Yeremia 9 – NEN & NRT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yeremia 9:1-26

19:1 Mao 3:48; Isa 22:4; Za 119:136; Yer 13:17; 14:17; Mao 2:11Laiti kichwa changu kingekuwa chemchemi ya maji

na macho yangu yangekuwa kisima cha machozi!

Ningelia usiku na mchana

kwa kuuawa kwa watu wangu.

29:2 Hes 25:1; Hos 4:2; Za 55:7; Yer 23:10; Hos 7:4; 1Fal 19:10; Isa 24:16Laiti ningekuwa na nyumba

ya kukaa wasafiri jangwani,

ningewaacha watu wangu

na kwenda mbali nao,

kwa kuwa wote ni wazinzi,

kundi la watu wadanganyifu.

39:3 Kut 20:16; Mik 6:12; Amu 2:10; 1Sam 2:12; Za 64:3; Isa 44; 20; Yer 18:18“Huweka tayari ndimi zao kama upinde,

ili kurusha uongo;

wamekuwa na nguvu katika nchi

lakini si katika ukweli.

Wanatoka dhambi moja hadi nyingine,

hawanitambui mimi,”

asema Bwana.

49:4 Mik 7:5-6; Mwa 27:35; 2Sam 15:12; Kut 20:16; Law 19:16“Jihadhari na rafiki zako;

usiwaamini ndugu zako.

Kwa kuwa kila ndugu ni mdanganyifu,

na kila rafiki ni msingiziaji.

59:5 Za 15:2; Law 6:2; Isa 59:15Rafiki humdanganya rafiki,

hakuna yeyote asemaye kweli.

Wamefundisha ndimi zao kudanganya,

wanajichosha wenyewe katika kutenda dhambi.

69:6 Yer 5:27; Mit 1:24Unakaa katikati ya udanganyifu;

katika udanganyifu wao wanakataa kunitambua mimi,”

asema Bwana.

79:7 Ay 28:1; Isa 1:28; Hos 11:8; Yer 6:27Kwa hiyo hili ndilo asemalo Bwana Mwenye Nguvu Zote:

“Tazama, nitawasafisha na kuwajaribu,

kwani ni nini kingine niwezacho kufanya

kwa sababu ya dhambi ya watu wangu?

89:8 Za 35:20; Yer 5:26; Isa 3:5Ndimi zao ni mshale wenye sumu,

hunena kwa udanganyifu.

Kwa kinywa chake kila mmoja huzungumza maneno mazuri na jirani yake,

lakini moyoni mwake humtegea mtego.

99:9 Kum 32:43; Isa 10:3Je, nisiwaadhibu kwa ajili ya jambo hili?”

asema Bwana.

“Je, nisijilipizie kisasi

kwa taifa kama hili?”

109:10 Hos 4:3; Yoe 1:18; Yer 31:35; 32:18; 23:10; 4:25; 12:4Nitalia na kuomboleza kwa ajili ya milima

na kuomboleza kuhusu malisho ya jangwani.

Yamekuwa ukiwa, wala hakuna apitaye humo,

milio ya ngʼombe haisikiki.

Ndege wa angani wametoroka

na wanyama wamekimbia.

119:11 Ay 30:29; Isa 34:13; Law 26:31; Mao 1:4; Yer 26:18; Isa 25:2“Nitaifanya Yerusalemu lundo la magofu,

makao ya mbweha;

nami nitaifanya miji ya Yuda kuwa ukiwa

ili asiwepo atakayeishi humo.”

129:12 Za 107:43; Hos 14:9Ni mtu yupi aliye na hekima ya kutosha ayaelewe haya? Ni nani aliyefundishwa na Bwana awezaye kuyaeleza haya? Kwa nini nchi imeharibiwa na kufanywa ukiwa kama jangwa ambapo hakuna awezaye kupita?

139:13 2Nya 7:19; Za 89:30-32Bwana akasema, “Ni kwa sababu wameiacha sheria yangu, niliyoiweka mbele yao: hawajaniheshimu mimi wala kufuata sheria yangu. 149:14 Amo 2:4; Yer 3:17; 7:24; 2:8Badala yake wamefuata ukaidi wa mioyo yao, wamefuata Mabaali, kama vile baba zao walivyowafundisha.” 159:15 Mao 3:15; Yer 8:14; Za 80:5Kwa hiyo, hivi ndivyo asemavyo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli: “Tazama, nitawafanya watu hawa wale chakula kichungu na kunywa maji yenye sumu. 169:16 Law 26:33; Kum 28:64; 4:32; Eze 5:12; Yer 44:27; 8:19Nitawatawanya katika mataifa ambayo wao wala baba zao hawakuwajua, nikiwafuata kwa upanga mpaka niwe nimewaangamiza kabisa.”

179:17 2Nya 35:25; Amo 5:15-16; Mhu 12:5Hivi ndivyo asemavyo Bwana Mwenye Nguvu Zote:

“Fikiri sasa! Waite wanawake waombolezao waje,

waite wale walio na ustadi kuliko wote.

189:18 Za 119:136; Mao 3:48; Yer 14:17Nao waje upesi

na kutuombolezea,

mpaka macho yetu yafurike machozi

na vijito vya maji vitoke kwenye kope zetu.

199:19 Law 18:29; Yer 4:13Sauti ya kuomboleza imesikika kutoka Sayuni:

‘Tazama jinsi tulivyoangamizwa!

Tazama jinsi aibu yetu ilivyo kubwa!

Ni lazima tuihame nchi yetu

kwa sababu nyumba zetu zimekuwa magofu.’ ”

209:20 Isa 32:9-13; Yer 23:16Basi, enyi wanawake, sikieni neno la Bwana;

fungueni masikio yenu msikie maneno ya kinywa chake.

Wafundisheni binti zenu kuomboleza;

fundishaneni kila mmoja na mwenzake maombolezo.

219:21 2Nya 36:17; Isa 40:30; Yoe 2:9; Yer 16:6Mauti imeingia ndani kupitia madirishani,

imeingia kwenye majumba yetu ya fahari;

imewakatilia mbali watoto katika barabara

na vijana waume kutoka viwanja vya miji.

229:22 2Fal 9:37; Yer 8:2Sema, “Hili ndilo asemalo Bwana:

“ ‘Maiti za wanaume zitalala

kama mavi katika mashamba,

kama malundo ya nafaka nyuma ya mvunaji,

wala hakuna anayekusanya.’ ”

239:23 Ay 4:12; Isa 5:21; Mhu 9:11; Za 62:10; 1Fal 20:11; Mit 11:28; Eze 28:4-5; Yer 48:7Hili ndilo asemalo Bwana:

“Mwenye hekima asijisifu katika hekima yake,

au mwenye nguvu ajisifu katika nguvu zake,

wala tajiri ajisifu katika utajiri wake,

249:24 Gal 6:14; 2Kor 10:17; Za 34:2; Mik 6:8; Za 36:6; 1Kor 1:31lakini yeye ajisifuye, na ajisifu kwa sababu hili:

kwamba ananifahamu na kunijua mimi,

kwamba mimi ndimi Bwana, nitendaye wema,

hukumu na haki duniani,

kwa kuwa napendezwa na haya,”

asema Bwana.

259:25 Law 26:41; Rum 2:8-9; Amo 3:2“Siku zinakuja, nitakapowaadhibu wale wote ambao wametahiriwa kimwili tu, asema Bwana, 269:26 Yer 25:23; 49:32; Mdo 7:51; Rum 2:28; Eze 31:18; 1Sam 14:6yaani Misri, Yuda, Edomu, Amoni, Moabu na wote wanaoishi jangwani sehemu za mbali. Kwa maana mataifa haya yote hayakutahiriwa mioyo yao, nayo nyumba yote ya Israeli haikutahiriwa.”

New Russian Translation

Иеремия 9:1-26

1О, если бы голова моя была водным потоком,

и глаза мои – фонтаном слез,

чтобы оплакивать мне днем и ночью

сраженных из моего народа.

2О, если бы был для меня в пустыне

постоялый двор,

чтобы я мог оставить свой народ

и удалиться прочь!

Все они – блудники,

сборище вероломных.

3– Как лук, напрягают язык для лжи;

не истиной побеждают в стране.

Идут от одного злодейства к другому

и не знают Меня, –

возвещает Господь. –

4Остерегайтесь друзей,

не доверяйте братьям,

потому что всякий брат – обманщик,

и всякий друг – клеветник.

5Друг лжет другу,

никто правды в лицо не говорит.

Они приучили свой язык лгать

и грешат до изнеможения.

6Ты живешь среди коварного народа,

и из-за своего коварства они отказываются

знать Меня, –

возвещает Господь.

7Поэтому так говорит Господь Сил:

– Я переплавлю и испытаю их,

а как еще Мне поступить

с Моим грешным народом?

8Их язык – гибельная стрела,

он источает коварство.

С ближним они говорят по-дружески,

а в сердце готовят западню.

9Неужели Я не накажу их за это? –

возвещает Господь. –

Неужели Я не воздам по заслугам

такому народу, как этот?

10Буду рыдать и оплакивать горы,

подниму плач о брошенных пастбищах.

Разорены они, никто не ходит по ним,

и не слышно мычания стад.

Птицы небесные разлетелись,

и разбежались все звери.

11– Я сделаю Иерусалим грудой развалин,

логовом шакалов;

города Иудеи сделаю пустыней,

оставлю без жителей.

12Кто достаточно мудр, чтобы понять это? Кто был научен Господом и может объяснить это? За что погибла страна и выжжена, как пустыня, по которой нельзя странствовать?

13И Господь сказал:

– Это за то, что они оставили Мой Закон, который Я установил для них; они не слушались Меня и не исполняли Моего Закона. 14Напротив, они упорно следовали желаниям своего сердца; они шли за Баалами, как их научили отцы. 15Поэтому, так говорит Господь Сил, Бог Израиля: Я накормлю этот народ горькой пищей и напою отравленной водой. 16Я рассею их среди народов, которых не знали ни они, ни их отцы, и буду преследовать их мечом, пока не погублю их.

17Так говорит Господь Сил:

– Подумайте! Позовите плакальщиц,

пошлите за искуснейшими из них.

18– Пусть придут поскорее

и плач о нас поднимут,

чтобы хлынули слезы у нас из глаз

и побежали с ресниц потоки.

19Плач слышен с Сиона:

«Как мы ограблены!

Как жестоко опозорены!

Мы покидаем свою страну,

наши жилища разрушены».

20Слушайте же слово Господне, женщины,

внимайте словам Его уст.

Научите плачу своих дочерей

и друг друга – горестным песням.

21Потому что смерть входит в наши окна

и вторгается в наши дворцы,

чтобы истребить детей на улицах

и юношей на площадях.

22Скажи: так возвещает Господь:

– Будут трупы людские лежать,

как навоз на открытом поле,

как снопы позади жнеца,

и некому будет собрать их.

23Так говорит Господь:

– Пусть мудрец не хвалится мудростью,

сильный – силой,

а богатый – своим богатством;

24пусть тот, кто хвалится, хвалится тем,

что понимает и знает Меня,

тем, что Я – Господь, творящий милость,

правосудие и праведность на земле,

потому что это Мне угодно, –

возвещает Господь.

25Настанут дни, – возвещает Господь, – когда Я накажу всех, кто обрезан только по плоти – 26Египет, Иудею, Эдом, Аммон, Моав и всех, живущих в отдаленных местах пустыни и стригущих волосы на висках9:26 Другие народы стригли волосы на висках, что было запрещено народу Израиля Богом (см. Лев. 19:27).. Все эти народы и весь дом Израиля – необрезаны сердцем9:26 Необрезаны сердцем – это метафора, обозначающая людей непокорных Богу..