Waamuzi 4 – NEN & CARSA

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Waamuzi 4:1-24

Debora

14:1 Amu 3:15; 2:11; 2:19Baada ya Ehudi kufa, Waisraeli wakafanya tena maovu machoni pa Bwana. 24:2 Kum 32:30; Yos 11:1; 1Sam 12:9; Za 83:9Hivyo Bwana akawatia mikononi mwa Yabini, mfalme wa Kanaani, aliyetawala huko Hazori. Jemadari wa jeshi lake alikuwa Sisera, aliyeishi huko Haroshethi-Hagoyimu4:2 Haroshethi-Hagoyimu ina maana Haroshethi ya Mataifa. 34:3 Yos 17:16; Amu 10:12; Za 106:42; Amu 1:19Kwa kuwa Sisera alikuwa na magari ya chuma yapatayo 900, naye alikuwa amewatesa Waisraeli kwa ukatili kwa muda wa miaka ishirini, Waisraeli wakamlilia Bwana wakaomba msaada.

44:4 Amu 5:1, 7, 12; Kut 15:20Debora, nabii mwanamke, mkewe Lapidothi, ndiye alikuwa anaamua Israeli wakati ule. 54:5 1Sam 14:2; 22; 6; Yos 18:25; 12:5-9; Mwa 35:8Debora alikuwa akiketi chini ya Mtende wa Debora uliokuwa kati ya Rama na Betheli katika nchi ya vilima ya Efraimu, nao Waisraeli wakaja kwake ili awaamue. 64:6 Amu 5:12-15; 1Sam 12:11; Ebr 11:32; Yos 12:22; Mwa 30:8; Amu 5:18; 6:35; Yos 19:22Akatuma wamwite Baraka mwana wa Abinoamu kutoka Kedeshi huko Naftali na kumwambia, “Bwana, Mungu wa Israeli, anakuagiza: ‘Nenda, chukua wanaume 10,000 toka Naftali na Zabuloni, mwende Mlima Tabori. 74:7 Yos 11:1; Amu 5:12; 1Fal 18:40; Za 83:9; Amu 1:2Nitamshawishi Sisera, jemadari wa jeshi la Yabini, pamoja na magari yake na jeshi lake, hadi Mto Kishoni na kumtia mikononi mwako.’ ”

8Baraka akamwambia, “Ukienda pamoja nami nitakwenda, lakini usipokwenda pamoja nami, sitakwenda.”

94:9 Yos 12:22; Amu 2:14Debora akamwambia, “Hakika nitakwenda pamoja nawe, lakini njia unayoiendea haitakupa heshima wewe, kwa kuwa Bwana atamtia Sisera mikononi mwa mwanamke.” Hivyo Debora akaenda pamoja na Baraka mpaka Kedeshi, 104:10 2Nya 36:23; Ezr 1:2; Isa 41:2; 42:6; 45:3; 46:11; 48:15mahali ambapo Baraka aliwaita Zabuloni na Naftali. Watu 10,000 wakamfuata Baraka, na Debora pia akaenda pamoja naye.

114:11 Mwa 15:19; Hes 10:29; Yos 24:26; Amu 9:6; Yos 19:33Basi Heberi, Mkeni, alikuwa amejitenga na Wakeni wengine, yaani, wazao wa Hobabu, mkwewe Mose, naye akapiga hema lake karibu na ule mti mkubwa wa mwaloni ulioko Saananimu, karibu na Kedeshi.

124:12 Yos 19:22Sisera alipoambiwa kuwa Baraka mwana wa Abinoamu alikuwa amepanda Mlima Tabori, 134:13 Yos 17:16; Amu 4:7; 5:19Sisera akakusanya pamoja magari yake yote 600 ya chuma na watu wote waliokuwa pamoja naye, kuanzia Haroshethi-Hagoyimu mpaka Mto wa Kishoni.

144:14 Amu 1:2; Kum 9:3; 1Sam 8:20; 2Sam 5:24; Za 68:7Ndipo Debora akamwambia Baraka, “Nenda! Hii ndiyo siku ambayo Bwana amemtia Sisera mikononi mwako. Je, Bwana hakukutangulia mbele yako?” Hivyo Baraka akashuka kutoka Mlima Tabori, akifuatwa na watu 10,000. 154:15 Kut 14:24; Za 18:14; Kut 14:28; Za 83:9-10Bwana akamfadhaisha Sisera na magari yake yote, pamoja na jeshi lake lote kwa upanga mbele ya Baraka, naye Sisera akaliacha gari lake na kukimbia kwa miguu. 164:16 Kut 14:28; Za 83:9-10Lakini Baraka akafuata magari pamoja na jeshi mpaka Haroshethi-Hagoyimu. Jeshi lote la Sisera likaanguka kwa upanga, wala hakuna hata mtu mmoja aliyesalia.

174:17 Amu 5:6, 24; Mwa 15:19; Yos 11; 1Sisera, hata hivyo, akakimbia kwa miguu mpaka kwenye hema la Yaeli, mkewe Heberi, Mkeni, kwa sababu palikuwa na uhusiano wa kirafiki kati ya Yabini mfalme wa Hazori na ukoo wa Heberi, Mkeni.

18Yaeli akaenda kumlaki Sisera na kumwambia, “Karibu, bwana wangu, karibu ingia ndani kabisa. Usiogope.” Basi Sisera akaingia ndani ya hema ya Yaeli, naye akamfunika kwa blanketi nene.

194:19 Mwa 18:8; Amu 5:25Akamwambia, “Nina kiu, tafadhali nipe maji ya kunywa.” Ndipo akafungua kiriba cha maziwa na kumpa akanywa, kisha akamfunika.

20Naye Sisera akamwambia, “Simama mlangoni pa hema na mtu yeyote akija na kukuuliza, ‘Je, kuna mtu yeyote hapa?’ sema, ‘Hapana.’ ”

214:21 Mwa 2:21; 15:12; 1Sam 26:12; Isa 29:10; Yon 1:5; Amu 5:26Ndipo Yaeli, mkewe Heberi, akatwaa kigingi cha hema, akachukua nyundo mkononi mwake, akamwendea polepole, akiwa amelala usingizi, akiwa amechoka. Akakigongomea kile kigingi kwenye paji la uso wake, kikapenya hata kuingia ardhini, naye akafa.

224:22 Amu 5:27Baraka akakaribia akimfuatia Sisera, Yaeli akatoka kumlaki. Akamwambia, “Njoo, nitakuonyesha mtu unayemtafuta.” Hivyo wakaingia ndani ya hema wakiwa wamefuatana na tazama Sisera alikuwa amelala humo, akiwa amekufa, na hicho kigingi cha hema kikiwa kimegongomewa kupitia paji la uso wake.

234:23 Neh 9:24; Za 18:47; 44:2; 47:3; 144:2; Yos 11; 1Basi siku ile Mungu akamshinda Yabini, mfalme wa Kanaani, mbele ya Israeli. 244:24 Za 83:9; 106:43Nao mkono wa Waisraeli ukaendelea kuwa na nguvu zaidi na zaidi dhidi ya Yabini, mfalme wa Kanaani, mpaka wakamwangamiza.

Священное Писание (Восточный перевод), версия с «Аллахом»

Судьи 4:1-24

Пророчица Девора

1После того как Ехуд умер, исраильтяне снова стали творить зло в глазах Вечного. 2И Вечный отдал их в руки Иавина, царя Ханаана, который правил в городе Хацоре. Начальником его войска был Сисара, который жил в Харошет-Гоиме. 3У него было девятьсот железных колесниц, и он двадцать лет жестоко притеснял исраильтян. Поэтому они воззвали к Вечному о помощи.

4В то время судьёй в Исраиле была пророчица Девора, жена Лаппидота. 5Она сидела под пальмой Деворы, между Рамой и Вефилем в нагорьях Ефраима, и исраильтяне приходили к ней решать свои тяжбы. 6Она послала за Вараком, сыном Авиноама, из Кедеша, что в земле Неффалима, и сказала ему:

– Вечный, Бог Исраила, повелевает тебе: «Иди, возьми с собой десять тысяч человек из родов Неффалима и Завулона и веди их на гору Фавор. 7Я приведу Сисару, начальника войска Иавина, с его колесницами и воинами к реке Кишон и отдам его в твои руки».

8Варак сказал ей:

– Если ты пойдёшь со мной, то пойду и я, а если ты со мной не пойдёшь, то и я не пойду.

9– Хорошо, – сказала Девора, – я пойду с тобой. Но тогда этот путь не приведёт тебя к славе, потому что Вечный отдаст Сисару в руки женщины.

И Девора пошла с Вараком в Кедеш, 10где он призвал Завулона и Неффалима. За ним последовало десять тысяч человек, и Девора также пошла с ним.

11Кеней Хевер отделился от остальных кенеев, потомков Ховава, шурина Мусы, и разбил свой шатёр у великого дерева, что в Цаананниме, рядом с Кедешем.

12Когда Сисаре донесли, что Варак, сын Авиноама, поднялся на гору Фавор, 13Сисара собрал свои девятьсот железных колесниц и всех своих людей из Харошет-Гоима возле реки Кишон. 14Тогда Девора сказала Вараку:

– Иди! Это день, когда Вечный отдал Сисару в твои руки. Разве сам Вечный не идёт перед тобой?

И Варак спустился с горы Фавор, а вслед за ним десять тысяч человек. 15Вечный привёл Сисару, и все его колесницы, и войско в замешательство перед Вараком, и Сисара, сойдя с колесницы, бежал пешим. 16А Варак преследовал его колесницы и войско до самого Харошет-Гоима. Все воины Сисары пали от меча, никого не осталось в живых.

17Но Сисара побежал к шатру Иаили, жены кенея Хевера, потому что между Иавином, царём Хацора, и кланом кенея Хевера был мир. 18Иаиль вышла Сисаре навстречу и сказала ему:

– Заходи, мой господин, заходи ко мне. Не бойся.

Он вошёл в её шатёр, и она укрыла его ковром.

19– Я хочу пить, – сказал он. – Пожалуйста, дай мне воды.

Она открыла бурдюк с молоком, дала ему напиться и укрыла его.

20– Встань у входа в шатёр, – сказал он ей. – Если кто-нибудь придёт и спросит у тебя: «Есть ли кто здесь?» – скажи: «Нет».

21Но Иаиль, жена Хевера, взяла кол от шатра и молоток и тихо подошла к Сисаре, когда он, утомившись, уснул. Она пронзила ему висок так, что приколола его к земле, и он умер. 22Когда появился Варак, который гнался за Сисарой, Иаиль вышла к нему навстречу.

– Идём, – сказала она, – я покажу тебе человека, которого ты ищешь.

Он вошёл в её шатёр – там лежал мёртвый Сисара, и висок его был пронзён колом.

23В тот день Аллах даровал исраильтянам победу над ханаанским царём Иавином. 24И рука исраильтян над ним становилась всё сильнее и сильнее, пока они не уничтожили его.