Waebrania 7 – NEN & CRO

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Waebrania 7:1-28

Kuhani Melkizedeki

17:1 Za 76:2; Mk 5:7; Ebr 7:6; Mwa 14:18-20Kwa kuwa huyu Melkizedeki alikuwa mfalme wa Salemu na kuhani wa Mungu Aliye Juu Sana. Alipokutana na Abrahamu akirudi kutoka kuwashinda hao wafalme, Melkizedeki alimbariki, 2naye Abrahamu alimpa sehemu ya kumi7:2 Sehemu ya kumi mahali pengine huitwa fungu la kumi au zaka; sehemu ya kumi ya pato hutolewa kwa Mungu. ya kila kitu. Kwanza, jina hilo Melkizedeki maana yake ni “mfalme wa haki.” Na pia “mfalme wa Salemu” maana yake ni “mfalme wa amani.” 37:3 Ebr 7:6; Mt 4:3; Za 110:4Hana Baba wala mama, hana ukoo, hana mwanzo wala mwisho wa siku zake. Kama Mwana wa Mungu, yeye adumu akiwa kuhani milele.

47:4 Mwa 14:20; Mdo 2:29Tazama jinsi alivyokuwa mkuu: Hata Abrahamu, baba yetu mkuu, alimpa sehemu ya kumi ya nyara zake. 57:5 Hes 18:21, 26Basi sheria inawaagiza wana wa Lawi ambao hufanyika makuhani kupokea sehemu ya kumi kutoka kwa watu ambao ni ndugu zao, ingawa ndugu zao ni wazao wa Abrahamu. 67:6 Mwa 14:19, 20; Rum 4:13Huyu Melkizedeki, ingawa hakufuatia ukoo wake kutoka kwa Lawi, lakini alipokea sehemu ya kumi kutoka kwa Abrahamu na kumbariki yeye aliyekuwa na zile ahadi. 7Wala hakuna shaka kwamba mdogo hubarikiwa na aliye mkuu kumliko yeye. 87:8 Ebr 5:6; 6:20Kwa upande mmoja, sehemu ya kumi hupokelewa na wale ambao hupatikana na kufa; lakini kwa upande mwingine hupokelewa na yeye ambaye hushuhudiwa kuwa yu hai. 9Mtu anaweza hata kusema kwamba Lawi, ambaye hupokea sehemu ya kumi, alitoa hiyo sehemu ya kumi kupitia kwa Abrahamu, 10kwa sababu Melkizedeki alipokutana na Abrahamu, Lawi alikuwa bado katika viuno vya baba yake wa zamani.7:10 Yaani, alikuwa hajazaliwa.

Yesu Mfano Wa Melkizedeki

117:11 Ebr 7:18-19; 8:7; 10:1; 7:17; 5:6; Gal 2:21Kama ukamilifu ungeweza kupatikana kwa njia ya ukuhani wa Walawi (kwa kuwa katika msingi huo, sheria ilitolewa kwa watu), kwa nini basi imekuwepo haja ya kuja kuhani mwingine: kuhani kwa mfano wa Melkizedeki, wala si kwa mfano wa Aroni? 12Kwa kuwa yanapotokea mabadiliko ya ukuhani, pia lazima yawepo mabadiliko ya sheria. 137:13 Ebr 7:11, 14Yeye ambaye mambo haya yanasemwa alikuwa wa kabila lingine, na hakuna mtu wa kabila hilo aliyewahi kuhudumu katika madhabahu. 147:14 Isa 11:1; Mt 1:3; 2:6; Lk 3:33; Ufu 5:5Kwa maana ni dhahiri kwamba Bwana wetu alitoka katika uzao wa Yuda, tena kuhusu kabila hilo Mose hakusema lolote kwa habari za makuhani. 15Tena hayo tuliyosema yako wazi zaidi kama akitokea kuhani mwingine kama Melkizedeki, 16yeye ambaye amefanyika kuhani si kwa misingi ya sheria kama ilivyokuwa kwa baba zake, bali kwa misingi ya uwezo wa uzima usioharibika. 177:17 Za 110:4; Ebr 7:21; 5:6, 10; 6:20Kwa maana imeshuhudiwa kwamba:

“Wewe ni kuhani milele,

kwa mfano wa Melkizedeki.”

187:18 Rum 8:3; Gal 4:9Kwa upande mmoja, ile amri ya mwanzo isiyofaa na dhaifu imebatilishwa 197:19 Ebr 7:11; 9:9; 10:1; Rum 3:20; 7:7, 8; Gal 3:21; Yak 4:8(kwa maana sheria haikufanya kitu chochote kuwa kikamilifu). Kwa upande mwingine, tumeletewa tumaini lililo bora zaidi ambalo linatuleta karibu na Mungu.

20Nalo tumaini hilo halikutolewa pasipo kiapo! Wengine walikuwa makuhani pasipo kiapo chochote, 217:21 Za 110:4; Hes 23:19; 1Sam 15:29; Mal 3:6; Rum 1:29; Ebr 5:6lakini Yesu alifanywa kuhani kwa kiapo wakati Mungu alimwambia:

Bwana ameapa

naye hatabadilisha mawazo yake:

‘Wewe ni kuhani milele.’ ”

227:22 Ebr 8:6; 9:15; 12:24; Lk 22:20Kwa ajili ya kiapo hiki, Yesu amekuwa mdhamini wa agano lililo bora zaidi.

23Basi pamekuwepo na makuhani wengi wa aina hiyo, kwa kuwa kifo kiliwazuia kuendelea na huduma yao ya ukuhani. 247:24 Ebr 7:28Lakini kwa sababu Yesu anaishi milele, anao ukuhani wa kudumu. 257:25 Rum 11:14; 8:34; Ebr 7:19; 1Tim 2:5; 1Yn 2:1Kwa hiyo anaweza kuwaokoa kabisa wale wanaomjia Mungu kupitia kwake, kwa sababu yeye adumu daima kuomba kwa ajili yao.

267:26 Ebr 4:15; 8:1; Efe 1:20; 4:10; 2Kor 5:21Kwa kuwa ilitupasa tuwe na Kuhani Mkuu wa namna hii, yaani, aliye mtakatifu, asiye na lawama, asiye na dosari, aliyetengwa na wenye dhambi na kuinuliwa juu ya mbingu. 277:27 Ebr 5:1, 3; Rum 6:10; Ebr 9:12, 26, 28; 10:10; 1Pet 3:18; Efe 5:2Yeye hahitaji kutoa dhabihu siku kwa siku kwa ajili ya dhambi, kwanza kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe, kisha kwa ajili ya dhambi za watu kama wale makuhani wakuu wengine. Yeye alitoa dhabihu kwa ajili ya dhambi zao mara moja tu, alipojitoa mwenyewe. 287:28 Ebr 5:2; 1:2; 2:10Kwa kuwa sheria huwaweka makuhani wakuu watu ambao ni dhaifu; lakini lile neno la kiapo, lililokuja baada ya sheria, lilimweka Mwana, ambaye amefanywa kuwa mkamilifu milele.

Knijga O Kristu

Hebrejima 7:1-28

Melkisedek i Abraham

1Melkisedek je bio šalemski kralj i svećenik Svevišnjega Boga. Kad se Abraham vraćao iz bitke u kojoj je pobijedio nekoliko kraljeva, Melkisedek mu je izišao u susret i blagoslovio ga. 2Tada je Abraham uzeo desetinu od svega što je u ratu osvojio i dao Melkisedeku, čije ime najprije znači “Kralj pravednosti”, a zatim i “Kralj mira”, jer šalem znači “mir”. 3U Svetome pismu nije zapisano ništa o njegovu ocu i majci ni o njegovu rodoslovlju, kao ni o datumima njegova rođenja i smrti. On je sličan Božjemu Sinu jer kao da zauvijek ostaje svećenikom.

4Razmotrite kako je velik bio Melkisedek: veliki izraelski patrijarh Abraham priznao ga je velikim dajući mu desetinu od najboljeg plijena. 5Svećenicima, Levijevim potomcima, Zakon je nalagao da ubiru desetinu od svih, iako su im bili rođaci jer su svi bili Abrahamovi potomci. 6Ali Melkisedek, koji nije bio u srodstvu s levitima, uzeo je desetinu od Abrahama, koji je imao Božje obećanje, i blagoslovio ga. 7A neprijeporno je da uvijek onaj tko je veći blagoslivlja manjega. 8Židovski su svećenici, iako smrtnici, primali desetinu, a za Melkisedeka Bog kao da svjedoči da još živi—jer u Svetome pismu nije zabilježeno ništa o njegovoj smrti. 9Moglo bi se čak reći da su i Levijevi potomci, koji ubiru desetinu, dali Melkisedeku desetinu kroz svojega pretka Abrahama. 10Jer iako se Levi tada još nije ni rodio, sjeme iz kojega je proistekao bilo je u Abrahamovu boku kad je Melkisedek od njega ubrao desetinu.

11Da je levitsko svećenstvo moglo ispuniti Božju nakanu—a na njemu se temeljio Zakon—zašto bi još bilo potrebno da Bog pošalje drukčijeg svećenika, sličnoga Melkisedeku, a ne iz Aronova reda?

12Ako se mijenja svećenstvo, mora se promijeniti i zakon koji će to omogućiti. 13Jer taj o kojemu je riječ pripada drugom plemenu, pripadnici kojega ne služe za oltarom. 14Jasno je, naime, da je naš Gospodin podrijetlom iz Judina plemena, koje Mojsije nikad nije spomenuo u svezi sa svećenstvom.

Isus kao Melkisedek i postao je jamcem boljega saveza

15Promjena u Zakonu još je očitija zbog činjenice da je postavljen drugi svećenik, sličan Melkisedeku. 16On svećenikom nije postao stoga što je zadovoljavao stari zahtjev da pripada Levijevu plemenu, već snagom neuništivog života. 17Sveto pismo svjedoči o Kristu:

“Ti si svećenik zauvijek

i po tome sličan Melkisedeku.”7:17 Psalam 110:4.

18Stara zapovijed više ne vrijedi jer je bila nedjelotvorna i nekorisna. 19Zakon nije ništa priveo k savršenstvu. Zato nam je dano nešto bolje čemu se možemo nadati, što će nas približiti Bogu.

20Bog se zakleo da će Krist zauvijek biti svećenikom, što za druge svećenike nikada nije učinio. 21Jedino je njemu rekao:

“Gospodin se zakleo

i neće to opovrgnuti:

‘Ti si svećenik zauvijek.’”7:21 Psalam 110:4.

22Božjom je zakletvom Isus postao jamcem boljega saveza.

23U starome sustavu bilo je mnogo svećenika jer ih je smrt priječila da trajno ostanu: kad bi jedan svećenik umro, na njegovo bi mjesto došao drugi. 24Ali Isus ostaje svećnikom zauvijek i njegovo svećeništvo neće proći. 25Zato on jednom zauvijek može spasiti svakoga tko po njemu pristupi k Bogu. On zauvijek živi i posreduje za njih.

26Takav nam veliki svećenik i treba—svet, nedužan, neokaljan grijehom, odvojen je od grešnika i uzvišeniji od nebesa. 27Ne mora svakoga dana prinositi žrtve poput drugih svećenika. Oni su to činili za vlastite grijehe, a zatim za grijehe drugih ljudi. Ali Isus je to učinio jednom zauvijek žrtvujući se na križu. 28Veliki svećenici iz Mojsijeva doba bili su samo ljudi podložni slabostima. Ali nakon Zakona Bog je zakletvom na to mjesto postavio svojega Sina, zauvijek savršena.