Yoeli 3 – NEN & NVI

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yoeli 3:1-21

Mataifa Yahukumiwa

13:1 Kum 30:3; Yer 16:15; 40:5; Eze 3:20; 38:8“Katika siku hizo na wakati huo,

nitakaporejesha neema ya Yuda na Yerusalemu,

23:2 Zek 14:2; Isa 13:9; 2Nya 20:26; Isa 66:16; Yer 2:35; Sef 3:8; Mwa 11:4; Law 26:33nitayakusanya mataifa yote na kuyaleta

katika Bonde la Yehoshafati3:2 Yehoshafati maana yake Bwana huhukumu.

Hapo nitaingia kwenye hukumu dhidi yao

kuhusu urithi wangu, watu wangu Israeli,

kwa kuwa waliwatawanya watu wangu

miongoni mwa mataifa

na kuigawa nchi yangu.

33:3 Oba 1:11; Amo 2:6; Ay 6:27; Eze 24:6Wanawapigia kura watu wangu

na kuwauza wavulana ili kupata makahaba;

waliwauza wasichana

ili wapate kunywa mvinyo.

43:4 Mwa 10:15; Mt 11:21; Yak 2:13; Lk 18:7; Amo 1:6-9; Isa 14:29-31; 34:8; Za 87:4; Eze 25:15-17“Sasa una nini dhidi yangu, ee Tiro na Sidoni, nanyi nchi zote za Ufilisti? Je, mnanilipiza kwa yale niliyoyafanya? Kama mnalipa, mimi nitalipiza juu ya vichwa vyenu kwa kasi na kwa haraka yale mliyoyatenda. 53:5 1Fal 15:18; 2Nya 21:16-17Kwa kuwa mlichukua fedha na dhahabu yangu pia mkabeba hazina zangu nzuri sana mkapeleka kwenye mahekalu yenu. 63:6 Eze 27:13; Zek 9:13Mliwauza watu wa Yuda na Yerusalemu kwa Wayunani, ili kwamba mpate kuwapeleka mbali na nchi yao.

73:7 Isa 43:5-6; 66:6; Yer 23:8“Tazama nitawaamsha kutoka zile sehemu mlizowauza, nami nitawalipiza juu ya vichwa vyenu kile mlichofanya. 83:8 Eze 23:42; Isa 14:2; 60:14; Mwa 10:7; Yer 30:16; 2Nya 9:1Nitawauza wana wenu na binti zenu kwa watu wa Yuda, nao watawauza kwa Waseba, taifa lililo mbali.” Bwana amesema.

93:9 Isa 8:9; Yer 46:4Tangazeni hili miongoni mwa mataifa:

Jiandaeni kwa vita!

Amsha askari!

Wanaume wote wapiganaji

wasogee karibu na kushambulia.

103:10 Zek 12:8; Isa 2:4; Mik 4:3; Hes 25:7Majembe yenu yafueni yawe panga

na miundu yenu ya kukatia iwe mikuki.

Aliye dhaifu na aseme,

“Mimi nina nguvu!”

113:11 Eze 38:15-16; Sef 3:8; Isa 13:3Njooni haraka, ninyi mataifa yote kutoka pande zote,

kusanyikeni huko.

Shusha wapiganaji wako, Ee Bwana!

123:12 Za 96:13; 82:1; 2Nya 20:26; Isa 2:4“Mataifa na yaamshwe;

na yasonge mbele kuelekea Bonde la Yehoshafati,

kwa kuwa nitaketi mahali pale

kuhukumu mataifa yote yaliyoko kila upande.

133:13 Isa 17:5; Ufu 14:15-20; Amu 6:11; Mt 13:39; Mk 4:29; Yer 51:33; Hos 6:11Tia mundu,

kwa kuwa mavuno yamekomaa.

Njooni, mkanyage zabibu,

kwa kuwa shinikizo la kukamua zabibu limejaa

na mapipa yanafurika:

kwa kuwa uovu wao ni mkubwa!”

143:14 Isa 2:4; 13:4; 34:2-8; Sef 1:7; Yoe 1:15; Eze 36:5Umati mkubwa, umati mkubwa

katika bonde la uamuzi!

Kwa kuwa siku ya Bwana ni karibu

katika bonde la uamuzi.

15Jua na mwezi vitatiwa giza,

na nyota hazitatoa mwanga wake tena.

163:16 Amu 5:4; Isa 14:16; 25:4; 42:13; 2Sam 22:3; Zek 9:12; Eze 38:19Bwana atanguruma kutoka Sayuni

na mshindo wa ngurumo kutoka Yerusalemu;

dunia na mbingu vitatikisika.

Lakini Bwana atakuwa kimbilio la watu wake,

ngome imara kwa ajili ya watu wa Israeli.

Baraka Kwa Watu Wa Mungu

173:17 Yoe 2:27; Za 74:2; Isa 4:3; 35:8; Ufu 21:27; Nah 1:15; Kut 6:7; Yer 31:40; Eze 44:9“Ndipo mtakapojua kwamba Mimi, Bwana Mungu wenu,

nakaa Sayuni, mlima wangu mtakatifu.

Yerusalemu utakuwa mtakatifu;

kamwe wageni hawatavamia tena.

183:18 Kut 3:8; Eze 47:1; Zek 13:1; Wim 5:1; Isa 25:6; 30:25; 35:6; 44:3; Ufu 22:1-2; Hes 25:1; Yoe 2:24“Katika siku hiyo milima itadondosha divai mpya,

na vilima vitatiririka maziwa;

mabonde yote ya Yuda yatatiririka maji.

Chemchemi itatiririka kutoka kwenye nyumba ya Bwana

na kunywesha Bonde la Shitimu.3:18 Au: Bonde la Migunga.

193:19 Yer 51:35; Oba 1:10; Isa 11:14; 34:11Lakini Misri itakuwa ukiwa,

Edomu itakuwa jangwa tupu,

kwa sababu ya jeuri waliofanya kwa watu wa Yuda,

ambao katika nchi yao

walimwaga damu isiyo na hatia.

203:20 Ezr 9:12; Amo 9:15Yuda itakaliwa na watu milele

na Yerusalemu itadumu vizazi vyote.

213:21 Eze 36:25; 48:35; Isa 1:15; 59:20; Za 74:2; Zek 8:3Hatia yao ya damu, ambayo sijasamehe,

nitasamehe.”

Bwana anakaa Sayuni!

Nueva Versión Internacional

Joel 3:1-21

El juicio de las naciones

1»En aquellos días, en el tiempo señalado,

cuando restaure yo la fortuna de Judá y de Jerusalén,

2reuniré a todas las naciones

y las haré bajar al valle de Josafat.3:2 En hebreo, Josafat significa el Señor juzga; también en v. 12.

Allí entraré en juicio contra los pueblos

por lo que hicieron a Israel, pueblo de mi propiedad,

pues lo dispersaron entre las naciones

y se repartieron mi tierra.

3Se repartieron a mi pueblo echando suertes,

cambiaron a niños por prostitutas

y, para emborracharse,

vendieron niñas por vino.

4»Ahora bien, ¿qué tienen en contra mía Tiro y Sidón y todas las regiones de Filistea? ¿Quieren acaso vengarse de mí? Si es así, yo haré que muy pronto recaiga sobre ustedes su propia venganza, 5pues se robaron mi plata y mi oro, y se llevaron a sus templos mis valiosos tesoros. 6A los griegos les vendieron a los habitantes de Jerusalén y de Judá, para alejarlos de su tierra.

7»Sepan, pues, que voy a sacarlos de los lugares donde fueron vendidos y devolveré sobre sus propias cabezas lo que han hecho. 8Venderé a sus hijos e hijas al pueblo de Judá; y ellos a su vez los venderán a los sabeos, una nación lejana». El Señor lo ha dicho.

9Proclamen esto entre las naciones:

¡Prepárense3:9 Prepárense. Lit. Conságrense. para la batalla!

¡Movilicen a los soldados!

¡Alístense para el combate todos los hombres de guerra!

10Forjen espadas con los azadones

y hagan lanzas con las hoces.

Diga el débil:

«¡Soy fuerte!».

11Dense prisa, naciones vecinas,

reúnanse en ese lugar.

¡Haz bajar, Señor, a tus guerreros!

12«Que se movilicen las naciones

y acudan al valle de Josafat,

pues allí me sentaré

para juzgar a todos los pueblos vecinos.

13Echen mano a la hoz,

que la mies está madura.

Vengan a pisar las uvas,

que está lleno el lagar.

Sus lagares se desbordan:

¡tan grande es su maldad!».

14¡Multitud tras multitud

en el valle de la decisión!

¡Cercano está el día del Señor

en el valle de la decisión!

15Se oscurecerán el sol y la luna;

dejarán de brillar las estrellas.

16Rugirá el Señor desde Sión,

hará tronar su voz desde Jerusalén

y el cielo y la tierra temblarán.

Pero el Señor será un refugio para su pueblo,

una fortaleza para los israelitas.

Bendiciones para el pueblo de Dios

17«Entonces ustedes sabrán que yo, el Señor su Dios,

habito en Sión, mi monte santo.

Santa será Jerusalén,

y nunca más la invadirán los extranjeros.

18»En aquel día las montañas destilarán vino nuevo

y de las colinas fluirá leche;

correrá el agua por los canales de los ríos de Judá.

De la casa del Señor brotará una fuente

que irrigará el valle de las acacias.

19Pero Egipto quedará desolado

y Edom, convertido en desierto,

por la violencia cometida contra el pueblo de Judá,

en cuya tierra derramaron sangre inocente.

20Judá y Jerusalén serán habitadas para siempre,

por todas las generaciones.

21¿Perdonaré la sangre que derramaron?

¡Claro que no la perdonaré!».

¡El Señor habita en Sión!