13:1 Isa 26:9; Wim 5:6Usiku kucha kwenye kitanda changu
nilimtafuta yule moyo wangu umpendaye;
nilimtafuta, lakini sikumpata.
2Sasa nitaondoka na kuzunguka mjini,
katika barabara zake na viwanja;
nitamtafuta yule moyo wangu umpendaye.
Kwa hiyo nilimtafuta lakini sikumpata.
33:3 Wim 5:7; Isa 21:6-11Walinzi walinikuta
walipokuwa wakizunguka mji.
Nikawauliza, “Je, mmemwona
yule moyo wangu umpendaye?”
43:4 Wim 8:2; 6:9; 8:5; Rum 8:35-39; Mit 8:17; 4:13Kitambo kidogo tu baada ya kuwapita
nilimpata yule moyo wangu umpendaye.
Nilimshika na sikumwachia aende
mpaka nilipomleta katika nyumba ya mama yangu,
katika chumba cha yule aliyenichukua mimba.
53:5 Wim 2:7; 8:4Binti za Yerusalemu, ninawaagiza
kwa paa na kwa ayala wa shambani:
Msichochee wala kuamsha mapenzi
hata yatakapotaka yenyewe.
Shairi La Tatu
Mpenzi
63:6 Wim 8:6; 4:6, 14; Kut 30:34; Yer 2:2Ni nani huyu anayekuja kutoka jangwani
kama nguzo ya moshi,
anayenukia manemane na uvumba
iliyotengenezwa kwa vikolezo vyote
vya mfanyabiashara?
73:7 1Sam 8:11Tazama! Ni gari la Solomoni
lisindikizwalo na mashujaa sitini,
walio wakuu sana wa Israeli,
83:8 Ay 15:22; Za 91:5wote wamevaa panga,
wote wazoefu katika vita,
kila mmoja na upanga wake pajani,
wamejiandaa kwa ajili ya hofu za usiku.
9Mfalme Solomoni alijitengenezea gari;
alilitengeneza kwa mbao kutoka Lebanoni.
103:10 Mt 22:37; Efe 3:19; Rum 5:8Nguzo zake alizitengeneza kwa fedha,
kitako chake kwa dhahabu.
Kiti chake kilipambwa kwa zambarau,
gari lake likanakshiwa njumu kwa upendo
na binti za Yerusalemu.
113:11 Isa 3:16; 54:5; 32:9-13; 62:5; Yer 3:14Tokeni nje, ninyi binti za Sayuni,
mkamtazame Mfalme Solomoni akiwa amevaa taji,
taji ambalo mama yake alimvika
siku ya arusi yake,
siku ambayo moyo wake ulishangilia.
Ela
1De noite, na minha cama,
busquei aquele que a minha alma deseja.
Procurei por ele e não o encontrei.
2Levantei-me, saí para as ruas da cidade, pelas praças,
a ver se o achava, mas em vão.
3Os guardas, que faziam a ronda na cidade, detiveram-me,
e perguntei-lhes:
“Viram aquele que eu tanto amo?”
4Mas, passado pouco tempo,
logo achei aquele que a minha alma deseja
e não o deixei até o ter levado para casa,
para o velho quarto de minha mãe.
5Conjuro-vos, ó filhas de Jerusalém,
pelas gazelas e cervas do campo,
que não despertem o meu amor,
até que ele queira.
6Que é isto que se eleva, dos desertos,
semelhante a uma nuvem de fumo, cheirando a mirra,
a incenso e a toda a espécie de pós aromáticos
que se podem importar?
7Olhem: é o carro de Salomão!
Rodeiam-no sessenta dos homens mais valentes de Israel.
8Todos eles são hábeis no manejo de armas
e de instrumentos de guerra.
Cada um deles tem a sua espada pronta, à cintura,
para defender o rei contra qualquer incidente noturno.
9O rei Salomão mandou fazer, para si próprio,
um palanquim com madeira do Líbano.
10Os seus suportes são de prata;
o dossel é de ouro e o assento forrado de púrpura;
todo o interior foi revestido, com carinho,
pelas raparigas de Jerusalém!
11Saiam, ó filhas de Sião!
Venham admirar o rei Salomão!
Reparem na coroa com que sua mãe o coroou no dia do casamento,
nesse dia de grande alegria para ele!