Waefeso 5 – NEN & HHH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Waefeso 5:1-33

Kuenenda Nuruni

15:1 Lk 6:36; Mt 5:45; 8; Lk 6:26; Efe 4:32Kwa hiyo, mfuateni Mungu kama watoto wapendwao, 25:2 Gal 1:4; 2Kor 6:15; Ebr 7:27mkiishi maisha ya upendo, kama vile Kristo alivyotupenda sisi akajitoa kwa ajili yetu kuwa sadaka yenye harufu nzuri na dhabihu kwa Mungu.

35:3 Kol 3:5; 1Kor 6:18; Efe 4:29Lakini uasherati, usitajwe miongoni mwenu, wala uchafu wa aina yoyote, wala tamaa, kwa sababu mambo haya hayastahili miongoni mwa watakatifu. 45:4 Mt 12:35; Efe 4:29; Rum 1:28; Kol 3:8Wala pasiwepo mazungumzo machafu ya aibu, au maneno ya upuzi au mzaha, ambayo hayafai, badala yake mshukuruni Mungu. 55:5 Kol 3:5; 1Kor 6:9Kwa habari ya mambo haya mjue hakika kwamba: Msherati, wala mtu mwovu, wala mwenye tamaa mbaya, mtu kama huyo ni mwabudu sanamu, kamwe hataurithi Ufalme wa Kristo na wa Mungu. 65:6 Rum 1:18; Kol 2:4, 8; Yer 29:8; Mt 24:4; Kol 2:4, 8, 18; 2The 2:3; Rum 1:1Mtu yeyote na asiwadanganye kwa maneno matupu, kwa kuwa hasira ya Mungu huwaka kwa sababu ya mambo kama haya juu ya wale wasiomtii. 7Kwa hiyo, msishirikiane nao.

85:8 Efe 2:2; Yn 8:12Kwa maana zamani ninyi mlikuwa giza, lakini sasa ninyi ni nuru katika Bwana. Enendeni kama watoto wa nuru 95:9 Gal 5:22; Mt 7:16-20; Rum 15:14(kwa kuwa tunda la nuru hupatikana katika wema wote, haki na kweli), 105:10 1Tim 5:4; Rum 12:2; Flp 1:10; 1The 5:21; 1Tim 2:3nanyi tafuteni yale yanayompendeza Bwana. 115:11 Rum 13:12; 2Kor 6:14; Yn 16:8Msishiriki matendo ya giza yasiyofaa, bali yafichueni. 125:12 Rum 1:24, 26; Efe 5:3Kwa maana ni aibu hata kutaja mambo yale ambayo wasiotii wanayafanya sirini. 135:13 Yn 3:20, 21Lakini kila kitu kilichowekwa nuruni, huonekana, 145:14 Rum 13:11; Yn 5:25; Isa 60:1kwa kuwa nuru ndiyo hufanya kila kitu kionekane. Hii ndiyo sababu imesemekana:

“Amka, wewe uliyelala,

ufufuke kutoka kwa wafu,

naye Kristo atakuangazia.”

15Kwa hiyo angalieni sana jinsi mnavyoenenda, si kama watu wasio na hekima, bali kama wenye hekima, 165:16 Kol 4:5; Efe 6:13mkiukomboa wakati, kwa sababu nyakati hizi ni za uovu. 175:17 Rum 12:2; Kol 1:9Kwa hiyo msiwe wajinga, bali mpate kujua nini mapenzi ya Bwana. 185:18 Isa 28:7; Lk 1:15Pia msilewe kwa mvinyo, ambamo ndani yake mna upotovu, bali mjazwe Roho. 195:19 Za 27:6Msemezane ninyi kwa ninyi kwa zaburi, nyimbo na tenzi za rohoni, mkimwimbia na kumsifu Bwana mioyoni mwenu, 205:20 Ay 1:21siku zote mkimshukuru Mungu Baba kwa kila jambo katika Jina la Bwana wetu Yesu Kristo.

215:21 Gal 5:13; 1Pet 5:5; Flp 2:3Nyenyekeaneni ninyi kwa ninyi kwa heshima kwa ajili ya Kristo.

Mafundisho Kuhusu Wake Na Waume

225:22 Mwa 3:16; Tit 2:5; Efe 6:5Ninyi wake, watiini waume zenu kama kumtii Bwana. 235:23 1Kor 11:3; Efe 1:22Kwa maana mume ni kichwa cha mkewe kama vile Kristo alivyo kichwa cha Kanisa, ambalo ni mwili wake, naye Kristo ni Mwokozi wake. 245:24 Kol 3:20; Tit 2:9Basi, kama vile Kanisa linavyomtii Kristo, vivyo hivyo na wake nao imewapasa kuwatii waume zao kwa kila jambo.

255:25 Kol 3:19Ninyi waume, wapendeni wake zenu, kama vile Kristo alivyolipenda Kanisa akajitoa kwa ajili yake 265:26 Mdo 22:16kusudi alifanye takatifu, akilitakasa kwa kuliosha kwa maji katika Neno lake, 275:27 Efe 1:4; Kol 1:22apate kujiletea Kanisa tukufu lisilo na doa wala kunyanzi au waa lolote, bali takatifu na lisilo na hatia. 28Vivyo hivyo imewapasa waume kuwapenda wake zao kama miili yao wenyewe. Ampendaye mkewe hujipenda mwenyewe. 29Hakuna mtu anayeuchukia mwili wake mwenyewe, bali huulisha na kuutunza vizuri, kama Kristo anavyolitunza Kanisa lake. 305:30 1Kor 12:27Sisi tu viungo vya mwili wake. 315:31 Mwa 2:24; Mt 19:5“Kwa sababu hii, mwanaume atamwacha baba yake na mama yake, naye ataambatana na mkewe, na hao wawili watakuwa mwili mmoja.” 32Siri hii ni kubwa, bali mimi nanena kuhusu Kristo na Kanisa. 33Hata hivyo, kila mmoja wenu ampende mkewe kama anavyoipenda nafsi yake mwenyewe, naye mke lazima amheshimu mumewe.

Habrit Hakhadasha/Haderekh

אגרת פולוס השליח אל האפסיים 5:1-33

1עליכם ללכת בעקבות אלוהים, כי אתם ילדיו והוא אוהב אתכם. 2אהבו איש את רעהו, כשם שהמשיח אהב אותנו וביטא אהבה זאת בהקריבו את עצמו למעננו, כדי לסלוח על חטאינו, וקורבנו היה רצוי לאלוהים.

3בכל הנוגע למעשי זנות למיניהם, מעשי טומאה ואהבת בצע – אפילו אל תזכירו אותם! נושאים אלה אינם הולמים שיחת מאמינים משיחיים. 4הימנעו גם מניבול־פה, דברי שטות וליצנות – אין הם הולמים אתכם! לעומת זאת, הזכירו איש לרעהו את טוב־לבו של אלוהים והיו אסירי תודה.

5דעו לכם כי הזונים ואוהבי הבצע, שאינם אלא עובדי אלילים, לעולם לא יירשו את מלכות האלוהים והמשיח, כי הם אוהבים את דברי העולם הזה יותר מאשר את אלוהים. 6אל תניחו לאיש להתעות אתכם בנושא זה, כי בגלל חטאים כאלה ישפוך אלוהים את זעמו על מי שמורד בו. 7אף אל תתחברו עם אנשים כאלה! 8פעם חייתם בחשכה ובחטא, אך כעת אתם חיים באור אדוננו, והתנהגותכם צריכה להוכיח זאת. 9שכן פרי הרוח והאור הוא כל דבר טוב, צודק ואמיתי.

10השתדלו ללמוד מה רצוי בעיני אדוננו. 11אל תשתתפו במעשים רעים למיניהם שאינם מביאים כל תועלת, אלא הוקיעו אותם! 12בושה וחרפה היא מה שעושים הרשעים בסתר. 13כשאתה חושף אותם לאור נראים חטאיהם בבירור, ובמקום שבו ניתן לראות בבירור יש אור. 14על כן נֶאֱמַר: ”התעורר, אתה הישן, קום מן המתים והמשיח יאיר עליך!“

15‏-16לפיכך התנהגו בזהירות, שכן אלה הם ימים קשים. אל תהיו שוטים, אלא חכמים, ונצלו היטב כל הזדמנות לעשות מעשים טובים. 17אל תתנהגו בחוסר מחשבה, אלא השתדלו להבין מה רוצה האדון שתעשו, ועשו זאת! 18אל תרבו בשתיית יין, כי שתייה מרובה גורמת למעשים רעים. לעומת זאת, מלאו עצמכם ברוח הקודש והניחו לו לשלוט בכם.

19בפגשכם זה את זה שוחחו על אודות האדון, צטטו מזמורי תהלים, שירו שירים רוחניים וזמרו לאלוהים בלבבכם. 20הודו תמיד על כל דבר לאלוהים אבינו בשם ישוע המשיח אדוננו.

21כבדו את המשיח על־ידי כניעתכם איש לרעהו. 22נשים, עליכן להיכנע ולציית לבעליכן, כשם שאתן נכנעות ומצייתות למשיח. 23כי הבעל הוא ראש האישה, כשם שהמשיח הוא ראש הקהילה, שהיא גופו ואשר למענה הקריב את חייו, כדי להושיעה ולדאוג לה. 24אם כן, עליכן, הנשים, להיכנע ברצון לבעליכן בכל דבר, כשם שהקהילה נכנעת למשיח.

25אתם, הבעלים, אהבו את נשותיכם באותה מידה שאהב המשיח את הקהילה, כשהקריב את חייו למענה 26כדי לזכותה ולקדשה, לרחצה בדבר אלוהים, 27למען יוכל להעמידה לפניו כקהילה יפה וקדושה, חסרת־דופי, כתם או פגם. 28על הבעלים לאהוב את נשותיהם כמו את עצמם, כי הבעל ואשתו אחד הם. 29‏-30הרי איש אינו שונא את גופו, אלא מזין אותו ודואג לו באהבה, כשם שהמשיח דואג לקהילתו, ואנו הרי איברי גופו, בשר מבשרו. 31כפי שאומר הכתוב:5‏.31 ה 31 בראשית ב 24 ”על כן יעזוב איש את אביו ואת אמו, ודבק באשתו והיו לבשר אחד.“ 32קשר הנשואים הוא דבר מופלא, אך יש בו הקבלה לקשר שבין המשיח והקהילה.

33אם כן, אני חוזר ואומר: הבעל חייב לאהוב את אשתו כמו את עצמו, והאישה חייבת לכבד את בעלה ולציית לו.