Yeremia 42 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yeremia 42:1-22

Yeremia Ashauri Walionusurika Wasihame Yuda

142:1 Yer 40:13; 6:13; 41:11; 44:12Ndipo maafisa wote wa jeshi, pamoja na Yohanani mwana wa Karea, na Yezania mwana wa Hoshaya, na watu wote kuanzia aliye mdogo kabisa hadi aliye mkuu sana wakamjia 242:2 Mwa 20:7; Yak 5:16; Law 26:22; Mdo 8:24; Yer 36:7Yeremia nabii na kumwambia, “Tafadhali sikia maombi yetu na umwombe Bwana Mungu wako kwa ajili ya watu hawa wote waliosalia. Kwa kuwa kama unavyoona sasa, ingawa wakati fulani tulikuwa wengi, sasa tumesalia wachache tu. 342:3 Ezr 8:21; Za 86:11; Mit 3:6; Yer 15:11Omba ili Bwana Mungu wako atuambie twende wapi na tufanye nini.”

442:4 Kut 8:29; 1Sam 12:23; Hes 22:18; 1Fal 22:14; 1Sam 3:17Nabii Yeremia akajibu, “Nimewasikia. Kwa hakika nitamwomba Bwana Mungu wenu kama mlivyoomba. Nitawaambia kila kitu asemacho Bwana, wala sitawaficha chochote.”

542:5 Kum 4:26; 1Fal 22:16; Za 119:160; Rum 3:4; Yn 8:26; Mwa 31:48; Isa 1:2; Rum 1:9; Ufu 1:5Kisha wakamwambia Yeremia, “Bwana na awe shahidi wa kweli na mwaminifu kati yetu kama hatutafanya sawasawa na kila kitu Bwana Mungu wako atakachokutuma utuambie. 642:6 Kum 5:29; 6:3; Yer 7:23; 43:4; Mhu 3:2; Dan 11:4; 2Nya 34:24; Eze 36:36Likiwa jema au likiwa baya, tutamtii Bwana Mungu wetu, ambaye tunakutuma kwake, ili mambo yote yawe mema kwetu, kwa maana tutamtii Bwana Mungu wetu.”

7Baada ya siku kumi, neno la Bwana likamjia Yeremia. 842:8 Ebr 8:11; Lk 7:28; Mk 9:35; Yer 4:16Kwa hiyo akawaita pamoja Yohanani mwana wa Karea, na maafisa wote wa jeshi waliokuwa pamoja naye na watu wote kuanzia mdogo kabisa hadi aliye mkuu sana. 9Akawaambia, “Hili ndilo asemalo Bwana, Mungu wa Israeli, ambaye mlinituma kuwasilisha maombi yenu: 1042:10 Yer 24:6; Kum 30:6; Yer 31:28; 43:4; Mhu 3:2; Dan 11:4; 2Nya 34:24; Eze 36; 36‘Kama mkikaa katika nchi hii, nitawajenga wala sitawabomoa, nitawapanda wala sitawangʼoa, kwani ninahuzunishwa na maafa niliyowapiga nayo. 1142:11 Eze 30:18; Hes 14:9; Yer 27:11; Ebr 7:25; Rum 8:31; Mit 20:22; 1Sam 15:24Msimwogope mfalme wa Babeli, ambaye sasa mnamwogopa. Msimwogope, asema Bwana, kwa kuwa niko pamoja nanyi, nami nitawaokoa na kuwaponya kutoka mikononi mwake. 1242:12 Mwa 31:3; Neh 1:9; Za 106:45-46; Kut 3:21; 2Sam 24:14; 2Kor 1:3Nitawaonea huruma ili naye awe na huruma nanyi na kuwarudisha katika nchi yenu.’

1342:13 Kum 11:28; Yer 44:16“Hata hivyo, kama mkisema, ‘Hatutakaa katika nchi hii,’ hivyo mkaacha kumtii Bwana Mungu wenu, 1442:14 Kum 17:16; Isa 30:2; 65:13; Hes 11:4-5; Ay 6:20; Mt 24:31; 4:2-4; Mit 10:3nanyi kama mkisema, ‘Hapana, tutakwenda kuishi Misri, mahali ambapo hatutaona vita au kusikia sauti ya tarumbeta au kuwa na njaa ya chakula,’ 15basi sikieni neno la Bwana, enyi mabaki ya Yuda. Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: ‘Ikiwa mmekusudia kwenda Misri na kufanya makazi huko, 1642:16 Law 26:33; Eze 14:17; 11:8; Yer 41:18; Mwa 41:55; 2:17; Ay 21:20; Eze 3:16; 18:4basi ule upanga mnaouogopa utawapata huko, na njaa mnayoihofia itawafuata huko Misri, nanyi mtafia huko. 1742:17 Yer 21:7; 44:13; 24:10Naam, wote waliokusudia kwenda kuishi Misri watakufa kwa upanga, njaa na tauni; hakuna hata mmoja wao atakayenusurika au kuokoka maafa nitakayoyaleta juu yao.’ 1842:18 Kum 29:18-20; 2Nya 12:7; 36:19; Yer 29:18; 39:1-9; 25:18; Hes 5:27; Za 44:13Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: ‘Kama vile hasira yangu na ghadhabu yangu ilivyomwagwa juu ya wale walioishi Yerusalemu, ndivyo ghadhabu yangu itakavyomwagwa juu yenu mtakapokwenda Misri. Mtakuwa kitu cha kulaania na cha kutisha, cha kulaumia na cha kushutumia, nanyi kamwe hamtaona mahali hapa tena.’

1942:19 Kum 17:16; Isa 30:7; Yer 40:15; 43:2“Enyi mabaki ya Yuda, Bwana amewaambia, ‘Msiende Misri.’ Hakikisheni jambo hili: Ninawaonya leo 2042:20 Eze 14:7-8kwamba mmefanya kosa kubwa mioyoni mwenu mliponituma kwa Bwana Mungu wenu na kusema, ‘Mwombe Bwana Mungu wetu kwa ajili yetu, nawe utuambie kila kitu atakachosema, nasi tutafanya.’ 2142:21 Zek 7:11-12; Yer 40:3; Eze 2:7; 12:2; Kut 24:7Nimewaambieni leo, lakini bado ninyi hamtaki kumtii Bwana Mungu wenu katika yote aliyonituma niwaambie. 2242:22 Yer 24:10; Eze 6:11; Isa 1:28; Yer 15:2; Hos 6:9Basi sasa, hakikisheni jambo hili: Mtakufa kwa upanga, njaa na tauni mahali ambapo mnataka kwenda kuishi.”

La Bible du Semeur

Jérémie 42:1-22

La fuite en Egypte

1Alors tous les chefs des troupes ainsi que Yohanân, fils de Qaréah, Yezania42.1 Yezania: selon le texte hébreu traditionnel. L’ancienne version grecque a : Azaria, comme en 43.2., fils de Hoshaya, et tout le peuple, au grand complet, se rendirent 2auprès du prophète Jérémie et lui dirent : Veuille accéder à notre requête : prie l’Eternel ton Dieu pour ce reste que nous sommes ! Car nous étions nombreux et nous sommes réduits à bien peu de chose, comme tu peux le constater toi-même. 3Que l’Eternel, ton Dieu, nous fasse savoir quel chemin nous devons suivre et ce que nous avons à faire.

4Le prophète Jérémie leur répondit : C’est entendu, je vais prier l’Eternel votre Dieu pour vous, comme vous me l’avez demandé, et je vous communiquerai tout ce que l’Eternel vous répondra, sans rien vous en cacher.

5De leur côté, ils dirent à Jérémie : Que l’Eternel soit contre nous un témoin véridique et fidèle si nous n’obéissons pas à tout ce que l’Eternel ton Dieu te chargera de nous dire. 6Que cela nous plaise ou non, nous obéirons à l’Eternel que nous te chargeons de consulter. Car nous nous en trouverons bien si nous obéissons à l’Eternel notre Dieu.

7Dix jours plus tard, l’Eternel adressa la parole au prophète Jérémie. 8Celui-ci fit venir Yohanân, fils de Qaréah, et tous les chefs de troupes qui étaient avec lui et tout le peuple au grand complet, 9et il leur dit : Voici ce que déclare l’Eternel, Dieu d’Israël, à qui vous m’avez envoyé pour présenter votre requête : 10Si vous restez dans ce pays, je construirai en votre faveur et ne vous y détruirai pas ; je vous y implanterai et ne vous en arracherai pas42.10 Voir 1.10 ; 24.6 ; 31.28 ; 45.4.. Car je renoncerai à vous faire du mal comme je vous en ai fait. 11Ne craignez plus le roi de Babylone dont vous avez peur ! Non, n’ayez pas peur de lui, l’Eternel le déclare, car je suis avec vous : je vous sauverai et je vous délivrerai de lui. 12Je vous témoignerai de la compassion afin qu’il vous traite avec compassion et qu’il vous laisse retourner sur vos terres.

13Mais si vous dites : « Nous ne resterons pas dans ce pays », et si vous désobéissez ainsi à l’Eternel votre Dieu, 14si vous dites : « Non, nous irons plutôt en Egypte, où nous ne connaîtrons plus la guerre, où nous n’entendrons plus le cor sonner l’alerte, où nous ne souffrirons plus de la faim, c’est là que nous nous établirons », 15alors, écoutez bien ce que l’Eternel vous dit, à vous, le reste de Juda : Voici ce que déclare le Seigneur des armées célestes, Dieu d’Israël : Si vous vous obstinez à vouloir émigrer en Egypte et si vous allez vous y établir, 16l’épée que vous redoutez vous atteindra là-bas, en Egypte, la famine que vous craignez s’attachera à vos pas jusqu’en Egypte et vous y périrez. 17Tous ceux qui décideront d’émigrer en Egypte, périront par l’épée, par la famine ou la peste : il n’y aura ni rescapé ni survivant à ces fléaux que je déchaînerai contre eux.

18Voici ce que déclare le Seigneur des armées célestes, Dieu d’Israël : Comme ma colère et ma fureur se sont déversées sur les habitants de Jérusalem, ainsi mon courroux se déversera sur vous quand vous vous rendrez en Egypte. La dévastation fondra sur vous et vous serez en proie à la malédiction, aux imprécations et à l’opprobre, et vous ne reverrez plus jamais ce pays.

19A vous, le reste de Juda, l’Eternel dit : N’allez pas en Egypte, sachez bien que je vous ai avertis aujourd’hui. 20Car vous vous êtes fourvoyés, lorsque vous m’avez délégué vers l’Eternel votre Dieu en me disant : « Prie l’Eternel, notre Dieu, pour nous, puis fais-nous savoir tout ce que l’Eternel te dira, et nous le ferons. » 21Je vous l’ai fait savoir aujourd’hui, mais vous n’écoutez pas l’Eternel votre Dieu, vous ne tenez pas compte de tout ce qu’il m’a chargé de vous dire. 22Maintenant donc, sachez-le bien : vous mourrez par l’épée, la famine ou la peste dans ce pays où vous désirez émigrer.