Wafilipi 4 – NEN & NVI-PT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Wafilipi 4:1-23

14:1 Flp 1:8; 1Kor 16:13Kwa hiyo, ndugu zangu, ninaowapenda na ambao ninawaonea shauku, ninyi mlio furaha yangu na taji yangu, hivi ndivyo iwapasavyo kusimama imara katika Bwana, ninyi wapenzi wangu.

Mausia

24:2 Flp 2:2; 3:16Nawasihi Euodia na Sintike wawe na nia moja katika Bwana. 34:3 Flp 2:25; Ufu 20:12Naam, nakusihi wewe pia, mwenzangu mwaminifu, uwasaidie hawa wanawake, kwa sababu walijitaabisha katika kazi ya Injili pamoja nami bega kwa bega, wakiwa pamoja na Klementi na watendakazi wenzangu ambao majina yao yameandikwa katika kitabu cha uzima.

44:4 Za 85:6; 97:12; Hab 3:18; Mt 5:12; Rum 12:12; Flp 3:1Furahini katika Bwana siku zote, tena nasema furahini! 54:5 Za 119:151; 145:18; Ebr 10:37; Yak 5:8, 9Upole wenu na ujulikane na watu wote. Bwana yu karibu. 64:6 Mt 6:25-34; Kol 4:2; 1Pet 5:7; Za 145:18; Efe 6:18; 1Tim 2:1Msijisumbue kwa jambo lolote, bali katika kila jambo kwa kuomba na kusihi pamoja na kushukuru, haja zenu na zijulikane na Mungu. 74:7 Isa 26:3; Yn 14:27; Efe 3:19Nayo amani ya Mungu, inayopita fahamu zote, itailinda mioyo yenu na nia zenu katika Kristo Yesu.

84:8 1The 5:22; Rum 12:17Hatimaye, ndugu zangu, mambo yote yaliyo ya kweli, yoyote yaliyo na sifa njema, yoyote yaliyo ya haki, yoyote yaliyo safi, yoyote ya kupendeza, yoyote yenye staha, ukiwepo uzuri wowote, pakiwepo chochote kinachostahili kusifiwa, tafakarini mambo hayo. 94:9 1Kor 4:16; Rum 12:17Mambo yote mliyojifunza au kuyapokea au kuyasikia kutoka kwangu, au kuyaona kwangu, yatendeni hayo. Naye Mungu wa amani atakuwa pamoja nanyi.

Shukrani Kwa Matoleo Yenu

104:10 2Kor 11:9Nina furaha kubwa katika Bwana kwamba hatimaye mmeanza upya kushughulika tena na maisha yangu. Kweli mmekuwa mkinifikiria lakini mlikuwa hamjapata nafasi ya kufanya hivyo. 114:11 1Tim 6:6, 8; Ebr 13:5Sisemi hivyo kwa vile nina mahitaji, la! Kwa maana nimejifunza kuridhika katika hali yoyote. 124:12 1Kor 4:11; 2Kor 11:9Ninajua kupungukiwa, pia ninajua kuwa na vingi. Nimejifunza siri ya kuridhika katika kila hali, wakati wa kushiba na wakati wa kuona njaa, wakati wa kuwa na vingi na wakati wa kupungukiwa. 134:13 2Kor 12:9; Efe 3:16; Kol 1:11; 1Tim 1:12; 2Tim 4:17Naweza kuyafanya mambo yote katika yeye anitiaye nguvu.

144:14 Flp 1:7Lakini, mlifanya vyema kushiriki nami katika taabu zangu. 154:15 Flp 1:5; Mdo 16:9; 2Kor 11:8, 9Zaidi ya hayo, ninyi Wafilipi mnajua kwamba siku za kwanza nilipoanza kuhubiri Injili, nilipoondoka Makedonia, hakuna kanisa jingine lililoshiriki nami katika masuala ya kutoa na kupokea isipokuwa ninyi. 164:16 Mdo 17:1; 1The 2:9Kwa maana hata nilipokuwa huko Thesalonike, mliniletea msaada kwa ajili ya mahitaji yangu zaidi ya mara moja. 174:17 1Kor 9:11, 12Si kwamba natafuta sana yale matoleo, bali natafuta sana ile faida itakayozidi sana kwa upande wenu. 184:18 Flp 2:25; 2Kor 2:14Nimelipwa kikamilifu hata na zaidi; nimetoshelezwa kabisa sasa, kwa kuwa nimepokea kutoka kwa Epafrodito vile vitu mlivyonitumia, sadaka yenye harufu nzuri, dhabihu inayokubalika na ya kumpendeza Mungu. 194:19 Za 23:1; 2Kor 9:8; Rum 2:4Naye Mungu wangu atawajaza ninyi na kila mnachohitaji kwa kadiri ya utajiri wake katika utukufu ndani ya Kristo Yesu.

204:20 Gal 1:4; 1The 1:3; 3:11, 13; Rum 11:36Mungu wetu aliye Baba yetu apewe utukufu milele na milele. Amen.

Salamu Za Mwisho

214:21 Gal 1:2Msalimuni kila mtakatifu katika Kristo Yesu. Ndugu walioko pamoja nami wanawasalimu. 224:22 Mdo 9:13Watakatifu wote wanawasalimu, hasa wale watu wa nyumbani mwa Kaisari.

234:23 Rum 16:20; Gal 6:18Neema ya Bwana Yesu Kristo iwe pamoja na roho zenu. Amen.

Nova Versão Internacional

Filipenses 4:1-23

1Portanto, meus irmãos, a quem amo e de quem tenho saudade, vocês que são a minha alegria e a minha coroa, permaneçam assim firmes no Senhor, ó amados!

Exortações

2O que eu rogo a Evódia e também a Síntique é que vivam em harmonia no Senhor. 3Sim, e peço a você, leal companheiro de jugo4.3 Ou leal Sízigo, que as ajude; pois lutaram ao meu lado na causa do evangelho, com Clemente e meus demais cooperadores. Os seus nomes estão no livro da vida.

4Alegrem-se sempre no Senhor. Novamente direi: Alegrem-se! 5Seja a amabilidade de vocês conhecida por todos. Perto está o Senhor. 6Não andem ansiosos por coisa alguma, mas em tudo, pela oração e súplicas, e com ação de graças, apresentem seus pedidos a Deus. 7E a paz de Deus, que excede todo o entendimento, guardará o coração e a mente de vocês em Cristo Jesus.

8Finalmente, irmãos, tudo o que for verdadeiro, tudo o que for nobre, tudo o que for correto, tudo o que for puro, tudo o que for amável, tudo o que for de boa fama, se houver algo de excelente ou digno de louvor, pensem nessas coisas. 9Ponham em prática tudo o que vocês aprenderam, receberam, ouviram e viram em mim. E o Deus da paz estará com vocês.

Agradecimentos pelas Ofertas

10Alegro-me grandemente no Senhor, porque finalmente vocês renovaram o seu interesse por mim. De fato, vocês já se interessavam, mas não tinham oportunidade para demonstrá-lo. 11Não estou dizendo isso porque esteja necessitado, pois aprendi a adaptar-me a toda e qualquer circunstância. 12Sei o que é passar necessidade e sei o que é ter fartura. Aprendi o segredo de viver contente em toda e qualquer situação, seja bem alimentado, seja com fome, tendo muito, ou passando necessidade. 13Tudo posso naquele que me fortalece.

14Apesar disso, vocês fizeram bem em participar de minhas tribulações. 15Como vocês sabem, filipenses, nos seus primeiros dias no evangelho, quando parti da Macedônia, nenhuma igreja partilhou comigo no que se refere a dar e receber, exceto vocês; 16pois, estando eu em Tessalônica, vocês me mandaram ajuda, não apenas uma vez, mas duas, quando tive necessidade. 17Não que eu esteja procurando ofertas, mas o que pode ser creditado na conta de vocês. 18Recebi tudo, e o que tenho é mais que suficiente. Estou amplamente suprido, agora que recebi de Epafrodito os donativos que vocês enviaram. São uma oferta de aroma suave, um sacrifício aceitável e agradável a Deus. 19O meu Deus suprirá todas as necessidades de vocês, de acordo com as suas gloriosas riquezas em Cristo Jesus.

20A nosso Deus e Pai seja a glória para todo o sempre. Amém.

Saudações Finais

21Saúdem a todos os santos em Cristo Jesus.

Os irmãos que estão comigo enviam saudações.

22Todos os santos enviam saudações, especialmente os que estão no palácio de César.

23A graça do Senhor Jesus Cristo seja com o espírito de vocês. Amém.4.23 Alguns manuscritos não trazem Amém.