Yeremia 11 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yeremia 11:1-23

Agano Limevunjwa

1Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Bwana: 2“Sikia maneno ya agano hili, nawe uwaambie watu wa Yuda na wale waishio Yerusalemu. 311:3 Kum 11:26-28; 27:26; Gal 3:10; Kum 28:15-68Waambie kwamba hili ndilo asemalo Bwana, Mungu wa Israeli: ‘Amelaaniwa mtu ambaye hatayatii maneno ya agano hili, 411:4 Law 26:3; Kum 4:20; 1Fal 8:51; Kut 24:8; Yer 7:23; Eze 11:20maneno niliyowaamuru baba zenu nilipowatoa katika nchi ya Misri, kutoka tanuru la kuyeyushia vyuma.’ Nilisema, ‘Nitiini mimi na mfanye kila kitu ninachowaamuru, nanyi mtakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wenu. 511:5 Kum 7:12; Kut 6:8; 13:5; Za 105:8-11; Kut 3:8; Kum 27:26Kisha nitatimiza kiapo nilichowaapia baba zenu, kuwapa nchi itiririkayo maziwa na asali,’ nchi ambayo mnaimiliki leo.”

Nikajibu, “Amen, Bwana.”

611:6 Kut 15:26; Yn 13:17; Rum 2:13; Yak 1:22; Yer 4:5; Kum 15:5Bwana akaniambia, “Tangaza maneno haya yote katika miji ya Yuda na katika barabara za Yerusalemu: ‘Sikilizeni maneno ya agano hili na kuyafuata. 711:7 2Nya 36:15Tangu wakati ule niliwapandisha baba zenu kutoka Misri mpaka leo, niliwaonya tena na tena, nikisema “Nitiini mimi.” 811:8 Yer 7:26; Law 26:14-43; Yos 23:15; Mhu 9:3; Yer 3:17; 2Nya 7:19; Za 78:10Lakini hawakusikiliza wala kujali. Badala yake, walifuata ukaidi wa mioyo yao miovu. Hivyo nikaleta juu yao laana zote za agano nililokuwa nimewaamuru wao kulifuata, lakini wao hawakulishika.’ ”

911:9 Hos 6:9; Eze 1:28; 22:25Kisha Bwana akaniambia, “Kuna shauri baya linaloendelea miongoni mwa watu wa Yuda na wale wanaoishi Yerusalemu. 1011:10 Eze 20:18; Kum 9:7; 2Nya 30:7; Amu 2:11-13; 10:13; Zek 7:11; Yer 16:11; 34:18Wamerudia dhambi za baba zao, waliokataa kusikiliza maneno yangu. Wameifuata miungu mingine kuitumikia. Nyumba zote mbili za Israeli na Yuda zimelivunja agano nililofanya na baba zao. 1111:11 Eze 8:8-18; Ay 27:9; Za 66:18; 2Fal 22:16; Zek 7:13; Ay 11:20; Yer 14:12Kwa hivyo, hili ndilo asemalo Bwana: ‘Nitaleta juu yao maafa ambayo hawawezi kuyakimbia. Hata kama wakinililia, sitawasikiliza. 1211:12 Kum 32:37-38; Amu 10:14; Yer 44:17; Isa 45:20Miji ya Yuda na watu wa Yerusalemu watakwenda kuililia miungu ambayo wameifukizia uvumba, lakini haitawasaidia kamwe wakati maafa yatakapowapiga. 1311:13 Yer 44:21; 3:24; Kut 20:3; Yer 19:4; 2Fal 17:29; Yer 7:9Mnayo miungu mingi kama miji mliyo nayo, ee Yuda, nazo madhabahu mlizozijenga za kufukizia uvumba huyo mungu wa aibu Baali ni nyingi kama barabara za Yerusalemu.’

1411:14 Kut 32:10; Yer 7:16“Wewe usiwaombee watu hawa wala kufanya maombezi yoyote au kunisihi kwa ajili yao, kwa sababu sitawasikiliza watakaponiita wakati wa taabu yao.

1511:15 Eze 16:25; Hag 2:12; Yer 7:9-10“Mpenzi wangu anafanya nini hekaluni mwangu,

anapofanya mashauri yake maovu na wengi?

Je, nyama iliyowekwa wakfu yaweza

kuondolea mbali adhabu yako?

Unapojiingiza katika ubaya wako,

ndipo unashangilia.”

1611:16 Yer 7:20; 21:14; Rum 11:17-24; Hos 14:6; Isa 27:11Bwana alikuita mti wa mzeituni uliostawi

ulio na matunda mazuri kwa sura.

Lakini kwa ngurumo ya mawimbi makuu

atautia moto,

nayo matawi yake yatavunjika.

1711:17 Kut 15:17; Isa 5:2; Yer 7:9; 12:2; 7:18Bwana Mwenye Nguvu Zote, aliyekupanda, ametamka maafa kwa ajili yako, kwa sababu nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda mmefanya maovu na kunikasirisha kwa kumfukizia Baali uvumba.

Shauri Baya Dhidi Ya Yeremia

18Kwa sababu Bwana alinifunulia hila zao mbaya, nilizifahamu, kwa kuwa wakati ule alinionyesha yale waliyokuwa wanayafanya. 1911:19 Za 54:3; Yer 20:10; Ay 28:13; Za 83:4; 44:22; Yer 18:18; Ay 28:13; Isa 53:8Nilikuwa kama mwana-kondoo mpole aliyeongozwa machinjoni; mimi sikutambua kwamba walikuwa wamefanya shauri baya dhidi yangu, wakisema,

“Sisi na tuuangamize mti na matunda yake;

nasi tumkatilie mbali kutoka nchi ya walio hai,

ili jina lake lisikumbukwe tena.”

2011:20 Mdo 17:31; Za 7:8-9, 11; 1Sam 2:3; 1Nya 29:17; Za 58:10; Mao 3:60Lakini, Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote, wewe uhukumuye kwa haki,

nawe uchunguzaye moyo na akili,

wacha nione ukiwalipiza wao kisasi,

kwa maana kwako nimeweka shauri langu.

2111:21 Yer 12:6; Amo 2:12; Yer 38:4; Ay 21:18; Yer 21:7; 34:20; Isa 30:10“Kwa hiyo hili ndilo Bwana asemalo kuhusu watu wa Anathothi wale wanaotafuta uhai wako wakisema, ‘Usitoe unabii kwa jina la Bwana, la sivyo utakufa kwa mikono yetu’: 2211:22 Isa 9:17; Yer 18:21kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote asemalo: ‘Nitawaadhibu. Vijana wao waume watakufa kwa upanga, wana wao na binti zao kwa njaa. 2311:23 Lk 19:44; Yer 6:9; 23:12Hawatasaziwa hata mabaki kwao, kwa sababu nitaleta maafa kwa watu wa Anathothi katika mwaka wa adhabu yao.’ ”

Bibelen på hverdagsdansk

Jeremiasʼ Bog 11:1-23

Israel har brudt Guds pagt

1Herren talte igen til mig og sagde:

2-3„Mind Judas og Jerusalems indbyggere om de pagtsbetingelser, jeg forelagde jeres forfædre: Hvis I ikke overholder min pagt, bliver I ramt af min dom, for jeg er Herren, jeres Gud. 4Jeg indgik jo en pagt med jeres forfædre, da jeg førte dem ud af Egyptens smelteovn. Dengang sagde jeg udtrykkeligt, at hvis de ville adlyde mig og leve i overensstemmelse med pagtens ord, ville jeg antage dem som mit folk og være deres Gud 5og opfylde det løfte, jeg gav til Abraham og hans efterkommere om et land, der ‚flyder med mælk og honning’, det land, som I nu bor i.”

„Ja, Herre, det er sandt!” svarede jeg.

6Da sagde Herren til mig: „Gå ud i Jerusalems gader og i Judas byer med følgende budskab: Husk på Herrens pagt og overhold dens betingelser. 7Lige siden den dag, jeg førte jeres forfædre ud af Egypten, har jeg tidligt og silde tryglet mit folk om at adlyde mig. 8Men de ville ikke. I stedet fulgte de gang på gang deres onde tilskyndelser. Derfor var jeg nødt til at straffe dem med den dom, som er konsekvensen af at bryde pagten.”

9Derefter sagde Herren til mig: „Judas befolkning og Jerusalems indbyggere har gjort oprør imod mig. 10De har genoptaget deres forfædres syndige skikke og vendt sig fra mig for at dyrke afguderne. Både Israels og Judas folk har brudt den pagt, jeg indgik med deres forfædre. 11Derfor rammer jeg dem med en ulykke, de ikke kan undslippe. Og hvis de råber til mig om hjælp, vil jeg ikke høre deres bønner. 12Så vil de råbe til deres afguder, som de ofrer til, men de kan ikke redde dem fra katastrofen. 13Mit folk har lige så mange afguder, som der er byer i Juda, og altrene, hvor de ofrer til Ba’al, er så talrige som gaderne i Jerusalem.

14Jeremias, du skal ikke gå i forbøn for sådan et folk! Du skal ikke trygle mig om at redde dem, for jeg vil ikke høre på dine bønner. Jeg vil ikke høre på dem, selv om de desperat råber til mig om hjælp. 15Sig til dem: Hvad ret har I, mit elskede folk, til at være i mit tempel, når I har gjort så mange onde ting? Tror I, at jeres ofringer kan afværge dommen? Hvordan kan I fortsætte med jeres ondskab, mens I bringer jeres ofre? 16Engang var du et dejligt oliventræ, der bar gode frugter. Men nu sætter jeg ild til dig, så alle dine grene bliver ødelagt. 17Jeg er Herren, den Almægtige, som har plantet dig, men nu har jeg afsagt dommen over dig. Både Israels og Judas hus har ofret til Ba’al, og det har fremkaldt min vrede.”

Jeremias i fare for at blive dræbt

18Herren advarede mig om, at nogle mennesker ønskede at slå mig ihjel. 19Jeg var som et troskyldigt lam, der føres til slagtning. Jeg anede intet om deres hensigter. „Lad os gøre det af med den der profet,” sagde de, „så slipper vi for at høre på hans dommedagsprofetier.”

20Da sagde jeg til Herren: „Du er den almægtige Gud og den retfærdige dommer. Du kender menneskers tanker og motiver. Lad mig se dig straffe dem, for jeg har overgivet min sag til dig.”

21Herren havde nemlig sagt til mig: „Nogle mænd fra Anatot er ude på at slå dig ihjel. De vil true dig på livet for at få dig til at holde op med at profetere i mit navn. 22Derfor vil jeg straffe dem, siger Herren. Deres unge mænd vil falde i krig og deres børn sulte ihjel. 23Ikke en eneste af forræderne i Anatot vil blive skånet. Når tiden er inde, vil jeg straffe dem.”