Warumi 5 – NEN & CRO

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Warumi 5:1-21

Matokeo Ya Kuhesabiwa Haki

15:1 Rum 3:28; Isa 32:17; Yn 16:33Kwa hiyo, kwa kuwa tumekwisha kuhesabiwa haki kwa imani, tuna amani na Mungu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo, 25:2 Efe 2:18; 3:12; 1Kor 15:1; Ebr 3:5; Mt 5:12ambaye kwa kupitia kwake tumepata kwa njia ya imani kuifikia neema hii ambayo ndani yake sasa tunasimama, nasi twafurahia katika tumaini letu la kushiriki utukufu wa Mungu. 35:3 Ebr 10:36; Yak 1:2-3; Ebr 3:6; 1Yn 3:2-3; Mdo 10:43Si hivyo tu, bali twafurahi pia katika mateso, kwa sababu tunajua kuwa mateso huleta saburi, 45:4 Yak 1:12nayo saburi huleta uthabiti wa moyo, na uthabiti wa moyo huleta tumaini, 55:5 Flp 1:20; Ebr 3:6; Yn 3:2, 3; Rum 5:8; Yn 3:16; Rum 8:39; Tit 3:3, 6wala tumaini halitukatishi tamaa, kwa sababu Mungu amekwisha kumimina pendo lake mioyoni mwetu kwa njia ya Roho Mtakatifu ambaye ametupatia.

65:6 Mk 1:15; Efe 1:10; Rum 4:25Kwa maana hata tulipokuwa dhaifu, wakati ulipowadia, Kristo alikufa kwa ajili yetu sisi wenye dhambi. 7Hakika, ni vigumu mtu yeyote kufa kwa ajili ya mwenye haki, ingawa inawezekana mtu akathubutu kufa kwa ajili ya mtu mwema. 85:8 Yn 3:16; 1Yn 4:10Lakini Mungu anaudhihirisha upendo wake kwetu kwamba: Tulipokuwa tungali wenye dhambi, Kristo alikufa kwa ajili yetu.

95:9 Rum 3:25; Kum 1:18Basi, kwa kuwa sasa tumehesabiwa haki kwa damu yake, si zaidi sana tutaokolewa kutoka ghadhabu ya Mungu kupitia kwake! 105:10 Rum 11:28; 1Kor 1:21; 2Kor 5:18, 19; Kol 1:20, 22; Ebr 7:25Kwa kuwa kama tulipokuwa adui wa Mungu tulipatanishwa naye kwa njia ya kifo cha Mwanawe, si zaidi sana tukiisha kupatanishwa, tutaokolewa kwa uzima wake. 115:11 Rum 5:10; 2:17; 3:29, 30; Gal 4:9Lakini zaidi ya hayo, pia tunafurahi katika Mungu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye kupitia kwake tumepata upatanisho.

Adamu Alileta Kifo, Yesu Ameleta Uzima

125:12 Mwa 3:1-7; 1Kor 15:21, 22; Mwa 3:19; Rum 6:23Kwa hiyo kama vile dhambi ilivyoingia ulimwenguni kupitia kwa mtu mmoja, na kupitia dhambi hii mauti ikawafikia watu wote, kwa sababu wote wamefanya dhambi: 135:13 Rum 4:15kwa maana kabla sheria haijatolewa, dhambi ilikuwepo ulimwenguni. Lakini dhambi haihesabiwi wakati hakuna sheria. 145:14 1Kor 15:22, 45Hata hivyo, tangu wakati wa Adamu hadi wakati wa Mose, mauti ilitawala watu wote, hata wale ambao hawakutenda dhambi kwa kuvunja amri, kama alivyofanya Adamu, ambaye alikuwa mfano wa yule atakayekuja.

155:15 Mdo 15:11Lakini ile karama iliyotolewa haikuwa kama lile kosa. Kwa maana ikiwa watu wengi walikufa kwa sababu ya kosa la mtu mmoja, zaidi sana neema ya Mungu na ile karama iliyokuja kwa neema ya mtu mmoja, yaani, Yesu Kristo, imezidi kuwa nyingi kwa ajili ya wengi. 16Tena, ile karama ya Mungu si kama matokeo ya ile dhambi. Hukumu ilikuja kwa njia ya mtu mmoja, ikaleta adhabu, bali karama ya neema ya Mungu ilikuja kwa njia ya makosa mengi, ikaleta kuhesabiwa haki. 17Kwa maana ikiwa kutokana na kosa la mtu mmoja, mauti ilitawala kupitia huyo mtu mmoja, zaidi sana wale wanaopokea wingi wa neema ya Mungu na karama yake ya kuhesabiwa haki, watatawala katika uzima kwa njia ya huyo mtu mmoja, yaani, Yesu Kristo.

185:18 Rum 4:25Kwa hiyo, kama vile kosa la mtu mmoja lilivyoleta adhabu kwa watu wote, vivyo hivyo pia kwa tendo la haki la mtu mmoja lilileta kuhesabiwa haki ambako huleta uzima kwa wote. 195:19 Flp 2:8Kwa maana kama vile kwa kutokutii kwa yule mtu mmoja wengi walifanywa wenye dhambi, vivyo hivyo kwa kutii kwa mtu mmoja wengi watafanywa wenye haki.

205:20 Rum 3:20; Gal 3:19; Rum 6:1; 1Tim 1:13, 14Zaidi ya hayo, sheria ilikuja, ili uvunjaji wa sheria uongezeke. Lakini dhambi ilipoongezeka, neema iliongezeka zaidi, 215:21 Rum 6:16ili kwamba kama vile dhambi ilivyotawala kwa njia ya mauti, vivyo hivyo neema iweze kutawala kwa njia ya kuhesabiwa haki hata kuleta uzima wa milele katika Yesu Kristo Bwana wetu.

Knijga O Kristu

Rimljanima 5:1-21

Vjera donosi radost

1Opravdani smo dakle u Božjim očima vjerom te pomireni s Bogom zbog onoga što je naš Gospodin Isus Krist za nas učinio. 2Zbog vjere u njega možemo pristupiti najvećoj milosti i radujemo se nadi Božje slave.

3Možemo se radovati i kad smo u nevolji jer znamo da je to za naše dobro—jača našu strpljivost. 4Strpljivost donosi prokušanost, a prokušanost nadu. 5Zbog tog se očekivanja nećemo postidjeti. Jer znamo da nas Bog silno ljubi—ulio je tu ljubav u naša srca po Svetom Duhu.

6Kad smo bili potpuno bespomoćni, Krist je došao u pravo vrijeme i umro za nas grešnike. 7Za dobra čovjeka malo bi tko bio voljan umrijeti, iako bi se za izvanredno dobra čovjeka možda i našao tko da za njega dade život. 8No Bog je pokazao svoju veliku ljubav prema nama time što je poslao Krista da umre za nas dok smo još bili grešnici. 9A kako smo mi u Božjim očima opravdani Kristovom krvlju, on će nas sigurno spasiti od Božjega suda. 10Jer kako nas je, dok smo još bili Božji neprijatelji, s njime pomirila smrt njegova Sina, tako će nas život njegova Sina sigurno osloboditi vječne kazne. 11Zato se sada možemo radovati svojemu novom odnosu prema Bogu—zato što nas je naš Gospodin Isus Krist pomirio s Bogom.

Adam je donio smrt, a Krist život

12Kad je Adam zgriješio, grijeh je ušao u sav ljudski rod. A budući da je taj Adamov grijeh donio smrt, smrt je prešla na sve ljude jer su svi zgriješili. 13Doista, ljudi su griješili i prije nego što su dobili Zakon. Ali iako još nije bilo Zakona koji bi kršili, 14svi su oni—od Adama do Mojsija—umrli iako nisu prekršili jasnu Božju zapovijed kao što je to Adam učinio. Kakve li razlike između Adama i Krista koji je tek trebao doći! 15Kako su različiti naši grijesi od Božjega milostivog dara! Jer taj jedan čovjek, Adam, svojim je grijehom mnogima donio smrt. Ali zato se na mnoge obilno izlila Božja milost oproštenja grijeha, darovana po jednome čovjeku—Isusu Kristu. 16S darom Božje milosti nije kao s posljedicama grijeha jednoga čovjeka—jer presuda nad Adamovim grijehom postala je osudom nad svima, a dar Božjega oproštenja nam je—nakon mnogih grijeha koje smo počinili—postao opravdanjem. 17Jer Adamovim je grijehom kroz jednog čovjeka nad nama zakraljila smrt, ali koji prime izobilni milosni dar pravednosti, živjet će u pobjedi nad grijehom i smrću—po jednome Čovjeku, Isusu Kristu. 18Prema tome, kao što je grijehom jednoga došla osuda na sve ljude, tako su pravednošću Jednoga na sve došli opravdanje i život. 19Baš kao što su zbog neposluha jednoga čovjeka mnogi postali grešnicima, tako će i zbog poslušnosti Jednoga mnogi postati pravednicima u Božjim očima. 20Božji je Zakon dan ljudima da se umnoži grijeh. Ali kako su ljudi sve više i više griješili, Božja divna milost sve se obilnije izlijevala. 21Baš kao što je grijeh nekada vladao nad svim ljudima i vodio ih u smrt, tako sada nad njima kraljuje Božja milost i opravdava ih pred Bogom da bi mogli imati vječni život po našemu Gospodinu Isusu Kristu.