Mwa 10:7; Yer 30:16; 2Nya 9:1Nitawauza wana wenu na binti zenu kwa watu wa Yuda, nao watawauza kwa Waseba, taifa lililo mbali.” Bwana amesema.
93:9 Isa 8:9; Yer 46:4Tangazeni hili miongoni mwa mataifa:
Jiandaeni kwa vita!
Amsha askari!
Wanaume wote wapiganaji
wasogee karibu na kushambulia.
103:10 Zek 12:8; Isa 2:4; Mik 4:3; Hes 25:7Majembe yenu yafueni yawe panga
na miundu yenu ya kukatia iwe mikuki.
Aliye dhaifu na aseme,
“Mimi nina nguvu!”
113:11 Eze 38:15-16; Sef 3:8; Isa 13:3Njooni haraka, ninyi mataifa yote kutoka pande zote,
kusanyikeni huko.
Shusha wapiganaji wako, Ee Bwana!
123:12 Za 96:13; 82:1; 2Nya 20:26; Isa 2:4“Mataifa na yaamshwe;
na yasonge mbele kuelekea Bonde la Yehoshafati,
kwa kuwa nitaketi mahali pale
kuhukumu mataifa yote yaliyoko kila upande.
133:13 Isa 17:5; Ufu 14:15-20; Amu 6:11; Mt 13:39; Mk 4:29; Yer 51:33; Hos 6:11Tia mundu,
kwa kuwa mavuno yamekomaa.
Njooni, mkanyage zabibu,
kwa kuwa shinikizo la kukamua zabibu limejaa
na mapipa yanafurika:
kwa kuwa uovu wao ni mkubwa!”
143:14 Isa 2:4; 13:4; 34:2-8; Sef 1:7; Yoe 1:15; Eze 36:5Umati mkubwa, umati mkubwa
katika bonde la uamuzi!
Kwa kuwa siku ya Bwana ni karibu
katika bonde la uamuzi.
15Jua na mwezi vitatiwa giza,
na nyota hazitatoa mwanga wake tena.
163:16 Amu 5:4; Isa 14:16; 25:4; 42:13; 2Sam 22:3; Zek 9:12; Eze 38:19Bwana atanguruma kutoka Sayuni
na mshindo wa ngurumo kutoka Yerusalemu;
dunia na mbingu vitatikisika.
Lakini Bwana atakuwa kimbilio la watu wake,
ngome imara kwa ajili ya watu wa Israeli.
Baraka Kwa Watu Wa Mungu
173:17 Yoe 2:27; Za 74:2; Isa 4:3; 35:8; Ufu 21:27; Nah 1:15; Kut 6:7; Yer 31:40; Eze 44:9“Ndipo mtakapojua kwamba Mimi, Bwana Mungu wenu,
nakaa Sayuni, mlima wangu mtakatifu.
Yerusalemu utakuwa mtakatifu;
kamwe wageni hawatavamia tena.
183:18 Kut 3:8; Eze 47:1; Zek 13:1; Wim 5:1; Isa 25:6; 30:25; 35:6; 44:3; Ufu 22:1-2; Hes 25:1; Yoe 2:24“Katika siku hiyo milima itadondosha divai mpya,
na vilima vitatiririka maziwa;
mabonde yote ya Yuda yatatiririka maji.
Chemchemi itatiririka kutoka kwenye nyumba ya Bwana
na kunywesha Bonde la Shitimu.3:18 Au: Bonde la Migunga.
193:19 Yer 51:35; Oba 1:10; Isa 11:14; 34:11Lakini Misri itakuwa ukiwa,
Edomu itakuwa jangwa tupu,
kwa sababu ya jeuri waliofanya kwa watu wa Yuda,
ambao katika nchi yao
walimwaga damu isiyo na hatia.
203:20 Ezr 9:12; Amo 9:15Yuda itakaliwa na watu milele
na Yerusalemu itadumu vizazi vyote.
213:21 Eze 36:25; 48:35; Isa 1:15; 59:20; Za 74:2; Zek 8:3Hatia yao ya damu, ambayo sijasamehe,
nitasamehe.”
Bwana anakaa Sayuni!
داوری بر قومهای بيگانه
1خداوند میفرمايد: «در آن زمان وقتی رفاه و سعادت را به يهودا و اورشليم بازگردانم، 2سپاهيان جهان را در ”درهٔ داوری“ جمع خواهم كرد و در آنجا ايشان را به خاطر ميراث خود، اسرائيل محاكمه خواهم نمود، چون قوم مرا در ميان قومها پراكنده ساخته، سرزمين مرا تقسيم كردند. 3آنها بر سر افراد قوم من قمار كردند و پسران و دختران نوجوان را در ازای فاحشهها و شراب فروختند. 4ای صور و صيدون، و ای شهرهای فلسطين چه میخواهيد بكنيد؟ آيا میخواهيد از من انتقام بگيريد؟ اگر چنين كنيد من بلافاصله شما را مجازات خواهم كرد. 5طلا و نقره و تمام گنجينههای گرانبهای مرا گرفته و آنها را به بتخانههای خود بردهايد. 6مردم يهودا و اورشليم را به يونانيان فروختهايد و ايشان را از سرزمينشان آواره كردهايد؛ 7ولی من دوباره آنها را از نقاطی كه به آن فروخته شدهاند باز میگردانم و همهٔ كارهای شما را تلافی میكنم. 8من پسران و دختران شما را به مردم يهودا خواهم فروخت و ايشان هم آنها را به سبائيان كه در نقاط دوردستی ساكنند خواهند فروخت. من كه خداوند هستم اين را میگويم.
9«برای جنگ آماده شويد و به همه خبر دهيد! بهترين سربازان خود را بسيج كنيد و تمام سپاهيان خود را فرا خوانيد. 10گاوآهنهای خود را ذوب نموده، شمشير بسازيد و از ارههای خود نيزه تهيه كنيد. مردان ضعيف نيز خود را برای جنگ آماده كنند. 11ای همهٔ قومها، بشتابيد و از هر طرف جمع شويد.»
اكنون ای خداوند، جنگاوران خود را فرود آر!
12خداوند میفرمايد: «قومها جمع شوند و به ”درهٔ داوری“ بيايند، چون من در آنجا نشسته، همه را داوری خواهم كرد. 13داسها را آماده كنيد، زيرا محصول رسيده و آماده است. انگورهای داخل چرخشت را با پا له كنيد، چون از شرارت اين مردم لبريز شده است.»
14مردم دستهدسته در «درهٔ داوری» جمع میشوند، زيرا در آنجا روز خداوند بزودی فرا خواهد رسيد. 15آفتاب و ماه تاريک میشوند و ستارهها ديگر نمیدرخشند.
بركت خداوند بر اسرائيل
16خداوند از اورشليم فرياد برمیآورد. آسمان و زمين میلرزند؛ اما خداوند همچنان پناهگاه و قلعهٔ قوم خود اسرائيل خواهد بود. 17«آنگاه خواهيد دانست كه من در كوه مقدس خود صهيون، خداوند، خدای شما هستم. اورشليم برای هميشه از آن من خواهد بود و زمانی میرسد كه ديگر هيچ سپاه بيگانهای از آن گذر نخواهد كرد.
18«از كوهها شراب تازه خواهد چكيد و از بلنديها شير جاری خواهد شد. نهرهای خشک يهودا از آب پر خواهند شد و از خانهٔ خداوند چشمهای خواهد جوشيد تا درهٔ شطيم را سيراب سازد. 19مصر و ادوم هر دو به سبب ظلمی كه به سرزمين يهودا كردند از بين خواهند رفت، زيرا مردم بیگناه آنجا را كشتند.
20«ولی يهودا و اورشليم تا به ابد پايدار خواهند ماند. 21من انتقام خون قوم خود را خواهم گرفت و از تقصير كسانی كه بر آنها ظلم كردند، نخواهم گذشت. من در اورشليم با قوم خود ساكن خواهم شد.»