Yeremia 47 – NEN & CST

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yeremia 47:1-7

Ujumbe Kuhusu Wafilisti

147:1 Zek 9:5-7; Sef 2:4-5; Amo 1:6; Mwa 10:14-19Hili ndilo neno la Bwana lililomjia nabii Yeremia kuhusu Wafilisti, kabla Farao hajaishambulia Gaza:

247:2 Isa 8:7; 14:31; 15:3Hili ndilo asemalo Bwana:

“Tazama jinsi maji yanavyoinuka huko kaskazini,

yatakuwa mafuriko yenye nguvu sana.

Yataifurikia nchi na vitu vyote vilivyomo ndani yake,

miji na wale waishio ndani yake.

Watu watapiga kelele;

wote waishio katika nchi wataomboleza

347:3 Yer 46:9; Eze 23:24; Yer 50:43; Eze 7:17; 21:7kwa sauti ya kwato za farasi waendao mbio,

kwa sauti ya magari ya adui

na mngurumo wa magurudumu yake.

Baba hawatageuka kuwasaidia watoto wao,

mikono yao italegea.

447:4 Isa 23:1; Amo 1:9-10; Mwa 10:14-15; Yer 25:22; Yoe 3:4; Kum 2:23; Za 9:2-4Kwa maana siku imewadia

kuwaangamiza Wafilisti wote

na kuwakatilia mbali walionusurika wote

ambao wangeweza kusaidia Tiro na Sidoni.

Bwana anakaribia kuwaangamiza Wafilisti,

mabaki toka pwani za Kaftori.47:4 Kaftori ndio Krete.

547:5 Yer 41:5; Mik 1:16; Yer 25:20; Law 19:28Gaza atanyoa kichwa chake katika kuomboleza,

Ashkeloni atanyamazishwa.

Enyi mabaki kwenye tambarare,

mtajikatakata wenyewe mpaka lini?

647:6 Isa 34:5; Yer 12:12; Eze 21:3; Yer 48:10; 50:35“Mnalia, ‘Aa, upanga wa Bwana,

utaendelea mpaka lini ndipo upumzike?

Rudi ndani ya ala yako;

acha na utulie.’

747:7 Eze 25:15-17Lakini upanga utatuliaje

wakati Bwana ameuamuru,

wakati ameuagiza kuishambulia Ashkeloni

pamoja na pwani yake?”

Nueva Versión Internacional (Castilian)

Jeremías 47:1-7

Mensaje para los filisteos

1Antes de que el faraón atacara Gaza, la palabra del Señor acerca de los filisteos vino al profeta Jeremías:

2«Así dice el Señor:

»“¡Mirad! Las aguas del norte

suben cual torrente desbordado.

Inundan la tierra y todo lo que contiene,

sus ciudades y sus habitantes.

¡Grita toda la gente!

¡Gimen los habitantes de la tierra!

3Al oír el galope de sus corceles,

el estruendo de sus carros

y el estrépito de sus ruedas,

los padres abandonan a sus hijos

porque sus fuerzas desfallecen.

4Ha llegado el día

de exterminar a los filisteos,

y de quitarles a Tiro y Sidón

todos los aliados con que aún cuenten.

El Señor exterminará a los filisteos

y al resto de las costas de Caftor.47:4 Caftor. Es decir, Creta.

5Se rapan la cabeza los de Gaza;

se quedan mudos los de Ascalón.

Tú, resto de las llanuras,

¿hasta cuándo te harás incisiones?

6»”¡Ay, espada del Señor!

¿Cuándo vas a descansar?

¡Vuélvete a la vaina!

¡Detente, quédate quieta!

7»”¿Cómo va a descansar,

si el Señor le ha dado órdenes

de atacar a Ascalón

y a la costa del mar?”»