Waefeso 3 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Waefeso 3:1-21

Huduma Ya Paulo Kwa Watu Wa Mataifa

13:1 2Tim 1:8; Flp 1:1-9Kwa sababu hii, mimi Paulo, mfungwa wa Kristo Yesu kwa ajili yenu ninyi watu wa Mataifa:

23:2 Kol 1:25; Rum 1:5; 11:13; 1Kor 4:1; Efe 4:7; Kol 1:25; Mdo 9:15Kwa hakika mmekwisha kusikia kuhusu ile huduma ya neema ya Mungu niliyopewa kwa ajili yenu, 33:3 Rum 16:25; 1Kor 2:10yaani, ile siri iliodhihirishwa kwangu kwa njia ya ufunuo, kama nilivyotangulia kuandika kwa kifupi. 43:4 2Kor 11:6; 1Kor 4:1; Efe 6:19Kwa kusoma haya, basi mtaweza kuelewa ufahamu wangu katika siri ya Kristo. 53:5 Rum 16:26; Mdo 10:28; Rum 16:25; Efe 3:9; 2:20Siri hii haikudhihirishwa kwa wanadamu katika vizazi vingine kama vile sasa ilivyodhihirishwa na Roho kwa mitume na manabii watakatifu wa Mungu. 63:6 Gal 3:29; Efe 2:15-16Siri hii ni kwamba, kwa njia ya Injili, watu wa Mataifa ni warithi pamoja na Israeli, viungo vya mwili mmoja na washiriki pamoja wa ahadi katika Kristo Yesu.

73:7 1Kor 3:6; Efe 1:19Nimekuwa mtumishi wa Injili hii kwa kipawa cha neema ya Mungu niliyopewa kwa nguvu yake itendayo kazi. 83:8 1Kor 15:19; 1Tim 1:13, 15; Gal 1:16; 2:8; 1Tim 2:7; 2Tim 1:11; Efe 1:7; Kol 1:27Ingawa mimi ni mdogo kuliko aliye mdogo kabisa miongoni mwa watakatifu wote, nilipewa neema hii: ili niwahubirie watu wa Mataifa kuhusu utajiri usiopimika ulio ndani ya Kristo, 93:9 Rum 16:25; Efe 3:3; 1:9; Rum 16:25; 1Kor 2:7; Kol 1:26; Za 33:6na kuweka wazi kwa kila mtu siri hii iliyokuwa imefichwa tangu zamani katika Mungu, aliyeumba vitu vyote. 103:10 1Kor 2:7; 1Pet 1:12; Efe 6:12Ili sasa kwa njia ya Kanisa, hekima yote ya Mungu ipate kujulikana kwa watawala na wenye mamlaka katika ulimwengu wa roho, 113:11 Efe 1:9; 1:11sawasawa na kusudi lake la milele katika Kristo Yesu Bwana wetu. 123:12 Efe 2:18; Kol 3:4Ndani yake na kwa njia ya imani katika yeye twaweza kumkaribia Mungu kwa uhuru na kwa ujasiri. 133:13 Mdo 14:22; Flp 1:14; 1The 3:3; 2Kor 3:4Kwa hiyo, nawaomba msikate tamaa kwa sababu ya mateso yangu kwa ajili yenu, hayo ni utukufu wenu.

Maombi Ya Paulo Kwa Waefeso

143:14 Flp 2:10Kwa sababu hii nampigia Baba magoti, 153:15 Efe 1:10; Flp 2:9, 10, 11ambaye ubaba wote wa kila jamaa za mbinguni na za duniani unatokana naye. 163:16 Kol 1:11; Rum 7:22Namwomba Mungu awaimarishe kwa kuwatia nguvu mioyo yenu kwa njia ya Roho wake kwa kadiri ya utajiri wa utukufu wake, 173:17 Yn 14:23; Kol 1:22ili kwamba, Kristo apate kukaa mioyoni mwenu kwa njia ya imani. Nami ninaomba kwamba ninyi mkiwa wenye mizizi tena imara katika msingi wa upendo, 18mwe na uwezo wa kufahamu pamoja na watakatifu wote jinsi ulivyo upana, urefu, kimo na kina upendo wa Kristo, 193:19 Kol 2:10; Efe 1:23na kujua upendo huu unaopita fahamu, ili mpate kujazwa na kufikia kipimo cha ukamilifu wote wa Mungu.

203:20 Rum 16:25; Yud 24; 1Kor 2:9; Kol 1:29; Efe 3:7Basi kwa yeye awezaye kutenda mambo ya ajabu yasiyopimika kuliko yote tuyaombayo au tuyawazayo, kwa kadiri ya uweza wake ule utendao kazi ndani yetu, 213:21 Rum 11:36; 16:27; Ebr 13:21yeye atukuzwe katika kanisa na katika Kristo Yesu kwa vizazi vyote, milele na milele. Amen.

Japanese Contemporary Bible

エペソ人への手紙 3:1-21

3

私たちを強くする神の力

1私パウロは、今、キリスト・イエスの囚人となって投獄されています。それは、あなたがた外国人も、ユダヤ人と同じように神の家族の一員だと語ったからです。 2-3私は、外国人に神の恵みを示すという任務を神から受けています。このことについては、前の手紙でも簡単にふれましたから、もうすでにご存じと思います。外国人もまた神の恵みの対象とされているという、この特別の計画を、神が私に明かしてくださったのです。 4このように申し上げるのは、これらについて私がどう理解しているかをわかっていただくためです。 5以前、神はこの計画をご自分の民に隠しておられました。しかし今は、聖霊を通して、使徒や預言者たちにはっきりと示しておられます。 6その特別の計画とは、神の子どもとされた者たちが、外国人もユダヤ人と共に、すべての救いの恩恵を受け継ぐということです。ユダヤ人も外国人も、共に神の教会の一員として招かれています。そして、キリストについての福音と、この方がなされたこととを受け入れる時、キリストによって大いに祝福するという神の約束に、両者ともあずかるのです。

7神は、そのことをすべての人に伝える光栄ある特権を私に与えてくださいました。また、その務めを果たすに十分な、神の力と賜物をも与えてくださったのです。 8私はそのような資格の全くない者で、クリスチャンの中で最も役立たずの人間です。それにもかかわらず、キリストのうちにある無限の富が外国人にも与えられるという計画を伝える者として、こんな私が選ばれたのです。 9それは、万物を造られた神が、世の初めからの計画どおりに、ご自分が外国人の救い主でもあることを、すべての人に説き明かすためでした。

10またそれは、天のもろもろの支配者たちに対して、神の全家族――ユダヤ人も外国人も――が教会の中で一つとなっている姿を見せ、神の完全な知恵を示すためです。 11これこそ、神が主キリスト・イエスを通して、かねてから計画しておられたことなのです。 12私たちはこのキリストと共にあり、キリストを信じる信仰によって、確信をもって大胆に神の前に出ることができます。 13ですから、どうか、私がいま体験している苦しみを知って落胆しないでください。この苦しみはあなたがたのためであり、それは、あなたがたにとって名誉となり、励ましとなるはずです。

14-15神のご計画の深さと広さを思う時、私はひざをかがめて、天上と地上の家族の父である方に祈ります。 16どうか、父なる神が、その栄光に満ちた無限の富の中から、御霊を通して人を内面から強くする力を、あなたがたに与えてくださいますように。 17こうしてキリストが、信じるあなたがたの心に住んでくださいますように。 18-19そして、神の愛がどれほど広く、どれほど高く、どれほど深いかを理解することができますように。さらに、あなたがたがキリストの無限の愛を知って、キリストの愛といのちに満たされますように。

20どうか、私たちの祈り、願い、考え、望みをはるかに超えたすばらしいことを、その偉大な力でなされる神に、栄光がありますように。 21どうか、キリスト・イエスによって、教会に救いの計画をもたらしてくださった神に、栄光が永遠にありますように。アーメン。